Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Na uhakika hata saivi tunavochekana hapa jf watu wananizonga ila kuna mtu saiz anaendeshwa na mapenz hakuna mfano pengine hata mimi afadhari haf yupo ananivimbia mimi hapa wakat yake yanamtoa dam huko.
 
Kaaahhh we jamaa Mungu akuweke sana duhhhh
 
Usinisahau.
 
Hawez kuzikuta nilizihifadhi kwenye google drive yangu, jaribu hata wew ukizipata nakuruhusu njoo uzimwage hapa jamvini. Huyo jamaa ni kichwa kibovu
Mkuu mimi nina uwezo wa kuzipata ila siwezi kufanya hivyo Kw sababu haipendezi..

Kwanini nasema nina uwezo wa kuzipata
Umetoa information ambazo kiIntelligenjia zinaweza kutumika kujua Kuhusu Wewe..
Kiforensic pia zinaweza kukutrace wewe..
Mwaka uliosoma..
Course uliosoma
Mazingira ya shuleni
Shule umesoma miaka mingapi
Baadhi ya majina

Siitaji kufanya hivyo kwa sababu sina haja na wala siwezi kwa sababu zangu maalumu usisahau hata gari la Daktari kwa miaka ya 2020 mpaka 2021..
Umelitja aina ya Xtrail..

But why nifatilie kama ni fiction au ni non fiction cuz Hata kama ni fiction ipo kunifundisha pia na kuniburidisha na kupunguza mawazo na uchovu wa shughuli za kutafuta ugali..

Uncle shusha vitu bhna achana na hayo.mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…