Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

100%Pure..
Love Psychology
 
DeMostAdmired,

Pole kwa yaliyokukuta hasa changamoto ya afya ya moyo.

Japo hatukulaumu kwa mazingira uliyokuwa unapitia; lakini kumuacha Mary for Mercy after everything you had been through, was a grave mistake.

Ulipaswa umpende Mary maana she was there when Mercy deliberately couldn't. You should have reciprocated her love.

Otherwise, karma would fairly go after you.
 
Mapenz kaka ni upofu
 
Hta km nilikuwa sina imani na watt wakike ila kuanzia muda huu imani ndio imepotea yote kabisaaaa kumbe hawa wapuuzi wakinza kucht ndio wanazidisha mapenzi...... shenzzzy kabisa!
🥳🥳
baby shower🥳
 
Haha...kakaa tetea wanaume wenzio bwana
 
UZI UNAKARIBIA KUISHA HATA HIVYO NAMIMI NIMECHOKA NATAMANI NIMALIZIE STORY SHORT AND CLEAR LAKINI NAONA KAMA MTAKOSA UTAMU.

NIMEJIFUNZA MENGI PIA KUTOKA KWA WALIMWENGU WAJF. ACHA TU NIKAE KIMYA ILA MWISHONI NITAWATAG WATU AMBAO NI VICHWA VIBOVU AMBAO MWANZO MWISHO WAO WALIKUWA NA KAZI YA KUNITUKANA NA KINIDHARAU TU.
 
Tupe cha kulalia
 
nss ? kama sijakosea
 
Very good story broh naimani ni kweli kabisaa
Hao walokuponda wasamehe bure kamwe usitarajie watu wote wawe upande wako ktk maisha
Honestly nimejifunza kitu hapa na uzee wangu wote huu
Pole kwa uliyopitia naimani utakua umepona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…