TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
Hapo Mapoda una maanisha nini?Endeleeni kuleta mapoda ninyi wadada, mwenzenu anapambana kikubwa kupumua tu.
View attachment 3028598
Mkalimani wa lugha za alama na lugha zisizo rasmi nimewafikia.Hapo Mapoda una maanisha nini?
Mzee Mbuzi bado unataka kulia meee?Naomba mawasiliano yake tumalizie uzee wetu salama
Nipe connection ya kuonana na huyo wa ubani tupeane joto maridhawa.Mzee Mbuzi bado unataka kulia meee?
KudenguaHapo Mapoda una maanisha nini?
Mkalimani wa lugha za alama na lugha zisizo rasmi nimewafikia.
Mkalimani :
Anaposema "endeleeni kuleta mapoda nyinyi wadada" hapo amechevusha na kuchechefua Neno Mapozi au Maringo na kulipeleka kwenye Neno mapoda Sawa Sawa aseme "endeleeni kuleta Maringo nyinyi wadada"
Ni MIMI wako Mtaalamu & Mkalimani wa lugha za alama na lugha zisizo rasmi Lethergo
Mama Mwana yupo kwenye Joto leo na huyu Bantu Lady Jana alikua kwenye JotoNipe connection ya kuonana na huyo wa ubani tupeane joto maridhawa.