Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ushawasoma nawewe, Huwa najiuliza kama stor inanihusu mimi na tamu na chungu ni zangu lakini unakuta unasakamwa mpaka unakata tamaa ya kuendelea kushusha episodes. Mwingine atakutukana bila sabb, mwingine atakwambia dogo shusha uzi haraka sana hajui kwamba kuna majukum mengineKuna watu humu nature yao huwa ni ubishi na lengo lao kumkatisha narrator achaane na habari yake sasa huwa sijui huwa wanafaidika na nini
Kuna watu wengi walishanasa mtego wa hawa watu na kuacha simulizi zao
Ngoja niangakie Google drive kama ntazipata hizo pichaSema nn wewe ni story teller mzuri.Bado kuongeza vionjo kidogo vya kusibitisha kama ukiidlsifia bike, unasindikiza na lipicha la Bike jinsi ilivo tamu..[emoji16][emoji16]
Acha kujibu comment unapoteza mudaJAMANI SIJAKATAA KUSHUSHA EPISODES, STORY BADO HAIJAISHA TUWE WAPOLE KWANI HUKO MBELE MTAJUA MENGI MPAKA NILILAZWA HOSPITAL KAMA WIKI NA NUSU NILIPATIWA MATIBABU HOSPITAL YA JESHI YA KANDA MKOANI TABORA. NAJUA KUNA BAADHI YA WATU WANAIFAHAM NAWASHUKURU SANA MADAKTARI WALINIPAMBANIA NIKAPONA MPAKA HAPA NILIPO NAMSHUKURU SANA MUNGU NA MADAKTARI.
NISINGEPENDA TABIA YA KUNITOLEA LUGHA ZA MATUSI IENDELEE KWANI SO VIZURI MIMI NIMEAMUA KUSHEA NA NYIE STORY HII KWA RIDHAA YANGU SIO KWAMBA MNISHURUTUSHE.
Kuna watu wanajiona sana humu na wanajifanya kila kitu wanajua, sitaki kuwatag lakini wanajiujua.
Oky, naandika episode hapaAcha kujibu comment unapoteza muda
😁😁Kumbe mnajijua [emoji2][emoji2][emoji2]
Karibuni muexperience watu tulivopitia mengi katika mapenz ingali tukiwa katika umri mdogo
Wewe endelea kutafuta sukari hukoWANAWAKE NI WATU WA AJABU SANA, UNAONA KIPINDI HIKI KUNA UHABA WA SUKARI WEWE KIDUME UNAWEZA UKAWA NAPESA ZAKO ZA KUTOSHA ILA UPO BIZE NA MAMBO YAKO HAUPAMBANII MKEO APATE SUKARI NDANI KWASABABU YA KUADIMIKA KWAKE MTAANI, UNAWEZA UKAJA KUSTUKA MKEO KAGAWA MBUSUSU KWA FALA MMOJA TU KISA KILO MBILI ZA SUKARI ILI AANDAE KEKI YA BIRTHDAY YA MWANAE, HAWA WATU NI SHIDA.
Sawa love😂😂😂 haya bhana kipenz,,, huwa nikikumiss najua machaka kama haya huwa hukosagi,so nikipita nakuona na roho yangu inafurahi, haya pitia huu uzi Umenoga!
Unajua tatizo lako ni nini?JAMANI SIJAKATAA KUSHUSHA EPISODES, STORY BADO HAIJAISHA TUWE WAPOLE KWANI HUKO MBELE MTAJUA MENGI MPAKA NILILAZWA HOSPITAL KAMA WIKI NA NUSU NILIPATIWA MATIBABU HOSPITAL YA JESHI YA KANDA MKOANI TABORA. NAJUA KUNA BAADHI YA WATU WANAIFAHAM NAWASHUKURU SANA MADAKTARI WALINIPAMBANIA NIKAPONA MPAKA HAPA NILIPO NAMSHUKURU SANA MUNGU NA MADAKTARI.
NISINGEPENDA TABIA YA KUNITOLEA LUGHA ZA MATUSI IENDELEE KWANI SO VIZURI MIMI NIMEAMUA KUSHEA NA NYIE STORY HII KWA RIDHAA YANGU SIO KWAMBA MNISHURUTUSHE.
Kuna watu wanajiona sana humu na wanajifanya kila kitu wanajua, sitaki kuwatag lakini wanajiujua.
ExactlyUnajua tatizo lako ni nini?
Unachukulia comments ,za watu Serious Sana 😅😅..
Pole sana Nimeona You are too Emotional!!
Kwa hicho kitu kama unataka kweli kuwa mwanaume shupavu Hupaswi kabisa Kucatch feelings..
SIfa kuu ya Mwanaume (Masculine Aspects) ni Ngozi Ngumu kwa mambo yote..
Na ndo maana hata kama mtoto wa kiume akiwa na Miaka 14 na mwanamke akiwa na miaka 30 kukitokea kitu cha Hatari bhasi yule mwanamke mwenye Miaka 30 ataenda kujificha nyuma ya Mwanaume mwenye miaka 14..
Unajua kwanini?
Anahisi yuko.salama zaidi kwa sababu anaamini mwanaume haogopi kitu..
Sasa na wewe unaniangusha kuogopa Comments za watu ambazo hazichubui wala hazikung'oi hata Unyoya wa nywele..
So You have to be A man, Son..
Its Time to Man up..
Stop Acting Weird
🤣🤣🤣🤣🤣Acha jazba bwana weka vitu story yako tamuJAMANI SIJAKATAA KUSHUSHA EPISODES, STORY BADO HAIJAISHA TUWE WAPOLE KWANI HUKO MBELE MTAJUA MENGI MPAKA NILILAZWA HOSPITAL KAMA WIKI NA NUSU NILIPATIWA MATIBABU HOSPITAL YA JESHI YA KANDA MKOANI TABORA. NAJUA KUNA BAADHI YA WATU WANAIFAHAM NAWASHUKURU SANA MADAKTARI WALINIPAMBANIA NIKAPONA MPAKA HAPA NILIPO NAMSHUKURU SANA MUNGU NA MADAKTARI.
NISINGEPENDA TABIA YA KUNITOLEA LUGHA ZA MATUSI IENDELEE KWANI SO VIZURI MIMI NIMEAMUA KUSHEA NA NYIE STORY HII KWA RIDHAA YANGU SIO KWAMBA MNISHURUTUSHE.
Kuna watu wanajiona sana humu na wanajifanya kila kitu wanajua, sitaki kuwatag lakini wanajiujua.
Yaani Mercy umuibie halafu na ushauri umpe!we ni Mtu mbad sana🤣🤣Unajua tatizo lako ni nini?
Unachukulia comments ,za watu Serious Sana 😅😅..
Pole sana Nimeona You are too Emotional!!
Kwa hicho kitu kama unataka kweli kuwa mwanaume shupavu Hupaswi kabisa Kucatch feelings..
SIfa kuu ya Mwanaume (Masculine Aspects) ni Ngozi Ngumu kwa mambo yote..
Na ndo maana hata kama mtoto wa kiume akiwa na Miaka 14 na mwanamke akiwa na miaka 30 kukitokea kitu cha Hatari bhasi yule mwanamke mwenye Miaka 30 ataenda kujificha nyuma ya Mwanaume mwenye miaka 14..
Unajua kwanini?
Anahisi yuko.salama zaidi kwa sababu anaamini mwanaume haogopi kitu..
Sasa na wewe unaniangusha kuogopa Comments za watu ambazo hazichubui wala hazikung'oi hata Unyoya wa nywele..
So You have to be A man, Son..
Its Time to Man up..
Stop Acting Weird
😅😅Yaani Mercy umuibie halafu na ushauri umpe!we ni Mtu mbad sana🤣🤣
😃😃😃Ngoja tuone mwisho ilikuwaje😅😅
Mercy alimpoteza kwa kutokuzingatia mambo fulani mwanamke anatakiwa kubembelezwa hata kama akikosea 😅😅😅
Oky poa nimekupata Mkuu, ila kama nawew ni Dokta kweli basi jua upo miongoni mwa watu ambao hawana nafas katika moyo wangu take it positively nadhani hii ni psychological issueUnajua tatizo lako ni nini?
Unachukulia comments ,za watu Serious Sana 😅😅..
Pole sana Nimeona You are too Emotional!!
Kwa hicho kitu kama unataka kweli kuwa mwanaume shupavu Hupaswi kabisa Kucatch feelings..
SIfa kuu ya Mwanaume (Masculine Aspects) ni Ngozi Ngumu kwa mambo yote..
Na ndo maana hata kama mtoto wa kiume akiwa na Miaka 14 na mwanamke akiwa na miaka 30 kukitokea kitu cha Hatari bhasi yule mwanamke mwenye Miaka 30 ataenda kujificha nyuma ya Mwanaume mwenye miaka 14..
Unajua kwanini?
Anahisi yuko.salama zaidi kwa sababu anaamini mwanaume haogopi kitu..
Sasa na wewe unaniangusha kuogopa Comments za watu ambazo hazichubui wala hazikung'oi hata Unyoya wa nywele..
So You have to be A man, Son..
Its Time to Man up..
Stop Acting Weird
Poa nimewaacha ongeeni mnavyojiskia🤣🤣🤣🤣🤣Acha jazba bwana weka vitu story yako tamu