Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Hii hali niipitia kwa single mama mmoja umbwa yule alijua kuniumiza,2019 kama sikupata pressure sitapata tena kwenye mahusiano,ogopa mpaka mama mzazi alikua karibu sana na mm kutokana na situation ivyokua
 
Hiyo Jumapili ulipitia maumivu makali sana.

..........Sema una moyo sana, Mwingine baada ya kuona zile sms siku umempokea Mesi angevunja hiyo simu na kubadiri sim card.

Mapenzi yanauma sana.
[emoji1787][emoji23][emoji1787]alikuwa anapitia mapigo tisa ya radi kama Roma ili aifikie levo ya kuipita DHIKI[emoji28]hata hivyo MESS alikuwa kama Edina, lengo kummaliza Mwamba huku anacheka tuuu [emoji24][emoji24][emoji24]kupigiwa a.k.a kuchapiwa huku unajuwa kunauma mnoooooooo. Ndo maana Wadada ninaokutana nao huwa nawaambiaga kabisa wasinipende mimi ila wajipende kwanza wao wenyewe maana nikishamaliza misheni yangu sinaga mpango tena [emoji41]
 
Tufundishe namna ya kuchek location

Sent from my SM-G950U1 using JamiiForums mobile app
 
Bwana mdogo anaenda kufanya usafi kwenye chumba cha binti tena anaenda na baskeli we unadhani angetoboa haha...

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Unamzingua Dogo akiona hilo Koti lako anajua ndio walewale.

Kifupi madem walikua wengi tuu sema Mercy kwa jamaa anavyomuelezea alikua dem mmoja mzuri sana afu kama kasabato flan hivi.
Wasabato tumekufanya nini mkuu? Mtoa mada Kaashasema mercy alikuwa mkkt na walikuwa wanaenda church j'pili.😁
 
Pole sana kaka ila mwanamke wa kichaga ilikua suala la mda tu akusaliti aseehh...kwenye pesa
Wanaangalia zaidi maslahi ya baadae kwanza we unaenda na bike mwenzio qnaenda na gari weeee .....tena kwa umri huo wenu ni rahisi mnoo kusalitiwa
πŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…