Dakika za lala salama

Hapo Mapoda una maanisha nini?
Mkalimani wa lugha za alama na lugha zisizo rasmi nimewafikia.

Mkalimani :

Anaposema "endeleeni kuleta mapoda nyinyi wadada" hapo amechevusha na kuchechefua Neno Mapozi au Maringo na kulipeleka kwenye Neno mapoda Sawa Sawa aseme "endeleeni kuleta Maringo nyinyi wadada"

Ni MIMI wako Mtaalamu & Mkalimani wa lugha za alama na lugha zisizo rasmi Lethergo
 
Ahsante mwalimu wa Lugha
 
Hawa ndo wale wanaojifanyaga mafeminist mwishoni wana surrender 🤣
 
Hapo Na Magonjwa Yasiyoambukiza Yanaanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…