Nafikiri Zaidi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 516
- 684
Uko online muda mrefu nlijua una type episodeUZI UNAKUJA BAADAE NOW NAINGIA CHURCH, IBADA YA WATOTO IMEISHA TUNAINGIA WAKUBWA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko online muda mrefu nlijua una type episodeUZI UNAKUJA BAADAE NOW NAINGIA CHURCH, IBADA YA WATOTO IMEISHA TUNAINGIA WAKUBWA.
Pole sana kaka ila mwanamke wa kichaga ilikua suala la mda tu akusaliti aseehh...kwenye pesaMercy......
Kwahiyo ulienda kuzurura wap usiku wote huo mrembo?Leo hatulaliiii....wananchi wamejua kunifurahishaaa
Kaa kwa kutulia... Hayana fomula. Ukipewa kula ukinyimwa lala ukiamka kaoge kakojoe ulale tenaHta km nilikuwa sina imani na watt wakike ila kuanzia muda huu imani ndio imepotea yote kabisaaaa kumbe hawa wapuuzi wakinza kucht ndio wanazidisha mapenzi...... shenzzzy kabisa!
Kanaonekana kana sura nzuri.Mercy......
Hii sura sio ngeni.... sikumbuki ilikuwa wapi ila nahisi itakuwa lodge za maeneo ya Nyegezi.Mercy......
Hii hali niipitia kwa single mama mmoja umbwa yule alijua kuniumiza,2019 kama sikupata pressure sitapata tena kwenye mahusiano,ogopa mpaka mama mzazi alikua karibu sana na mm kutokana na situation ivyokuaHii inshu nilichelewa kuipitia ila imekuja kunitokea kwa kimchepuko changu nilichokuwa nakiamini sana,mpaka sasa naamin hakuna mwanamke ambae wajuba wakimtaka na akaruka
Kwanza nilishangaa kinabadili funicha za ndani haraka haraka tu nikaanza kupata wasi wasi
wote tu wake kwa waume tunazingua.Mercy we mercy wewe....ila wanawake narudia tena ila wanawake.
Hahahahahah hilo kosa la kwanza alifanyaYaani alitakiwa awashe moto mpaka Mercy mwenyewe aombe pooo....eti katulia Hadi kamegewa kizembe jamani....Ilitakiwa usiku ule ule alivyoona meseji za lodge amuashe na kibao Cha ujinga pale alipolala mbona kesho yake hata kanisani asingeenda
[emoji1787][emoji23][emoji1787]alikuwa anapitia mapigo tisa ya radi kama Roma ili aifikie levo ya kuipita DHIKI[emoji28]hata hivyo MESS alikuwa kama Edina, lengo kummaliza Mwamba huku anacheka tuuu [emoji24][emoji24][emoji24]kupigiwa a.k.a kuchapiwa huku unajuwa kunauma mnoooooooo. Ndo maana Wadada ninaokutana nao huwa nawaambiaga kabisa wasinipende mimi ila wajipende kwanza wao wenyewe maana nikishamaliza misheni yangu sinaga mpango tena [emoji41]Hiyo Jumapili ulipitia maumivu makali sana.
..........Sema una moyo sana, Mwingine baada ya kuona zile sms siku umempokea Mesi angevunja hiyo simu na kubadiri sim card.
Mapenzi yanauma sana.
Aiseee,pole sana,Hii hali niipitia kwa single mama mmoja umbwa yule alijua kuniumiza,2019 kama sikupata pressure sitapata tena kwenye mahusiano,ogopa mpaka mama mzazi alikua karibu sana na mm kutokana na situation ivyokua
Tufundishe namna ya kuchek locationMuendelezo.......
Yale maneno ya Dokta yaliniachia mawazo mengi sana.
Nilianza kuwachukia madaktari kwanzia siku ile. Nilipata funzo kwamba pesa ni kila kitu. Pesa inanunua furaha wazee asikudanganye mtu.
Zile varangati zote mimi na Dokta Mercy hakuwa anajua.
Basi zilipita kama siku mbili, ilikuwa ni kati kati ya week ya pili kutoka week ya mwsho ya vipindi wa darasani. Maana week ilofata ndo ilikuwa ya mwsho kuingia class
Sikujua kumbe ile text ya Tecra bado Mercy ilikuwa inamrudia kichwani mwake.
Niligundua baada ya kumfuma Mercy akiwa anachat na Tecra kumbe namba aliichukua akaisev katika cm yake.
Nilipogundua ilibidi nimuwakie kidogo maana after kufanya yale yote mpka kumpigia Tecra mbele yake sikutarajia kama Mercy angemtafuta tena Tecra.
Kitendo cha kumfokea Mercy kilizua ugomvi mpka nikajuta kwanini nilifanya vile.
Mercy alidai kwamba mimi kumfokea na kumkataza kuchat na Tecra ni dalili za kutaka kutetea penz langu na Tecra na japo nilimpigia cm mbele yake ila haamini kwamba nilikuwa serious alikua kwamba labda nilimtafuta Tecra baadae nakumuomba msamaha.
Mercy alikasirika mixer minuno akanifukuza kwake.
Nilikuwa nampenda sana Mercy lakini kitendo cha yeye kunifukuza niliona kama ni dharau sana.
Niliondoka lakini kabla ya kuondoka nikamwambia "Dokta kaanza kukupa kiburi na nilikuonya sana kuhusu Dokta. Hizo pesa ni zake na mke wake nakuomba kama kitendo hiki cha kunifukuza kwako kinauhusiano na Dokta basi nashukuru ila kama ni kwasabb ya Tecra basi naomba unisamehe Tecra sina malengo naye, nakupenda sana and am going to take my leave right now" nikafungua mlango nikachukua baiki yangu nikasepa.
Niliendesha kama mita 50 hivi nikaona ntagongwa namagari ni bora nishuke nikokote baiki yangu.
Niseme ukweli sikuwahi kuoata maumivu kama siku hii. Niliumia sana, akili ilivurugika na nilipatwa na hasira juu ya Dokta. NB: ukisikia mtu kajinyonga kwasababu ya mapenz usimshangae.
Niliamini kwamba jimechakganyikiwa baada ya kufika home.
Yule bro alikuwa bado hajasepa kurud kazini kwake.
Nilimkuta katoa kitu (wale wadau wa ganja wanaelewa) nilimuomba nipige japo mistari miwili tu.
Bro alivoona nimemuomba ganja akastuka akanifukuza dogo upo serious? Nikamjibu ndio nipe bro.
Kaniuliza ushawahi kutumia? Nikamjibu hapana. Akauliza kwanini ghafla hivi na nakuoma haupo sawa shida nini. Nikamueleza na mwsho nkamwambia Mercy kanifurunta kwake na hapa sijui nini ntafanya.
Wazee sio kila anayetumia ganja anakuwa Hana mawazo ya hekima. Hapa niligundua ganja inachagua vichwa kuna wengine wanakuwa wehubna wengine wanakuwa ma genius.
Yule bro alipiga kwanza vitu vyake akamaliza. Akanambia nitulie mule ndani nisifanye chochote wala nisijali yeye atanishauri nini nifanye.
Bro alichukuwa shirt akavaa, akaniuliza kama ninaweza kutoka nikiwa vile nilivo au kuna haja ya kwenda kubadirisha nguo nikamwambia niko poa.
Aliniambia niingie kwenye gar kuna mahali anataka kunipeleka.
Tukapanda tukasepa, kituo cha kwanza tulipita sheli, then tukaenda kuna mahali flani ni kama lounge lakini palikuwa pamechangamka na mandhari ilikuwa nzuri sana.
Tukaagiza, mimi niliagiza Bavaria na yeye alichukua vitu vyake ilikuwa ni pombe skumbuki jina lake lakini ni jamii ya wine.
Tuliagiza mbuzi nusu na nikaongeza na kimalta tukaendelea.
Bro aliniuliza ratiba ya kesho chuo nikafungua cm nikachek nikaona kipindi cha kwanza kulikuwa kinaanza saa 4 na dk 15 asubuhi.
Tulipomaliza nyama na vinywaji akanichukua tena tukahama kiwanja tukaenda ni kama club lakini ni kubwa sana watu shazi mziki mzuri umetulia.
Hapo mimi mawazo kwa Mercy tu japo bro alikua akiniona kama ninataka kusombwa na mawazo alikuwa ananistua ananambia kula bata mdogo wangu. Akanipa kama misimbazi mitano hivi akanambia hiyo Kaa nayo.
Mwshoni nikaanza kuhisi furaha mawazo kuhusu Mercy yakapungua japo nilikuwa nikienda washroom Mercy alikuwa ananiijia kichwani ila najaribu kumpunch.
Nilijitahidi sana kutokumpigia cm wala kumtext mpenz wangu kwasababu niliona yeye ndo anamakosa kunifukuza kwake ni kunikosea heshima yeye ndo alitakiwa kunitafuta na kuniomba msamaha kwahyo niliendelea kuugulia moyoni tu nikisubir Mercy anitafute.
Kiukweli nilikuwa nienjoy pale kiwanja lakini nikawa napata mawazo kwamba labda mda ule Dokta kamtafuta, labda kamtoa out wako wanaenjoy yani nilikuwa naijiwa na mawazo yahivo tu yakunitoa mchezoni. Mda mwingine nikawa napata mawazo ya kuangalia location aliopo Dokta kwa kutumia namba yake ya cm.
Maana kama cm imewekwa location on, na namba ya cm lakini ipo katika cm kuna namna unaweza kupata location ya mtu husika kupitia namba yake ya cm.
Nilijaribu kufanya vile lakini location haikusoma nikajuta ile laini haimo kwenye smart phone
Kuchek saa ni ngoma saba usiku Mercy hajanichek yani kala buyu. Chozi lililenga machoni nikawaza kuagiza pombe nijaribu kunywa ila kwasabb skuwahi kutumia kilev chchte nikajikuta naishia kwenye kuwaza tu vitendo zero.
See you.......
Bwana mdogo anaenda kufanya usafi kwenye chumba cha binti tena anaenda na baskeli we unadhani angetoboa haha...Dem wako hakua na msimamo mkuu.
Sifa zoote ulizompa huko nyuma zimekuja kuharibika hapa. Yaani mpaka anapanga mipango ya kukucheat na uongo kibao, hapo huyo sio wako tena.
Na hilo jambo ulikua na uwezo wa kulizuia ila mapenzi yako ya kifilipino yakafanya ufe kijerumani na tai shingoni.
Unaacha kudeal na dem unaenda kuzozana na dokta, unaona text ya mgegedo unakausha eti hadi uambiwe. Sometimes wanawake hawapendi wanaume waoga waoga, ndo nyie kosa sio lako unaomba msamaha ili pisi isikasirike...
Pole sana dogo, i feel your pain.
Si upole, ni hulka yake tuu. Na vile hapendagi kumuuzi mesi wa CR7[emoji3063]Dogo amezidi upole
Sifa ya mchepuko wangu lazima uwe unajitegemea.Ni kweli vimichepuko vinauma asee, kwanza sababu tunavigharamia sana kuliko hata mke.
Yani Kuna muda vinakupiga na kitu kizito mpaka unatamani kumuhadithia mkeo[emoji23]
Nilikuwa hapa hapa pa siku Zote zikwenda mahaliKwahiyo ulienda kuzurura wap usiku wote huo mrembo?
Wasabato tumekufanya nini mkuu? Mtoa mada Kaashasema mercy alikuwa mkkt na walikuwa wanaenda church j'pili.😁Unamzingua Dogo akiona hilo Koti lako anajua ndio walewale.
Kifupi madem walikua wengi tuu sema Mercy kwa jamaa anavyomuelezea alikua dem mmoja mzuri sana afu kama kasabato flan hivi.
💪💪💪Pole sana kaka ila mwanamke wa kichaga ilikua suala la mda tu akusaliti aseehh...kwenye pesa
Wanaangalia zaidi maslahi ya baadae kwanza we unaenda na bike mwenzio qnaenda na gari weeee .....tena kwa umri huo wenu ni rahisi mnoo kusalitiwa