Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Chief ungefunguka zaid ingependeza sana hasa izo mambo za PUSSIFIED MEN na FACT and LOGIC
Ameongea kiluga luga sana au sio??? Afunguke mtu amwelewe,sio mpka ma dictionary akati ni mswahili
 
Mkuu mimi nina uwezo wa kuzipata ila siwezi kufanya hivyo Kw sababu haipendezi..

Kwanini nasema nina uwezo wa kuzipata
Umetoa information ambazo kiIntelligenjia zinaweza kutumika kujua Kuhusu Wewe..
Kiforensic pia zinaweza kukutrace wewe..
Mwaka uliosoma..
Course uliosoma
Mazingira ya shuleni
Shule umesoma miaka mingapi
Baadhi ya majina

Siitaji kufanya hivyo kwa sababu sina haja na wala siwezi kwa sababu zangu maalumu usisahau hata gari la Daktari kwa miaka ya 2020 mpaka 2021..
Umelitja aina ya Xtrail..

But why nifatilie kama ni fiction au ni non fiction cuz Hata kama ni fiction ipo kunifundisha pia na kuniburidisha na kupunguza mawazo na uchovu wa shughuli za kutafuta ugali..

Uncle shusha vitu bhna achana na hayo.mambo
Nakuelewaga sana mkuu
 
Mm sio Nabii ila naiona ndoa kati yako na mercy nawaona mtakuja kuoana hata kwa kutuficha Wana JF tusijue na nayaona majuto makubwa zaidi ya yale ya chuo kwa kufanya maamuzi hayo.

Note: 1 kikombe Cha ndoa yako ww na mercy kwa mtirirko wa story yako nipende kusema kukiepuka ni kigumu mno narudia tena mno. Simply kwasb mnapendana wapo ambao hawataelewa ila nakuambia mnapendana sio ww tu hata yeye anakupenda no matter alitoka na dokta.

Watu weng Sana wanatumia pesa kuwaachanisha watu mwisho wasiku wanaishia majonzi yaani huyo dokta pona yake ni kwakuwa ana familia asingekuwa na familia angetaka kumuoa mercy ili akukomeshe zaidi, hajui kama angefanya hvyo ungekuwa unamchapia siku yoyote ukijisikia

Kwann kwasabab nyiny hamjaachana Bali mmeachanishwa ila mioyo yenu Bado ipo pamoja na ndio maana pamoja na majeraha yote Bado distance ni 0
Fuatilia utakubaliana namm mapenz mengi yanayoachanishwa huendelea watu ili waachane wagombane wenyew na sio atokee mtu kufanya muachane

mfano mdogo wazaz ambao wanazuia watoto wao wasiliwe na vijana mtaani anasemwa Leo kesho kama kawaida tena na yule yule ila siku wakigombana wenyew serious huoni hayo mapenz yakiwa na nguvu yanapotea taratibu Kisha kufa kabisa

2: Mateso yatakuwa makubwa kwasab katika ndoa yenu dokta atakuwa rasmi ni mwanafamilia anaweza kuja kumwona mtoto na atatumia hyo kama fimbo kukunyoosha live sio kwa msg tena.

3: Akili za kuambiwa changanya na zako kila kitu kweny maisha kinatokea kwa sababu , kuna kinachotokea kukufunza wewe mwenyewe na kuna kinachotokea kikakuumiza ww kama hv lakini mlengwa wa kujifunza yupo humu JF pengine ni Mimi , wewe ni mkristo utanielewa kwa haraka juu ya mfano huu

Samsoni alitoborewa macho lakini faida ilikuwa ni kwa wengine ambao ndio walilipiwa kisasi Hali yakuwa Mateso kapata yeye tafakar Sana hilo utapata majibu. Kama ni mpnz wa kusoma vitabu kuna kitabu kinaitwa SASA NAANZA KUISHI ameandika Mwl Francis Langula kinaweza kukupa Afya mpyaa na kesho yako Kwa ushauri zaidi unaweza nichek
 
Huu uzi unatia hasira😂
Natamani nikuchape hata konzi kadhaa


Kijana upo kama mnyama capybara
kwa utaratibu wako unabembeleza bembeleza mno

Mimi nyufa zikianza tu kuonekana nishapeperuka zangu mapeeeema

Mai heart niliutunza kama almasi

Sheria namba moja na hii namshukuru sana kaka yangu(best friend) aliepitia chuo alinipa alisema

kijana mahusiano na mtu wa darasa lako ni marufuku

Ni MARUFUKU!!!”


zilikua sheria nyingi mbele huko ila hii alisisitiza sana
Alisema pia mahusiano usianzishe mwaka wa 2 wala wa3 yaanzie mwaka wa 1 akapendekeza yaishie wa 2

Wa tatu unachovya unasepa
Nashukuru mungu niliifata ile katiba
Niliepuka drama nyingi sana

Kuna njemba ilikula kibao wakati wa presentation😂😂😂

If that was me i could never recover from that stuff
I could never😁😁
Msamehe bro
 
Mm sio Nabii ila naiona ndoa kati yako na mercy nawaona mtakuja kuoana hata kwa kutuficha Wana JF tusijue na nayaona majuto makubwa zaidi ya yale ya chuo kwa kufanya maamuzi hayo.

Note: 1 kikombe Cha ndoa yako ww na mercy kwa mtirirko wa story yako nipende kusema kukiepuka ni kigumu mno narudia tena mno. Simply kwasb mnapendana wapo ambao hawataelewa ila nakuambia mnapendana sio ww tu hata yeye anakupenda no matter alitoka na dokta.

Watu weng Sana wanatumia pesa kuwaachanisha watu mwisho wasiku wanaishia majonzi yaani huyo dokta pona yake ni kwakuwa ana familia asingekuwa na familia angetaka kumuoa mercy ili akukomeshe zaidi, hajui kama angefanya hvyo ungekuwa unamchapia siku yoyote ukijisikia

Kwann kwasabab nyiny hamjaachana Bali mmeachanishwa ila mioyo yenu Bado ipo pamoja na ndio maana pamoja na majeraha yote Bado distance ni 0
Fuatilia utakubaliana namm mapenz mengi yanayoachanishwa huendelea watu ili waachane wagombane wenyew na sio atokee mtu kufanya muachane

mfano mdogo wazaz ambao wanazuia watoto wao wasiliwe na vijana mtaani anasemwa Leo kesho kama kawaida tena na yule yule ila siku wakigombana wenyew serious huoni hayo mapenz yakiwa na nguvu yanapotea taratibu Kisha kufa kabisa

2: Mateso yatakuwa makubwa kwasab katika ndoa yenu dokta atakuwa rasmi ni mwanafamilia anaweza kuja kumwona mtoto na atatumia hyo kama fimbo kukunyoosha live sio kwa msg tena.

3: Akili za kuambiwa changanya na zako kila kitu kweny maisha kinatokea kwa sababu , kuna kinachotokea kukufunza wewe mwenyewe na kuna kinachotokea kikakuumiza ww kama hv lakini mlengwa wa kujifunza yupo humu JF pengine ni Mimi , wewe ni mkristo utanielewa kwa haraka juu ya mfano huu

Samsoni alitoborewa macho lakini faida ilikuwa ni kwa wengine ambao ndio walilipiwa kisasi Hali yakuwa Mateso kapata yeye tafakar Sana hilo utapata majibu. Kama ni mpnz wa kusoma vitabu kuna kitabu kinaitwa SASA NAANZA KUISHI ameandika Mwl Francis Langula kinaweza kukupa Afya mpyaa na kesho yako Kwa ushauri zaidi unaweza nichek
Kwenye kupendana hapa ni uongo huyu dogo ndio anampenda merc.


Merce alikua hampendi huyu dogo merce alikua anamtumia tu huyu dogo na alikua anamtumia kwenye masomo tu.

Merc angempenda huyu dogo basi asinge kubali wapange vyumba tofauti na mbali. Na hii ilikua ni red flags kwa dogo.

Mwanamke akikupenda hakubanii mbunye ni wewe tu na nguvu zako na atakusumbua sana umgonge ila dogo anajisifia hapa kwa semester wanadinyana mara mbili tu yaani wanadinyana mara mbili ndani ya miezi minne [emoji23][emoji23][emoji23] hii ni dhahiri merc hakua na hisia za kimapenzi na huyo dogo.

Tukija kwenye hela tulio bahatika kupendwa na wanake tunajua mwanamke ndio mhongaji mkubwa pale alipo penda yaani atafanya kila kitu hata boom lake angekupa kadi yake uwe ndio controla wa kila kitu. Ila hapa naona uliteseka kipesa wakati wote wawili mlikua na boom na bado unadai kwa akina merc mpunga upo.

.....kiufupi tu ni kwamba tumuambie huyu dogo kuwa Merc hajawahi kukupenda ila alikua anakutumia tu na kakutumia na kukufuja haswa.

.....the good things is bado anaendelea kukutumia saizi kumliwaza na stress zake za usingo maza [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

.....we dogo baba yako na mama yako hawakukuleta duniani kwa ajiri ya kuja kutumikia huyo paka poli by name of love wakeup.

.....Halafu usivyo na aibu wewe ndio unajichatisha sana kuliko merc we dogo vipi....? Wenzio kwenye maji tunazama wewe unaelea vipi wewe ni nani......? Diver au boya bila shaka wewe ni BOYA maana unavinasaba vyote vya uboya.


MERCE HAKUPENDI WE MBWA ANAKUTUMIA TU.
 
IMG_4221.jpg
 
Kwenye kupendana hapa ni uongo huyu dogo ndio anampenda merc.


Merce alikua hampendi huyu dogo merce alikua anamtumia tu huyu dogo na alikua anamtumia kwenye masomo tu.

Merc angempenda huyu dogo basi asinge kubali wapange vyumba tofauti na mbali. Na hii ilikua ni red flags kwa dogo.

Mwanamke akikupenda hakubanii mbunye ni wewe tu na nguvu zako na atakusumbua sana umgonge ila dogo anajisifia hapa kwa semester wanadinyana mara mbili tu yaani wanadinyana mara mbili ndani ya miezi minne [emoji23][emoji23][emoji23] hii ni dhahiri merc hakua na hisia za kimapenzi na huyo dogo.

Tukija kwenye hela tulio bahatika kupendwa na wanake tunajua mwanamke ndio mhongaji mkubwa pale alipo penda yaani atafanya kila kitu hata boom lake angekupa kadi yake uwe ndio controla wa kila kitu. Ila hapa naona uliteseka kipesa wakati wote wawili mlikua na boom na bado unadai kwa akina merc mpunga upo.

.....kiufupi tu ni kwamba tumuambie huyu dogo kuwa Merc hajawahi kukupenda ila alikua anakutumia tu na kakutumia na kukufuja haswa.

.....the good things is bado anaendelea kukutumia saizi kumliwaza na stress zake za usingo maza [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

.....we dogo baba yako na mama yako hawakukuleta duniani kwa ajiri ya kuja kutumikia huyo paka poli by name of love wakeup.

.....Halafu usivyo na aibu wewe ndio unajichatisha sana kuliko merc we dogo vipi....? Wenzio kwenye maji tunazama wewe unaelea vipi wewe ni nani......? Diver au boya bila shaka wewe ni BOYA maana unavinasaba vyote vya uboya.


MERCE HAKUPENDI WE MBWA ANAKUTUMIA TU.
Nilitaka niandike hichi ulichoandika sema umeniwahi,yaan kiufupi dogo alikuwa hapendwi sema mercy alikutumia kwenye masomo kwasababu wewe ulikua john kisomo...mwanamke kwao wana hela lkn mwanetu ulikula shuruba kinoma kumhudumia[emoji23][emoji23]...mwanamke akikupenda guys yaan kwenye swala la pesa hatokusumbua kabsa na asingekubali mpange vyumba tofauti
 
Kwenye kupendana hapa ni uongo huyu dogo ndio anampenda merc.


Merce alikua hampendi huyu dogo merce alikua anamtumia tu huyu dogo na alikua anamtumia kwenye masomo tu.

Merc angempenda huyu dogo basi asinge kubali wapange vyumba tofauti na mbali. Na hii ilikua ni red flags kwa dogo.

Mwanamke akikupenda hakubanii mbunye ni wewe tu na nguvu zako na atakusumbua sana umgonge ila dogo anajisifia hapa kwa semester wanadinyana mara mbili tu yaani wanadinyana mara mbili ndani ya miezi minne [emoji23][emoji23][emoji23] hii ni dhahiri merc hakua na hisia za kimapenzi na huyo dogo.

Tukija kwenye hela tulio bahatika kupendwa na wanake tunajua mwanamke ndio mhongaji mkubwa pale alipo penda yaani atafanya kila kitu hata boom lake angekupa kadi yake uwe ndio controla wa kila kitu. Ila hapa naona uliteseka kipesa wakati wote wawili mlikua na boom na bado unadai kwa akina merc mpunga upo.

.....kiufupi tu ni kwamba tumuambie huyu dogo kuwa Merc hajawahi kukupenda ila alikua anakutumia tu na kakutumia na kukufuja haswa.

.....the good things is bado anaendelea kukutumia saizi kumliwaza na stress zake za usingo maza [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

.....we dogo baba yako na mama yako hawakukuleta duniani kwa ajiri ya kuja kutumikia huyo paka poli by name of love wakeup.

.....Halafu usivyo na aibu wewe ndio unajichatisha sana kuliko merc we dogo vipi....? Wenzio kwenye maji tunazama wewe unaelea vipi wewe ni nani......? Diver au boya bila shaka wewe ni BOYA maana unavinasaba vyote vya uboya.


MERCE HAKUPENDI WE MBWA ANAKUTUMIA TU.
Bado nasema tena walikuwa wanapendana , lazma utambue mercy kufanya maamuzi hayo kulikuwa na msababishi nyuma yake na sio aliamua tu na alishampiga an expected attack mara kadhaa jamaa akawa anajitetea, mwisho wa siku demu lazma aseme kama mm nawakatalia watu halaf mwenzangu anafanya bora namm nimwage mboga pengne Huku ndiko nnapopendwa kweli.

Kiufup ukiona mwanamke Hadi anachepuka asilimia 90 mwanaume ndio chanzo

Wanawake wanaugonjwa mmoja hiv wa kipumbavu huwa nauita yaani ni watu wakulipa kisasi kinachowaumiza wao wenyewe. ambacho awali hawajui kama kisasi hiko huwa kinawaumiza wenyewe, akikufuma na mtu anaweza panga atembee hata na rafiki yako akifkr anakukukoma kumbe kinachoumia ni kiungo chake.

Kuhus swala la kusex mara chache ni jambo la kawaida Sana hasa kwa watu wenye malengo ya kusoma wenyew huwa wanaona kufanya tendo kunapunguz akili nakumbuka binafsi nilikuwa na demu toka form 1 had form 4 sijawah kutembea naye zaidi ya romance tu kisa tulikuwa tunajifanya tunasoma nilitembea naye baada ya kumaliza shule kwahyo ni jambo la kawaida na huwa linatokea ila akitokea mmoja ni anapenda kusoma mwngne hapend hapo show show daily yaan na mmoja atamfuata mwenzake mazima.
 
Kwenye kupendana hapa ni uongo huyu dogo ndio anampenda merc.


Merce alikua hampendi huyu dogo merce alikua anamtumia tu huyu dogo na alikua anamtumia kwenye masomo tu.

Merc angempenda huyu dogo basi asinge kubali wapange vyumba tofauti na mbali. Na hii ilikua ni red flags kwa dogo.

Mwanamke akikupenda hakubanii mbunye ni wewe tu na nguvu zako na atakusumbua sana umgonge ila dogo anajisifia hapa kwa semester wanadinyana mara mbili tu yaani wanadinyana mara mbili ndani ya miezi minne [emoji23][emoji23][emoji23] hii ni dhahiri merc hakua na hisia za kimapenzi na huyo dogo.

Tukija kwenye hela tulio bahatika kupendwa na wanake tunajua mwanamke ndio mhongaji mkubwa pale alipo penda yaani atafanya kila kitu hata boom lake angekupa kadi yake uwe ndio controla wa kila kitu. Ila hapa naona uliteseka kipesa wakati wote wawili mlikua na boom na bado unadai kwa akina merc mpunga upo.

.....kiufupi tu ni kwamba tumuambie huyu dogo kuwa Merc hajawahi kukupenda ila alikua anakutumia tu na kakutumia na kukufuja haswa.

.....the good things is bado anaendelea kukutumia saizi kumliwaza na stress zake za usingo maza [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

.....we dogo baba yako na mama yako hawakukuleta duniani kwa ajiri ya kuja kutumikia huyo paka poli by name of love wakeup.

.....Halafu usivyo na aibu wewe ndio unajichatisha sana kuliko merc we dogo vipi....? Wenzio kwenye maji tunazama wewe unaelea vipi wewe ni nani......? Diver au boya bila shaka wewe ni BOYA maana unavinasaba vyote vya uboya.


MERCE HAKUPENDI WE MBWA ANAKUTUMIA TU.
Personal attack,personal offense.....narudia tena kaka unaua acha kushambulia bila kutazama
 
Les goo...........

Maneno ya Mercy yalinifanya nione kama vile ananinyanyasa yani ananiona mnyonge sana.

Nikajikaza nikawa mpole nikamwambia ajitahidi kuwa na subira asiamini juu ya anayoyadhania juu yangu.
Nilijishusha kwa makusud, na hii kitu ilinipa maana Mercy alipoa tukarudi kuwa sawa.
Zilikuwa zimebaki siku chache twende UE, basi tukajipiga brush final touches ili tukafanye vizur katika UE.
Course works zilikuwa nzuri tu kwahiyo tulikuwa na uhakika UE tunaenda kubonda vizur.
Kesho yake nilimchek Mercy fek nikamuomba tukutane sehem flan sikutaka iwe rum kwangu wala kwake. Nilikuwa nimepanga kwenda kumpa somo aache kushindana na Mercy kwani Mercy hajui chochote kuhusu mission yetu ndomana anavoona tunawasiliana anahisi kunamchezo mbaya unaendeleaj kati yetu.

Tulikutana sehem flan kulikuwa na juice point hukohuko mtaani kwetu.
Nilimueleza kinagaubaga na akanielewa akaniahid kupunguza mashambulizi kwa Mercy lakini alisisitiza sana kwamba anahitaj penz langu.
Nilimsihi sanaaache hayo mawazo na niliona endapo kama nitampiga mashine basi kuna uwezekano akaja kuanza kumvimbia Mercy kwa dhana ya kwamba anashea naye penzi. Nikaona nitajaribu mission kwahiyo nilijikaza sana, alizid kunikumbusha kuhusu hili swala la kumnyandua lakini nikawa nampa ahadi zisizoisha na mwisho wa siku ili kumtuliza nikamwambia wakati wa likizo fupi baada ya kumaliza UE Mercy ataondoka kwao kwahiyo tutabaki na uhuru zaidi.
Huu mchoro nilompa ulimuingia na akatulia kabisa.

Nirudi kwa Dokta na Mercy fek, mpka siku ile naongea na Mercy fek pale juice point alinambia kwamba mission inaendelea vizur lakini Dokta kaomba anitoe out.
Basi kwasbb tulikuwa tunakaribia UE nikamwambia amsubirishe mpka UE iishe then tutatafuta uongo mwingine huko mbele. Tukapiga stor zingine kidogo then tukaachana. Lakini wakati nasepa Mercy fek akapitisha mkono wake kwenye mjegeje wangu madai yake et ni bahat mbaya na niliona alifanya makusud ila sikushangaa sana kwasbb namfaham ni mtu wa aina gani. Tuliachana pale kila mtu akala 50 zake.

Nilirud geto na nikamchek Mercy katika cm ili niende tukajisomee hii ilikuwa ishafika weekend ambayo j 3 yake ndo UE inaanza.
Nilienda kwa Mercy akapika tukale then tukaaza discussion.
Ambacho nilikuwa nafurah pia ni kwamba mimi na Mercy wakati wa kujisomea au discussion tulikuwa tunajikuta kama dada na kaka yani kulikuwa na userious wa uhakika na ilitusaidia sana kwenye masomo kiukweli.
Hatukuwa tunatumia mda mwingi sana kudiscuss kitu kimoja kwasbb tulikuwa tunafocus sana kwenye jambo ambalo tulikuwa tunalidiscuss.

Wakati tunasoma iliingia text katika cm yangu na cm yangu alikuwa nayo Mercy kwasabb alikuwa anaitumia kusoma maswali kwenye past papers ambazo nilizipiga picha kwa cm yangu.
Mesej ilikuwa ni ya Mercy fek ilisomeka "we fala hilo rungu lako limekaa utamu sana, Mercy anafaid"
Ndugu zangu Wana JF hii text ilikuwa chanzo cha mambo yote kuharibika kwani Mercy aligeuka mbogo na akasisitiza niondoke kwake na nisimpigie wala kumtext.

Nilijaribu kujitetea lakini Mercy hakunipa hiyo nafasi nikaamua nijikusanye nisepe.

Njiani nilimpigia cm yule malaya nikamuomba tuonane, safar hii nilienda kwake nikiwa ninahasira sana. Nilipofika nikamkuta kama alivozaliwa na najua alifanya makusud baada ya kujua nilikuwa namfata kwake.
Nilipomkuta vile nikamsihi avae nguo kwani sikwenda kwa ajili ya ule upuuzi. Alianza kunisogelea huku ananiangalia aliponikaribia nikarudi nyuma akanyoosha mikono yake anivute nikaipunch kwa nguvu.

Kitendo cha mimi kumpunch kikamtisha kidogo akarud nyuma nayeye. Akauliza kwani kuna shida gani, nikamjibu hiyo mesej uloituma Mercy kaiona na hapa nimekuja kwako nikiwa nahasira sana nawew kwani Mercy kunifukuza kwa hasira sana na sidhani kama nitaweza kumrudisha awe katika hali nzur na ukizingatia j3 UE. Nilimlaumu sana na yeye alijuta akajitetea kwamba hakutegemea kama Mercy angeweza kuiona mesej akaniomba msamaha akavaa nguo zake chap kwasbb aliona kabisa kwamba kaniudhi sana na nipo out of mood to the maximum.

Basi nikarud home nikiwa katika dimbwi la mawazo nikaona kama vile sina bahat katika ulimwengu wa mapenz kwasababu ugomvi na Mercy ilikuwa almost kila week. Na hii yote ilianza baada ya Mercy kukutana na yule Dokta mshenz kule hospital.

Kwasabb asingekuwa Dokta nisingekuwa close na Mercy fek.

Kesho yake ilikuwa jpil nilienda church na ukizingatia j3 ilikuwa ni UE basi nilienda pia kumuomba Mungu atutangulie katika mtihani. Baada ya kutoka church nikampitia kwa Mercy sikumkuta nikajua kabisa atakuwa bafo hajatoka church. (Mimi na Mercy tulikuwa tunaabudu madhehebu tofauti mimi fpct Mercy kkt)
Basi nikaka nje kulikuwa na tumiti twa michungwa nikakaa pia kulikuwa na vibench vimesimikiwa palepale chini ya miti.

Baada ya dakika 15 hivi nikamuona Mercy kaingia getini. Alikuwa kavaa gauni la rangi ya brown na viatu vyeusi nichwani alikuwa kasuka na ki handbag chake kilikuwa cha rangi ya pink.
Wazee Mercy alijua kupendeza siku hii.

Alipofika nilipokuwa nimekaa akanisalimia kisha akaingia ndani namimi nikamuwahi kabla hajafunga mlango.
Nilipoingia ndani akaniuliza nimefata nini nikamjibu apunguze hasira kwani yote anayodhania ni uongo hakuna la kweli hata moja.
Kabla sijaanza kumuelezea cm yake iliita kuitoa ilikuwa ni namba ngeni.

See you.............

===
Muendelezo soma Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy
Na hiyo juive point ya mtaani kwenu ilikuwa inaitwa SETO JUICE POINT
 
Bado nasema tena walikuwa wanapendana , lazma utambue mercy kufanya maamuzi hayo kulikuwa na msababishi nyuma yake na sio aliamua tu na alishampiga an expected attack mara kadhaa jamaa akawa anajitetea, mwisho wa siku demu lazma aseme kama mm nawakatalia watu halaf mwenzangu anafanya bora namm nimwage mboga pengne Huku ndiko nnapopendwa kweli.

Kiufup ukiona mwanamke Hadi anachepuka asilimia 90 mwanaume ndio chanzo

Wanawake wanaugonjwa mmoja hiv wa kipumbavu huwa nauita yaani ni watu wakulipa kisasi kinachowaumiza wao wenyewe. ambacho awali hawajui kama kisasi hiko huwa kinawaumiza wenyewe, akikufuma na mtu anaweza panga atembee hata na rafiki yako akifkr anakukukoma kumbe kinachoumia ni kiungo chake.

Kuhus swala la kusex mara chache ni jambo la kawaida Sana hasa kwa watu wenye malengo ya kusoma wenyew huwa wanaona kufanya tendo kunapunguz akili nakumbuka binafsi nilikuwa na demu toka form 1 had form 4 sijawah kutembea naye zaidi ya romance tu kisa tulikuwa tunajifanya tunasoma nilitembea naye baada ya kumaliza shule kwahyo ni jambo la kawaida na huwa linatokea ila akitokea mmoja ni anapenda kusoma mwngne hapend hapo show show daily yaan na mmoja atamfuata mwenzake mazima.
Labda kama umejikita kwenye kuwatetea wanawake .

Merc angempenda dogo basi zile fumanizi za meseji merc ndio ingekua kigezo cha kumganda zaidi dogo

Na hapo merc ndio angekua anashinda muda wote kwa dogo na hata kubeba mimba ya dogo kama wanavyuo wengi wanavyo zaa na wanafunzi wenzao
 
Personal attack,personal offense.....narudia tena kaka unaua acha kushambulia bila kutazama
Bila hivi hawa wanao zingua kwa kujifanya wanapenda huwa hawaelewi.

Yaani jitu halijihurumii....muda huu anaumwa hadi Moyo kisa huyo demu wake ila hakomi sasa tuongee nae vipi....?

Tumbembeleze kama mtoto au.....? Inabidi apate makavu live ili akili ifanye kazi
 
Back
Top Bottom