Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Halafu ukimaliza anakusifia? 😄
tuchukulie hii situation. kuna ndugu yangu ni mchaga mke wake ni mzanaki. jamaa alifukuzwa kazi yuko nyumbani
mke anaendelea na ajira.
mwamba kaona sio kesi muda mwingi kwa sababu anakua nyumbani anaona apike, afue kwa siku ambazo mke anakua kazini
je wewe unaona anakosea? isitoshe mke wake anatoka alfajiri sana na anarudi usiku kwa nature ya anapofanyia kazi na walipojenga nyumba yao.
 
tuchukulie hii situation. kuna ndugu yangu ni mchaga mke wake ni mzanaki. jamaa alifukuzwa kazi yuko nyumbani
mke anaendelea na ajira.
mwamba kaona sio kesi muda mwingi kwa sababu anakua nyumbani anaona apike, afue kwa siku ambazo mke anakua kazini
je wewe unaona anakosea? isitoshe mke wake anatoka alfajiri sana na anarudi usiku kwa nature ya anapofanyia kazi na walipojenga nyumba yao.
Yeah! Alipaswa atafute kazi nyingine itakayomuingizia kipato. Jukumu la msingi la mwanaume katika familia ni kuhakikisha anakuwa provider.
 
Tuendeleee........

Maisha yalisonga nikiwa nipo kwa Mbwambo lakini nilikuwa narud magetoni kufata nguo na vitu vingine incase. NAMSHUKURU SANA Mbwambo alinisaidia sana.

Ngoja nimwambie kitu, Mbwambo kuna kipindi mwaka wa pili aliandamwa sana na sup ilibak kidogo adisco, Sasa aliniomba wakat wa kusapua ukifika basi niwe naye around ili niwe nampiga piga msasa. Baada ya field niliahirisha kwenda home kwaajili pia ya Mbwambo, tulikuwa tunakesha wote nampiga msasa na hatimaye akachomoa zote hii mwenyewe sikuamini yani jamaa alifuta sap zote alikuwa nazo tano ( sem2+sem3).

Nahisi hiki kitu ndo kilimfanya nayeye anisaidie na kuniona wa maana kwake. MERCY kuletwa na Dokta chuoni ikawa ni kawaida. Mimi huku hali ilizidi kuwa mbaya wanafunzi wenzangu walikua wote lakini Mercy hakujali hili.

Mbwambo alinishauri nitafute dem angalau wa kuniliwaza, nilimuona kama anaongea ujinga nikawa namjibu "kama Mercy wangu kabadirika kawa hivi basi hakuna dem mwingine nitakuja kumuamini".
Mbwambo akanambia "huyu dem naye kushauri umtafute sio kwa ajili ya kumpenda awe mpenz wako bali unasukuma naye time tu semester ikate tumalizie chuo". Haya maneno yalinifundisha kitu.

Baadae nikaja kumsikiliza Mbwambo lakini nikawa bado naathiriwa na ujinga wa Mercy, hakika nilikonda sana, nilikuwa natokwa na jasho sio polepole.

Nikaanza kufikiria ni nani nimvute awe bebe yangu kwa muda, nikawaza Mercy fek nikaona hapana ataniona kama mtu ninayetanga tanga baada ya kuachwa na Mercy kwasababu ni mtu aliyekuwa anajua kilichokuwa kikiendelea mwanzo mwsho.

Nilikuja kumpata dem mmoja anayeitwa "Merry" hii ni real name.
Huyu alikuwa ni mtu wa singida. Marry alikuwa ni first year, niliamua kwenda first year ili iwe ngum kwa dem wangu mpya kufaham story yangu na hata kama atakuja kuifaham basi iwe tyr nishamuweka under utawala wangu kwahyo haitakuwa na shida sana.

Nilikuwa na huyu Merry lakini nikawa najisemea kama Mercy atarudi Merry anaoigwa chini fasta tu maana Mercy alikuwa ananafasi ya kioekee katika moyo wangu.

Ndugu zangu huyu Merry ni binti mwembama, mrefu, mweupe na nywere zake zakiaina flan nadhani ni mtu wa singida lakini kamix na wairaq.
Merry alikuwa ananipa penzi as if alikuja kwangu kwa lengo la kunitibia yake maumivu kutoka kwa Mercy.

Merry alikuwa ananipa mapenz ya moto na ya dhat yani kama dozi hakunibania kama Mercy alivokuwa ananifanyia. Namimi nikaenda na tempo yake ikawa ni mwendobwa show tu yani nilikuwa nikimwambia nipo geto dakika chache tu namuona huyu hapa, nilianza kupata afadhar lakini ile hali ya kutokwa na jasho ilikuwa bado inaendelea na kukonda kukawa palepale kumbe nilikuwa nimepata shida mpka kwenye moyo sikuwa najua.

Ile semester ya mwisho ilikuwa ngum sana lakini nafikiri ingekuwa ngumu Zaid kama ningekuwa sina akina Mbwambo na Merry dem wangu wa first year.

Merry alikuwa ananijali sana na nikaanza kumpenda lakini bado Mercy still alikuwa anarotate katika mind yangu na muda wote nilikuwa namuwaza kwakweli.
Siku zilienda maisha yakasogea semester ikawa inakaribia mwishoni. Hapo Sasa mawasiliano na Mercy hayakuwepo kabisa na nikawa namuona tu venue, kitaa basi.

Kuna siku niliumia sana, ilikuwa ni weekend nimeenda town, nilikuwa alone nlienda crdb town kutoa pesa maana ATM ya kule chuoni ilipata shida kidogo kwahyo ikanibid niende town. Nilivokuwa navuka barabara ili niingie bank nikamuona Mercy na Dokta wanatoka kwenye duka la vipodoz lilikuwa mkabala na bank. Wao hawakuniona, ile kitu iliniuma sana nikatamani nimchek kwenye cm japo nimwambie nimemmiss lakini nikaona ni upuuzi nitampa point tatu za bure.

Kidume nikajikaza hilo jambo likapita nikazoea, kuna siku tena nikawaona wanatoka alipokuwa anakaa Mercy walikuwa katika gari wanaishirizia zao mtaani. Nikiona mengi nilivumilia lakini baadae nikaja kuoma nguvu ya kukaa kimya.

Ulikuwa imebak kama mwez hivi tuingie UE ya mwisho tumalize chuo, siku hiyo nikaona mesej ya Recho rafkiake Mercy. Alinichek akanambia Mercy ni kama hayupo sawa anaonekana kazinguana na Dokta wake.

Nikamwambia asante kwa taarifa lakin asiwe ananambia habari za Mercy kwasbb nilikuwa nikisikia jina lake moyo ulikuwa unalipuka kama nimepigwa na shot ya umeme wa grid ya taifa.
Sio kusikia jina tu hata nilipokiwa nikimuona nilikuwa nalipukwa sana na moyo. Hii hali ilikuwa inanisababisha natokwa sana na jasho na nakuwa na hasira sana zisizo na maana.

See you......
 
Tuendeleee........

Maisha yalisonga nikiwa nipo kwa Mbwambo lakini nilikuwa narud magetoni kufata nguo na vitu vingine incase. NAMSHUKURU SANA Mbwambo alinisaidia sana.

Ngoja nimwambie kitu, Mbwambo kuna kipindi mwaka wa pili aliandamwa sana na sup ilibak kidogo adisco, Sasa aliniomba wakat wa kusapua ukifika basi niwe naye around ili niwe nampiga piga msasa. Baada ya field niliahirisha kwenda home kwaajili pia ya Mbwambo, tulikuwa tunakesha wote nampiga msasa na hatimaye akachomoa zote hii mwenyewe sikuamini yani jamaa alifuta sap zote alikuwa nazo tano ( sem2+sem3).

Nahisi hiki kitu ndo kilimfanya nayeye anisaidie na kuniona wa maana kwake. MERCY kuletwa na Dokta chuoni ikawa ni kawaida. Mimi huku hali ilizidi kuwa mbaya wanafunzi wenzangu walikua wote lakini Mercy hakujali hili.

Mbwambo alinishauri nitafute dem angalau wa kuniliwaza, nilimuona kama anaongea ujinga nikawa namjibu "kama Mercy wangu kabadirika kawa hivi basi hakuna dem mwingine nitakuja kumuamini".
Mbwambo akanambia "huyu dem naye kushauri umtafute sio kwa ajili ya kumpenda awe mpenz wako bali unasukuma naye time tu semester ikate tumalizie chuo". Haya maneno yalinifundisha kitu.

Baadae nikaja kumsikiliza Mbwambo lakini nikawa bado naathiriwa na ujinga wa Mercy, hakika nilikonda sana, nilikuwa natokwa na jasho sio polepole.

Nikaanza kufikiria ni nani nimvute awe bebe yangu kwa muda, nikawaza Mercy fek nikaona hapana ataniona kama mtu ninayetanga tanga baada ya kuachwa na Mercy kwasababu ni mtu aliyekuwa anajua kilichokuwa kikiendelea mwanzo mwsho.

Nilikuja kumpata dem mmoja anayeitwa "Merry" hii ni real name.
Huyu alikuwa ni mtu wa singida. Marry alikuwa ni first year, niliamua kwenda first year ili iwe ngum kwa dem wangu mpya kufaham story yangu na hata kama atakuja kuifaham basi iwe tyr nishamuweka under utawala wangu kwahyo haitakuwa na shida sana.

Nilikuwa na huyu Merry lakini nikawa najisemea kama Mercy atarudi Merry anaoigwa chini fasta tu maana Mercy alikuwa ananafasi ya kioekee katika moyo wangu.

Ndugu zangu huyu Merry ni binti mwembama, mrefu, mweupe na nywere zake zakiaina flan nadhani ni mtu wa singida lakini kamix na wairaq.
Merry alikuwa ananipa penzi as if alikuja kwangu kwa lengo la kunitibia yake maumivu kutoka kwa Mercy.

Merry alikuwa ananipa mapenz ya moto na ya dhat yani kama dozi hakunibania kama Mercy alivokuwa ananifanyia. Namimi nikaenda na tempo yake ikawa ni mwendobwa show tu yani nilikuwa nikimwambia nipo geto dakika chache tu namuona huyu hapa, nilianza kupata afadhar lakini ile hali ya kutokwa na jasho ilikuwa bado inaendelea na kukonda kukawa palepale kumbe nilikuwa nimepata shida mpka kwenye moyo sikuwa najua.

Ile semester ya mwisho ilikuwa ngum sana lakini nafikiri ingekuwa ngumu Zaid kama ningekuwa sina akina Mbwambo na Merry dem wangu wa first year.

Merry alikuwa ananijali sana na nikaanza kumpenda lakini bado Mercy still alikuwa anarotate katika mind yangu na muda wote nilikuwa namuwaza kwakweli.
Siku zilienda maisha yakasogea semester ikawa inakaribia mwishoni. Hapo Sasa mawasiliano na Mercy hayakuwepo kabisa na nikawa namuona tu venue, kitaa basi.

Kuna siku niliumia sana, ilikuwa ni weekend nimeenda town, nilikuwa alone nlienda crdb town kutoa pesa maana ATM ya kule chuoni ilipata shida kidogo kwahyo ikanibid niende town. Nilivokuwa navuka barabara ili niingie bank nikamuona Mercy na Dokta wanatoka kwenye duka la vipodoz lilikuwa mkabala na bank. Wao hawakuniona, ile kitu iliniuma sana nikatamani nimchek kwenye cm japo nimwambie nimemmiss lakini nikaona ni upuuzi nitampa point tatu za bure.

Kidume nikajikaza hilo jambo likapita nikazoea, kuna siku tena nikawaona wanatoka alipokuwa anakaa Mercy walikuwa katika gari wanaishirizia zao mtaani. Nikiona mengi nilivumilia lakini baadae nikaja kuoma nguvu ya kukaa kimya.

Ulikuwa imebak kama mwez hivi tuingie UE ya mwisho tumalize chuo, siku hiyo nikaona mesej ya Recho rafkiake Mercy. Alinichek akanambia Mercy ni kama hayupo sawa anaonekana kazinguana na Dokta wake.

Nikamwambia asante kwa taarifa lakin asiwe ananambia habari za Mercy kwasbb nilikuwa nikisikia jina lake moyo ulikuwa unalipuka kama nimepigwa na shot ya umeme wa grid ya taifa.
Sio kusikia jina tu hata nilipokiwa nikimuona nilikuwa nalipukwa sana na moyo. Hii hali ilikuwa inanisababisha natokwa sana na jasho na nakuwa na hasira sana zisizo na maana.

See you......
So sorryy son...duhhh
Mapenzi jamani,huyo dada mweeeee alijua kukuuumiza ,pesa mwanakharamu nyiee hapo kwenye shida ya moyo nimeshtuka ghafla mpk nimeumia
 
Tuendeleee........

Maisha yalisonga nikiwa nipo kwa Mbwambo lakini nilikuwa narud magetoni kufata nguo na vitu vingine incase. NAMSHUKURU SANA Mbwambo alinisaidia sana.

Ngoja nimwambie kitu, Mbwambo kuna kipindi mwaka wa pili aliandamwa sana na sup ilibak kidogo adisco, Sasa aliniomba wakat wa kusapua ukifika basi niwe naye around ili niwe nampiga piga msasa. Baada ya field niliahirisha kwenda home kwaajili pia ya Mbwambo, tulikuwa tunakesha wote nampiga msasa na hatimaye akachomoa zote hii mwenyewe sikuamini yani jamaa alifuta sap zote alikuwa nazo tano ( sem2+sem3).

Nahisi hiki kitu ndo kilimfanya nayeye anisaidie na kuniona wa maana kwake. MERCY kuletwa na Dokta chuoni ikawa ni kawaida. Mimi huku hali ilizidi kuwa mbaya wanafunzi wenzangu walikua wote lakini Mercy hakujali hili.

Mbwambo alinishauri nitafute dem angalau wa kuniliwaza, nilimuona kama anaongea ujinga nikawa namjibu "kama Mercy wangu kabadirika kawa hivi basi hakuna dem mwingine nitakuja kumuamini".
Mbwambo akanambia "huyu dem naye kushauri umtafute sio kwa ajili ya kumpenda awe mpenz wako bali unasukuma naye time tu semester ikate tumalizie chuo". Haya maneno yalinifundisha kitu.

Baadae nikaja kumsikiliza Mbwambo lakini nikawa bado naathiriwa na ujinga wa Mercy, hakika nilikonda sana, nilikuwa natokwa na jasho sio polepole.

Nikaanza kufikiria ni nani nimvute awe bebe yangu kwa muda, nikawaza Mercy fek nikaona hapana ataniona kama mtu ninayetanga tanga baada ya kuachwa na Mercy kwasababu ni mtu aliyekuwa anajua kilichokuwa kikiendelea mwanzo mwsho.

Nilikuja kumpata dem mmoja anayeitwa "Merry" hii ni real name.
Huyu alikuwa ni mtu wa singida. Marry alikuwa ni first year, niliamua kwenda first year ili iwe ngum kwa dem wangu mpya kufaham story yangu na hata kama atakuja kuifaham basi iwe tyr nishamuweka under utawala wangu kwahyo haitakuwa na shida sana.

Nilikuwa na huyu Merry lakini nikawa najisemea kama Mercy atarudi Merry anaoigwa chini fasta tu maana Mercy alikuwa ananafasi ya kioekee katika moyo wangu.

Ndugu zangu huyu Merry ni binti mwembama, mrefu, mweupe na nywere zake zakiaina flan nadhani ni mtu wa singida lakini kamix na wairaq.
Merry alikuwa ananipa penzi as if alikuja kwangu kwa lengo la kunitibia yake maumivu kutoka kwa Mercy.

Merry alikuwa ananipa mapenz ya moto na ya dhat yani kama dozi hakunibania kama Mercy alivokuwa ananifanyia. Namimi nikaenda na tempo yake ikawa ni mwendobwa show tu yani nilikuwa nikimwambia nipo geto dakika chache tu namuona huyu hapa, nilianza kupata afadhar lakini ile hali ya kutokwa na jasho ilikuwa bado inaendelea na kukonda kukawa palepale kumbe nilikuwa nimepata shida mpka kwenye moyo sikuwa najua.

Ile semester ya mwisho ilikuwa ngum sana lakini nafikiri ingekuwa ngumu Zaid kama ningekuwa sina akina Mbwambo na Merry dem wangu wa first year.

Merry alikuwa ananijali sana na nikaanza kumpenda lakini bado Mercy still alikuwa anarotate katika mind yangu na muda wote nilikuwa namuwaza kwakweli.
Siku zilienda maisha yakasogea semester ikawa inakaribia mwishoni. Hapo Sasa mawasiliano na Mercy hayakuwepo kabisa na nikawa namuona tu venue, kitaa basi.

Kuna siku niliumia sana, ilikuwa ni weekend nimeenda town, nilikuwa alone nlienda crdb town kutoa pesa maana ATM ya kule chuoni ilipata shida kidogo kwahyo ikanibid niende town. Nilivokuwa navuka barabara ili niingie bank nikamuona Mercy na Dokta wanatoka kwenye duka la vipodoz lilikuwa mkabala na bank. Wao hawakuniona, ile kitu iliniuma sana nikatamani nimchek kwenye cm japo nimwambie nimemmiss lakini nikaona ni upuuzi nitampa point tatu za bure.

Kidume nikajikaza hilo jambo likapita nikazoea, kuna siku tena nikawaona wanatoka alipokuwa anakaa Mercy walikuwa katika gari wanaishirizia zao mtaani. Nikiona mengi nilivumilia lakini baadae nikaja kuoma nguvu ya kukaa kimya.

Ulikuwa imebak kama mwez hivi tuingie UE ya mwisho tumalize chuo, siku hiyo nikaona mesej ya Recho rafkiake Mercy. Alinichek akanambia Mercy ni kama hayupo sawa anaonekana kazinguana na Dokta wake.

Nikamwambia asante kwa taarifa lakin asiwe ananambia habari za Mercy kwasbb nilikuwa nikisikia jina lake moyo ulikuwa unalipuka kama nimepigwa na shot ya umeme wa grid ya taifa.
Sio kusikia jina tu hata nilipokiwa nikimuona nilikuwa nalipukwa sana na moyo. Hii hali ilikuwa inanisababisha natokwa sana na jasho na nakuwa na hasira sana zisizo na maana.

See you......
Twende kazi
 
Tuendeleee......

Baada ya wiki moja tena Recho akanambia anahitaj kuniona nikamuliza kuna shida gani akanambia anashida zake binafsi. Tukapanga tuonanae geto kwake huyu Recho, geto kwake sio mbali na kwa Mercy.

Siku hiyo nipo kwa Recho hata hatujaanza stor Mercy akafika akatusalimia pale akakaa.
Nilivomuona Mercy nilipatwa na hasira isiyo ya kifani. Nilikuwa nasubiri nini kitafuata, Mercy akaniita "DeMostAdmired naomba msamaha sana kwa yote nilokufanyia ninaweza kujielezea na naamini utanielewa, mimi nakupenda sana". Kwa wazoefu mtanielewa, nilijikuta napatwa na hasira sana nikafungua mlango nikasepa zangu sikuongea chochote nikamwambia Recho asirudie tena kunikutanisha na Mercy waniache kwanza.

Kwa kiasi flan nikapata ahueni kwasbb niliona Mercy Sasa yamemshinda huko alikokuwa na kaona kuwa mimi ni wamaana.
Baada ya pale ndugu zangu zilikuwa ni cm na texts mfululizo kutoka kwa Mercy. Nilijikaza kama kwa wiki moja hivi then baadae nikaona haina shida ngoja nianze kumpokelea cm zake na kujibu texts zake.

Mawasiliano yalirudi na Mercy kwakuwa nilikuwa bado nampenda nikaamua nirudiane naye. Kimbembe kilikuja kwa Merry, Mercy aligundua kuwa nipo na Merry, akaniambia niachane naye. Mimi naye sikuwa na hiana nikamuweka pembeni Merry japo siku moja moja nilikuwa namtafuta tunapasha viporo.

Ndugu zangu speed alorud nayo Mercy kwangu ilikuwa sio ya kawaida, yani nilikuwa napewa mapenz ya premium version.
Nilikuwa natolewa out za kustukiza, mazawad yakutosha hakika nikaanza kukaa sawa japo kumbe tyr Ile shida ya moyo ilikuwa ishakuwa kubwa yani furaha nilikuwa nayo ila Ile shida ya kutokwa na jasho sana iliendelea. Nilikuwa najiskia vbaya sometimes na hii nikajua tu ni kwasababu ya trauma alonisabbshia Mercy.

Kuna mkasa ulitokea, kifupi ulikuwa ni ugomv mkubwa kati ya Mercy na Merry, Mercy alimfata Merry akampiga bit na Merry naye akakaza asee ilikuwa ni tatizo lakini mimi niliona Mercy analeta wivu wa kinafiki kwasababu yeye ndo alisababsha mpka nikamtafuta Merry. Washkaji na madem wengine class wakawa wananisihi nisimuache Merry kwani Mercy tyr alionekana ni mtu wa kijinga. Pamoja na watu kunisihi vile lakini bado nilikuwa siwasikii mwsho wa siku nikachagua kuishi na Mercy.

Siku zilisogea tukawa tunakaribia UE, nikaanza kuona dalili mbaya kwa Mercy.
Kifupi nilianza kuona dalili za mimba kwa Mercy, niliona amekuwa mchovu, kutema tema mate. Nikaona kabisa huyu atakuwa na mimba, ikabidi nimuulize kwasababu mzunguko wa Mercy nilikuwa naujua na kwamuda ambao tulikuwa tumerudiana naye baada ya kutoka kwa Dokta niliona kabsa kama ni mimba basi sio yangu hundred percent.

Nilipomuliza akanambia ataenda kupima, alipoenda kupima kweli bhna alikuwa na mimba.

Nikamuliza mimba ya nani, Mercy hakutaka kunidanganya alinambia kwamba mimba anahisi ni ya Dokta sio yangu.

See you.......
 
Back
Top Bottom