Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Kosa siyo la dokta na utamlaumu bure hata kama asingekuwa dokta basi angeliwa na mwanaume mwingine.
Mwanamke asipokukubalia huwezi kuwa naye kimapenzi.
Kijana nishatongoza wengine wakanikubali na wengine wakakataa, na mwanamke akikukataa huwa anakataa vibaya mpk wewe mwenyew humtafuti.
Mercy angekuwa hajibu meseji yoyote ya Dr, huyo dr mwenyewe asingemfuata.
Kibaya usichokijua ni kuwa ndoto kuu ya mwanamke ni
1. Anapenda aolewe na mwanaume mwenye hela
 
Hakika umenena ya kweli hakuna aliyeanza ujanja bila kupitia ujinga kwanza
 
Nimeuchukua ushaur
 
Asa kumalizia story unangoja nn?? Mkionaga watu wamependa story zenu mnaanzaga kujivuta kuzimalizia sijui waga mnaamaanisha nn??
Stor nishamaliza wewe zitafute episodes utazipata hukuhuku zimo
 
Mkimaliza kumpa ushauri juu ya Mercy na Doctor naomba mje uku kwa Jane mtoto wa Singida

 
Khaaa nimemaliza kusoma ila umenikera sana kwa jinsi unavyopenda kupitiliza.. huyu Mercy mwambie tu ukweli kwamba huwezi kumuoa maana nakuona tu unavyomuoa mercy. Pia Mercy akipata bwana mwenye pesa ndefu atapita naye.
Tungeweza kuwashauri watoto wetu huko vyuoni wangefanya mapenzi kuwa ya ziada sana na sio kuishia kupata uginjwa wa moyo kisa demu uliyekutana naye ukubwani.
 
BOra hukuoa


Sasa wewe tafuta hela
Namba ya demu wa dokta tunayo😂
 
Mapenzi ni ujinga,mapenzi ni upuuzi,mapenzi ni upumbavu,

Ila

Mapenzi ni faraja,mapenzi ni amani,mapenzi ni kuwa na furaha


Yanii mapenzi ni indescribable

Mwamba umepitia yote big up sana imekukomaza na hutafanya maamuzi ya kijinga tena "kama wale wa redioni"kwako maana wanaopitia upande mmoja huishia kuumia au kufurahia sanaa!!!
 
Hakika
 
Ile story ya uongo, i left alipoanza kuleta story za usalama kuhusika na yule katibu mkuu. Totally a lie
 
Ushauri mzuri ila nyie inaonekana kabisa bado hamkuwahi kupenda. Expectations ukishakaa na mtu muda mrefu kidogo ndo zinazoumiza. Ukichanganya na mazoea, unakufa kabisa kihisia. Ukiona mtu ka move on kirahisi rahisi ujue huyo hakupenda basi kiukweli ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…