Dakika ya 90, Mechi 0-0 Mmepata Faulo, Nani atapiga?

Dakika ya 90, Mechi 0-0 Mmepata Faulo, Nani atapiga?

Wakuu "imagine" mechi muhimu pengine fainali halafu dakika ya 90 mnapata faulo nje ya box la adui, wewe ukiwa kama kocha/captain utampa nafasi nani ya kupiga faulo hiyo ili walau mpate goli la ushindi?

Kati ya hawa utamchagua nani? Beckham, Pirlo, Cristiano, Roberto Carlos, Messi, Ronaldinho, Requelme, Ronaldinho, Yaya Toure, Mata?

Mtaje ambaye hata kama hayupo kwenye list.
Yani kuna mbrazili mmoja umemsahau hapo list yako batili, anaanzia na Ju...
 
Inategemea na hiyo faulo ipo eneo gani nje ya box,katikati? kulia kwa mchezaji atakayepiga au faulo ipo kushoto ya box toka kwa mchezaji atakaye piga,
Kama mpira upo nje ya box kushoto kwa usawa wa mpigaji nampa MESSI,kama kulia CR7 na kama ni katikati basi atapiga Roberto Carlos.


Story nyingi lakini bado umekosea, Fikiria hapo jamaa anataka ushindi na ukikosa tu hiyo taulo basi huna chako!


Hao wote ulowataja japo nawakubali lakini kwa hali iliyoelezewa hapo bado hawafai.

Binafsi nitampa fundi wa Kibrazil si Ronadinho bali ni mtu asiye jina kubwa si mwingine bali ni Mnyama JUNINHO!!!!!
 
Wakuu "imagine" mechi muhimu pengine fainali halafu dakika ya 90 mnapata faulo nje ya box la adui, wewe ukiwa kama kocha/captain utampa nafasi nani ya kupiga faulo hiyo ili walau mpate goli la ushindi?

Kati ya hawa utamchagua nani? Beckham, Pirlo, Cristiano, Roberto Carlos, Messi, Ronaldinho, Requelme, Ronaldinho, Yaya Toure, Mata?

Mtaje ambaye hata kama hayupo kwenye list.
JUNINHO PERNAMBUCANO
 
Story nyingi lakini bado umekosea, Fikiria hapo jamaa anataka ushindi na ukikosa tu hiyo taulo basi huna chako!


Hao wote ulowataja japo nawakubali lakini kwa hali iliyoelezewa hapo bado hawafai.

Binafsi nitampa fundi wa Kibrazil si Ronadinho bali ni mtu asiye jina kubwa si mwingine bali ni Mnyama JUNINHO!!!!!
Una umri gani? unataka tuwaze sawa? umeisoma mada lakini ukaielewa? Hapo kwenye red,hapa tunaongelea faulo na sio taulo,ndio maana unaanza kupingana na maoni ya wengine badala ya kuweka tu maoni yako! haya ndio madhara ya mtu kujifanya mjuaji kumbe mtupu kabisaaa!
 
Story nyingi lakini bado umekosea, Fikiria hapo jamaa anataka ushindi na ukikosa tu hiyo taulo basi huna chako!


Hao wote ulowataja japo nawakubali lakini kwa hali iliyoelezewa hapo bado hawafai.

Binafsi nitampa fundi wa Kibrazil si Ronadinho bali ni mtu asiye jina kubwa si mwingine bali ni Mnyama JUNINHO!!!!!
Heshimu mawazo yake kama ambavyo na ww tunaheshimu ya kwako.
 
mguu wa kushoto
  1. sinisa mihajlovic : fundi wa mipira iliokufa kutoka serbia miaka mingi iliopita.
  2. ronald koeman: fundi wa kiholanzi miaka hiyo
mguu wa kulia
  1. juninho pernambucano
  2. david beckham
Koeman licha ya kucheza nafasi ya beki, ana magoli mengi sana yakiwemo hayo ya mipira iliyokufa.
 
Back
Top Bottom