Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Chief ungefunguka zaid ingependeza sana hasa izo mambo za PUSSIFIED MEN na FACT and LOGIC
Ameongea kiluga luga sana au sio??? Afunguke mtu amwelewe,sio mpka ma dictionary akati ni mswahili
 
Nakuelewaga sana mkuu
 
Mm sio Nabii ila naiona ndoa kati yako na mercy nawaona mtakuja kuoana hata kwa kutuficha Wana JF tusijue na nayaona majuto makubwa zaidi ya yale ya chuo kwa kufanya maamuzi hayo.

Note: 1 kikombe Cha ndoa yako ww na mercy kwa mtirirko wa story yako nipende kusema kukiepuka ni kigumu mno narudia tena mno. Simply kwasb mnapendana wapo ambao hawataelewa ila nakuambia mnapendana sio ww tu hata yeye anakupenda no matter alitoka na dokta.

Watu weng Sana wanatumia pesa kuwaachanisha watu mwisho wasiku wanaishia majonzi yaani huyo dokta pona yake ni kwakuwa ana familia asingekuwa na familia angetaka kumuoa mercy ili akukomeshe zaidi, hajui kama angefanya hvyo ungekuwa unamchapia siku yoyote ukijisikia

Kwann kwasabab nyiny hamjaachana Bali mmeachanishwa ila mioyo yenu Bado ipo pamoja na ndio maana pamoja na majeraha yote Bado distance ni 0
Fuatilia utakubaliana namm mapenz mengi yanayoachanishwa huendelea watu ili waachane wagombane wenyew na sio atokee mtu kufanya muachane

mfano mdogo wazaz ambao wanazuia watoto wao wasiliwe na vijana mtaani anasemwa Leo kesho kama kawaida tena na yule yule ila siku wakigombana wenyew serious huoni hayo mapenz yakiwa na nguvu yanapotea taratibu Kisha kufa kabisa

2: Mateso yatakuwa makubwa kwasab katika ndoa yenu dokta atakuwa rasmi ni mwanafamilia anaweza kuja kumwona mtoto na atatumia hyo kama fimbo kukunyoosha live sio kwa msg tena.

3: Akili za kuambiwa changanya na zako kila kitu kweny maisha kinatokea kwa sababu , kuna kinachotokea kukufunza wewe mwenyewe na kuna kinachotokea kikakuumiza ww kama hv lakini mlengwa wa kujifunza yupo humu JF pengine ni Mimi , wewe ni mkristo utanielewa kwa haraka juu ya mfano huu

Samsoni alitoborewa macho lakini faida ilikuwa ni kwa wengine ambao ndio walilipiwa kisasi Hali yakuwa Mateso kapata yeye tafakar Sana hilo utapata majibu. Kama ni mpnz wa kusoma vitabu kuna kitabu kinaitwa SASA NAANZA KUISHI ameandika Mwl Francis Langula kinaweza kukupa Afya mpyaa na kesho yako Kwa ushauri zaidi unaweza nichek
 
Msamehe bro
 
Kwenye kupendana hapa ni uongo huyu dogo ndio anampenda merc.


Merce alikua hampendi huyu dogo merce alikua anamtumia tu huyu dogo na alikua anamtumia kwenye masomo tu.

Merc angempenda huyu dogo basi asinge kubali wapange vyumba tofauti na mbali. Na hii ilikua ni red flags kwa dogo.

Mwanamke akikupenda hakubanii mbunye ni wewe tu na nguvu zako na atakusumbua sana umgonge ila dogo anajisifia hapa kwa semester wanadinyana mara mbili tu yaani wanadinyana mara mbili ndani ya miezi minne [emoji23][emoji23][emoji23] hii ni dhahiri merc hakua na hisia za kimapenzi na huyo dogo.

Tukija kwenye hela tulio bahatika kupendwa na wanake tunajua mwanamke ndio mhongaji mkubwa pale alipo penda yaani atafanya kila kitu hata boom lake angekupa kadi yake uwe ndio controla wa kila kitu. Ila hapa naona uliteseka kipesa wakati wote wawili mlikua na boom na bado unadai kwa akina merc mpunga upo.

.....kiufupi tu ni kwamba tumuambie huyu dogo kuwa Merc hajawahi kukupenda ila alikua anakutumia tu na kakutumia na kukufuja haswa.

.....the good things is bado anaendelea kukutumia saizi kumliwaza na stress zake za usingo maza [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

.....we dogo baba yako na mama yako hawakukuleta duniani kwa ajiri ya kuja kutumikia huyo paka poli by name of love wakeup.

.....Halafu usivyo na aibu wewe ndio unajichatisha sana kuliko merc we dogo vipi....? Wenzio kwenye maji tunazama wewe unaelea vipi wewe ni nani......? Diver au boya bila shaka wewe ni BOYA maana unavinasaba vyote vya uboya.


MERCE HAKUPENDI WE MBWA ANAKUTUMIA TU.
 
Nilitaka niandike hichi ulichoandika sema umeniwahi,yaan kiufupi dogo alikuwa hapendwi sema mercy alikutumia kwenye masomo kwasababu wewe ulikua john kisomo...mwanamke kwao wana hela lkn mwanetu ulikula shuruba kinoma kumhudumia[emoji23][emoji23]...mwanamke akikupenda guys yaan kwenye swala la pesa hatokusumbua kabsa na asingekubali mpange vyumba tofauti
 
Bado nasema tena walikuwa wanapendana , lazma utambue mercy kufanya maamuzi hayo kulikuwa na msababishi nyuma yake na sio aliamua tu na alishampiga an expected attack mara kadhaa jamaa akawa anajitetea, mwisho wa siku demu lazma aseme kama mm nawakatalia watu halaf mwenzangu anafanya bora namm nimwage mboga pengne Huku ndiko nnapopendwa kweli.

Kiufup ukiona mwanamke Hadi anachepuka asilimia 90 mwanaume ndio chanzo

Wanawake wanaugonjwa mmoja hiv wa kipumbavu huwa nauita yaani ni watu wakulipa kisasi kinachowaumiza wao wenyewe. ambacho awali hawajui kama kisasi hiko huwa kinawaumiza wenyewe, akikufuma na mtu anaweza panga atembee hata na rafiki yako akifkr anakukukoma kumbe kinachoumia ni kiungo chake.

Kuhus swala la kusex mara chache ni jambo la kawaida Sana hasa kwa watu wenye malengo ya kusoma wenyew huwa wanaona kufanya tendo kunapunguz akili nakumbuka binafsi nilikuwa na demu toka form 1 had form 4 sijawah kutembea naye zaidi ya romance tu kisa tulikuwa tunajifanya tunasoma nilitembea naye baada ya kumaliza shule kwahyo ni jambo la kawaida na huwa linatokea ila akitokea mmoja ni anapenda kusoma mwngne hapend hapo show show daily yaan na mmoja atamfuata mwenzake mazima.
 
Personal attack,personal offense.....narudia tena kaka unaua acha kushambulia bila kutazama
 
Na hiyo juive point ya mtaani kwenu ilikuwa inaitwa SETO JUICE POINT
 
Labda kama umejikita kwenye kuwatetea wanawake .

Merc angempenda dogo basi zile fumanizi za meseji merc ndio ingekua kigezo cha kumganda zaidi dogo

Na hapo merc ndio angekua anashinda muda wote kwa dogo na hata kubeba mimba ya dogo kama wanavyuo wengi wanavyo zaa na wanafunzi wenzao
 
Personal attack,personal offense.....narudia tena kaka unaua acha kushambulia bila kutazama
Bila hivi hawa wanao zingua kwa kujifanya wanapenda huwa hawaelewi.

Yaani jitu halijihurumii....muda huu anaumwa hadi Moyo kisa huyo demu wake ila hakomi sasa tuongee nae vipi....?

Tumbembeleze kama mtoto au.....? Inabidi apate makavu live ili akili ifanye kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…