Daktar -Saidia Ninamuwasho wa hatari sehemu flan, ngoja niweke kwa kizungu

mansakankanmusa

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2010
Posts
4,162
Reaction score
796
Doctor, if you can help, I am experiencing severe itching down my testicles. kwa kweli nimepata tiba waapi, pharmacy nimepewa tube nipake waaapi. Kama ni kufuli nabadilisha kila siku moja. Sirudiina nazifua vizur nakung'uta maji kuepusha kama ni fungas lakin jamani mnajua kuwashwa, nafua testicle zangu wakati mwingine kama nguo. nazisugua sana hadi zinauma.

msaada tafadhal,

swaum makubur
 
Wahi fasta ukamuone daktari.

Inawezekana kabisa ikawa ni 'fungi.'

Daktari inabidi aone physically kwanza.
 
Lakini kukuna pumbu raha sana.pole sana ngoja niulizie dawa flani jina lake nitakujulisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…