Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Sio kiulaini katumia mamilioni ili aichakate mara moja, dokta nae ni kilaza sanaDokta kashachakata mbususu kiulaini.
Hata sielewi imekuwaje yaani...🤣🤣🤣🤣Me sijasema hivyo kasema Chizi Maarifa
Unanitafutia Msala na uncle wangu DeMostAdmired..
umefanya Wrong quotes umechukua jina umeweka maandishi ya mtu mwingine🤣🤣
Angalia tena uone
Dokta kazingua sanaSio kiulaini katumia mamilioni ili aichakate mara moja, dokta nae ni kilaza sana
For sure, na bahati mbaya Binti(now mmama) alinichukia sana kwa kuwa upande wa dogo japo nae nilipo mshauri aachane na dogo alikua mzito.Hapo ndo unajua shida haikua kwako. Shida ilikua kwao wenyewe. [emoji16][emoji16]
Sema Mercy naye kazingua, yuko radhi kugawa kote kote( kwa jamaa na kwa Dokta) huku akijinasibu hakuna lolote baya[emoji2][emoji2][emoji2]Dokta kashachakata mbususu kiulaini.
Kwamba wewe ndio yule Bro aliyekuwa anapiga ganja na ndiye uliyempiga Dokta mkwara hewa[emoji2][emoji2][emoji2]For sure, na bahati mbaya Binti(now mmama) alinichukia sana kwa kuwa upande wa dogo japo nae nilipo mshauri aachane na dogo alikua mzito.
Broo uzi gani huo?Kaka,
Hadhira ya JF inapenda kusikia vitu wanavyovitaka. Upo uzi wa Ukahaba na Umalaya wa Kishua kule jukwaa la burudani. Jamaa kmtoa bikra dada yake na usiku huohuo kapiga bao kibao. Hakuna hata mmoja aliyempinga kwa kuwa WAPINGAJI wote WALIDINDISHA 😬 Ile story ni watu wanakula ganja, kashata za kikojozi, mitungi na mirungi na kutiana siku nzima. Hakuna hata mmoja anayepinga vitu vya ajabu vinavyosimuliwa, jinsi mama anavyoshuhudia binti yake akinyanduliwa na mumewe; jinsi mkwe anavyoliwa na Baba mkwe na mkwe anavyomsaga mama mkwe! Ule uzi kwa kweli, unalowanisha chupi za wadada na CHAPUTA wamepata msererekooooooo
Wewe uswasikilize kwa kuwa stress zao ndo chanzo cha yote haya. Endelea hadi mwisho. Hata InsiderMan walishampinga sana na hatimaye walikuja kumkubali tuuu
Alivumiliana sana ila ile siku katoka likizo na kaweza kumdhibiti ili asiende kulala na Dokta lodge, then akaona text za Dokta kulaumu, alipaswa kumuonesha Mercy na achukue hatua stahiki ya kuachana au kuendelea.Dem wako hakua na msimamo mkuu.
Sifa zoote ulizompa huko nyuma zimekuja kuharibika hapa. Yaani mpaka anapanga mipango ya kukucheat na uongo kibao, hapo huyo sio wako tena.
Na hilo jambo ulikua na uwezo wa kulizuia ila mapenzi yako ya kifilipino yakafanya ufe kijerumani na tai shingoni.
Unaacha kudeal na dem unaenda kuzozana na dokta, unaona text ya mgegedo unakausha eti hadi uambiwe. Sometimes wanawake hawapendi wanaume waoga waoga, ndo nyie kosa sio lako unaomba msamaha ili pisi isikasirike...
Pole sana dogo, i feel your pain.
Pengine demu alikua na njaa mana dokta anaonekana katumia pesa nyingi hadi kuichakata mbususuSema Mercy naye kazingua, yuko radhi kugawa kote kote( kwa jamaa na kwa Dokta) huku akijinasibu hakuna lolote baya[emoji2][emoji2][emoji2]
Kabisa, maana alisha kuwa na ushahidi wote kabisa.Alivumiliana sana ila ile siku katoka likizo na kaweza kumdhibiti ili asiende kulala na Dokta lodge, then akaona text za Dokta kulaumu, alipaswa kumuonesha Mercy na achukue hatua stahiki ya kuachana au kuendelea.
Daktari upo?Mercy??
Messy [emoji23][emoji23][emoji23]Pole sana Ila shida kubwa ipo kwa messy siwezi kumuita Mercy kwa sababu alikuwa hana huruma haendani na jina lake yeye alikuwa messy..
Uamuzi ulikuwa kwake kama Refa kuimaliza mechi mapema ila akaona Afanye Mercy kwa Dr na Afanye Messy kwako..
Ila yote ni Mesi Haijalishi ni mercy au Messy
Mm ikishafika hii stage. Kama manzi ni pisi. Naishusha grade tu, then naendekea kua najipigia tu mpaka siku itakapo shtukaHiyo Jumapili ulipitia maumivu makali sana.
..........Sema una moyo sana, Mwingine baada ya kuona zile sms siku umempokea Mesi angevunja hiyo simu na kubadiri sim card.
Mapenzi yanauma sana.
🤣🤣Messy [emoji23][emoji23][emoji23]
Oya,Mercy keshaliwa huku na Dr kajifanya kaenda kanisani kumbe imoooooooLeo hatulaliiii....wananchi wamejua kunifurahishaaa
Ila huyo Dr ni wewe kiukweli my instinct tells me so🤔🤔🤣🤣🤣🤣🤣
Mercy alichange into Messy...
Sasa kila mmoja akapata Mesi anayetaka 🤣🤣