Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Muendelezo.......

Yale maneno ya Dokta yaliniachia mawazo mengi sana.
Nilianza kuwachukia madaktari kwanzia siku ile. Nilipata funzo kwamba pesa ni kila kitu. Pesa inanunua furaha wazee asikudanganye mtu.

Zile varangati zote mimi na Dokta Mercy hakuwa anajua.
Basi zilipita kama siku mbili, ilikuwa ni kati kati ya week ya pili kutoka week ya mwsho ya vipindi wa darasani. Maana week ilofata ndo ilikuwa ya mwsho kuingia class

Sikujua kumbe ile text ya Tecra bado Mercy ilikuwa inamrudia kichwani mwake.
Niligundua baada ya kumfuma Mercy akiwa anachat na Tecra kumbe namba aliichukua akaisev katika cm yake.
Nilipogundua ilibidi nimuwakie kidogo maana after kufanya yale yote mpka kumpigia Tecra mbele yake sikutarajia kama Mercy angemtafuta tena Tecra.

Kitendo cha kumfokea Mercy kilizua ugomvi mpka nikajuta kwanini nilifanya vile.
Mercy alidai kwamba mimi kumfokea na kumkataza kuchat na Tecra ni dalili za kutaka kutetea penz langu na Tecra na japo nilimpigia cm mbele yake ila haamini kwamba nilikuwa serious alikua kwamba labda nilimtafuta Tecra baadae nakumuomba msamaha.
Mercy alikasirika mixer minuno akanifukuza kwake.

Nilikuwa nampenda sana Mercy lakini kitendo cha yeye kunifukuza niliona kama ni dharau sana.
Niliondoka lakini kabla ya kuondoka nikamwambia "Dokta kaanza kukupa kiburi na nilikuonya sana kuhusu Dokta. Hizo pesa ni zake na mke wake nakuomba kama kitendo hiki cha kunifukuza kwako kinauhusiano na Dokta basi nashukuru ila kama ni kwasabb ya Tecra basi naomba unisamehe Tecra sina malengo naye, nakupenda sana and am going to take my leave right now" nikafungua mlango nikachukua baiki yangu nikasepa.

Niliendesha kama mita 50 hivi nikaona ntagongwa namagari ni bora nishuke nikokote baiki yangu.
Niseme ukweli sikuwahi kuoata maumivu kama siku hii. Niliumia sana, akili ilivurugika na nilipatwa na hasira juu ya Dokta. NB: ukisikia mtu kajinyonga kwasababu ya mapenz usimshangae.

Niliamini kwamba jimechakganyikiwa baada ya kufika home.
Yule bro alikuwa bado hajasepa kurud kazini kwake.
Nilimkuta katoa kitu (wale wadau wa ganja wanaelewa) nilimuomba nipige japo mistari miwili tu.
Bro alivoona nimemuomba ganja akastuka akanifukuza dogo upo serious? Nikamjibu ndio nipe bro.
Kaniuliza ushawahi kutumia? Nikamjibu hapana. Akauliza kwanini ghafla hivi na nakuoma haupo sawa shida nini. Nikamueleza na mwsho nkamwambia Mercy kanifurunta kwake na hapa sijui nini ntafanya.

Wazee sio kila anayetumia ganja anakuwa Hana mawazo ya hekima. Hapa niligundua ganja inachagua vichwa kuna wengine wanakuwa wehubna wengine wanakuwa ma genius.

Yule bro alipiga kwanza vitu vyake akamaliza. Akanambia nitulie mule ndani nisifanye chochote wala nisijali yeye atanishauri nini nifanye.
Bro alichukuwa shirt akavaa, akaniuliza kama ninaweza kutoka nikiwa vile nilivo au kuna haja ya kwenda kubadirisha nguo nikamwambia niko poa.

Aliniambia niingie kwenye gar kuna mahali anataka kunipeleka.
Tukapanda tukasepa, kituo cha kwanza tulipita sheli, then tukaenda kuna mahali flani ni kama lounge lakini palikuwa pamechangamka na mandhari ilikuwa nzuri sana.
Tukaagiza, mimi niliagiza Bavaria na yeye alichukua vitu vyake ilikuwa ni pombe skumbuki jina lake lakini ni jamii ya wine.
Tuliagiza mbuzi nusu na nikaongeza na kimalta tukaendelea.
Bro aliniuliza ratiba ya kesho chuo nikafungua cm nikachek nikaona kipindi cha kwanza kulikuwa kinaanza saa 4 na dk 15 asubuhi.

Tulipomaliza nyama na vinywaji akanichukua tena tukahama kiwanja tukaenda ni kama club lakini ni kubwa sana watu shazi mziki mzuri umetulia.
Hapo mimi mawazo kwa Mercy tu japo bro alikua akiniona kama ninataka kusombwa na mawazo alikuwa ananistua ananambia kula bata mdogo wangu. Akanipa kama misimbazi mitano hivi akanambia hiyo Kaa nayo.

Mwshoni nikaanza kuhisi furaha mawazo kuhusu Mercy yakapungua japo nilikuwa nikienda washroom Mercy alikuwa ananiijia kichwani ila najaribu kumpunch.
Nilijitahidi sana kutokumpigia cm wala kumtext mpenz wangu kwasababu niliona yeye ndo anamakosa kunifukuza kwake ni kunikosea heshima yeye ndo alitakiwa kunitafuta na kuniomba msamaha kwahyo niliendelea kuugulia moyoni tu nikisubir Mercy anitafute.

Kiukweli nilikuwa nienjoy pale kiwanja lakini nikawa napata mawazo kwamba labda mda ule Dokta kamtafuta, labda kamtoa out wako wanaenjoy yani nilikuwa naijiwa na mawazo yahivo tu yakunitoa mchezoni. Mda mwingine nikawa napata mawazo ya kuangalia location aliopo Dokta kwa kutumia namba yake ya cm.
Maana kama cm imewekwa location on, na namba ya cm lakini ipo katika cm kuna namna unaweza kupata location ya mtu husika kupitia namba yake ya cm.
Nilijaribu kufanya vile lakini location haikusoma nikajuta ile laini haimo kwenye smart phone

Kuchek saa ni ngoma saba usiku Mercy hajanichek yani kala buyu. Chozi lililenga machoni nikawaza kuagiza pombe nijaribu kunywa ila kwasabb skuwahi kutumia kilev chchte nikajikuta naishia kwenye kuwaza tu vitendo zero.


See you.......

===
Muendelezo soma Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy
wanawake wa chuo naonaga wao kipaumbele chao pesa na mapenz japo wapo wachache wenye penz la kwel....ila yote tisa kumi PESA INANGUVU UNAEZA PORWA HATA MKEO KUDADEK DAH
 
wanawake wa chuo naonaga wao kipaumbele chao pesa na mapenz japo wapo wachache wenye penz la kwel....ila yote tisa kumi PESA INANGUVU UNAEZA PORWA HATA MKEO KUDADEK DAH
Mahusiano ya Kimapenzi hayana garantii yeyote ya ndoa. Unaweza kujifanya royal baadae mtu anaamua kuoa mtu mwingine.

Kila mtu asukume kete zake vizuri.
 
Les goo...........

Maneno ya Mercy yalinifanya nione kama vile ananinyanyasa yani ananiona mnyonge sana.

Nikajikaza nikawa mpole nikamwambia ajitahidi kuwa na subira asiamini juu ya anayoyadhania juu yangu.
Nilijishusha kwa makusud, na hii kitu ilinipa maana Mercy alipoa tukarudi kuwa sawa.
Zilikuwa zimebaki siku chache twende UE, basi tukajipiga brush final touches ili tukafanye vizur katika UE.
Course works zilikuwa nzuri tu kwahiyo tulikuwa na uhakika UE tunaenda kubonda vizur.
Kesho yake nilimchek Mercy fek nikamuomba tukutane sehem flan sikutaka iwe rum kwangu wala kwake. Nilikuwa nimepanga kwenda kumpa somo aache kushindana na Mercy kwani Mercy hajui chochote kuhusu mission yetu ndomana anavoona tunawasiliana anahisi kunamchezo mbaya unaendeleaj kati yetu.

Tulikutana sehem flan kulikuwa na juice point hukohuko mtaani kwetu.
Nilimueleza kinagaubaga na akanielewa akaniahid kupunguza mashambulizi kwa Mercy lakini alisisitiza sana kwamba anahitaj penz langu.
Nilimsihi sanaaache hayo mawazo na niliona endapo kama nitampiga mashine basi kuna uwezekano akaja kuanza kumvimbia Mercy kwa dhana ya kwamba anashea naye penzi. Nikaona nitajaribu mission kwahiyo nilijikaza sana, alizid kunikumbusha kuhusu hili swala la kumnyandua lakini nikawa nampa ahadi zisizoisha na mwisho wa siku ili kumtuliza nikamwambia wakati wa likizo fupi baada ya kumaliza UE Mercy ataondoka kwao kwahiyo tutabaki na uhuru zaidi.
Huu mchoro nilompa ulimuingia na akatulia kabisa.

Nirudi kwa Dokta na Mercy fek, mpka siku ile naongea na Mercy fek pale juice point alinambia kwamba mission inaendelea vizur lakini Dokta kaomba anitoe out.
Basi kwasbb tulikuwa tunakaribia UE nikamwambia amsubirishe mpka UE iishe then tutatafuta uongo mwingine huko mbele. Tukapiga stor zingine kidogo then tukaachana. Lakini wakati nasepa Mercy fek akapitisha mkono wake kwenye mjegeje wangu madai yake et ni bahat mbaya na niliona alifanya makusud ila sikushangaa sana kwasbb namfaham ni mtu wa aina gani. Tuliachana pale kila mtu akala 50 zake.

Nilirud geto na nikamchek Mercy katika cm ili niende tukajisomee hii ilikuwa ishafika weekend ambayo j 3 yake ndo UE inaanza.
Nilienda kwa Mercy akapika tukale then tukaaza discussion.
Ambacho nilikuwa nafurah pia ni kwamba mimi na Mercy wakati wa kujisomea au discussion tulikuwa tunajikuta kama dada na kaka yani kulikuwa na userious wa uhakika na ilitusaidia sana kwenye masomo kiukweli.
Hatukuwa tunatumia mda mwingi sana kudiscuss kitu kimoja kwasbb tulikuwa tunafocus sana kwenye jambo ambalo tulikuwa tunalidiscuss.

Wakati tunasoma iliingia text katika cm yangu na cm yangu alikuwa nayo Mercy kwasabb alikuwa anaitumia kusoma maswali kwenye past papers ambazo nilizipiga picha kwa cm yangu.
Mesej ilikuwa ni ya Mercy fek ilisomeka "we fala hilo rungu lako limekaa utamu sana, Mercy anafaid"
Ndugu zangu Wana JF hii text ilikuwa chanzo cha mambo yote kuharibika kwani Mercy aligeuka mbogo na akasisitiza niondoke kwake na nisimpigie wala kumtext.

Nilijaribu kujitetea lakini Mercy hakunipa hiyo nafasi nikaamua nijikusanye nisepe.

Njiani nilimpigia cm yule malaya nikamuomba tuonane, safar hii nilienda kwake nikiwa ninahasira sana. Nilipofika nikamkuta kama alivozaliwa na najua alifanya makusud baada ya kujua nilikuwa namfata kwake.
Nilipomkuta vile nikamsihi avae nguo kwani sikwenda kwa ajili ya ule upuuzi. Alianza kunisogelea huku ananiangalia aliponikaribia nikarudi nyuma akanyoosha mikono yake anivute nikaipunch kwa nguvu.

Kitendo cha mimi kumpunch kikamtisha kidogo akarud nyuma nayeye. Akauliza kwani kuna shida gani, nikamjibu hiyo mesej uloituma Mercy kaiona na hapa nimekuja kwako nikiwa nahasira sana nawew kwani Mercy kunifukuza kwa hasira sana na sidhani kama nitaweza kumrudisha awe katika hali nzur na ukizingatia j3 UE. Nilimlaumu sana na yeye alijuta akajitetea kwamba hakutegemea kama Mercy angeweza kuiona mesej akaniomba msamaha akavaa nguo zake chap kwasbb aliona kabisa kwamba kaniudhi sana na nipo out of mood to the maximum.

Basi nikarud home nikiwa katika dimbwi la mawazo nikaona kama vile sina bahat katika ulimwengu wa mapenz kwasababu ugomvi na Mercy ilikuwa almost kila week. Na hii yote ilianza baada ya Mercy kukutana na yule Dokta mshenz kule hospital.

Kwasabb asingekuwa Dokta nisingekuwa close na Mercy fek.

Kesho yake ilikuwa jpil nilienda church na ukizingatia j3 ilikuwa ni UE basi nilienda pia kumuomba Mungu atutangulie katika mtihani. Baada ya kutoka church nikampitia kwa Mercy sikumkuta nikajua kabisa atakuwa bafo hajatoka church. (Mimi na Mercy tulikuwa tunaabudu madhehebu tofauti mimi fpct Mercy kkt)
Basi nikaka nje kulikuwa na tumiti twa michungwa nikakaa pia kulikuwa na vibench vimesimikiwa palepale chini ya miti.

Baada ya dakika 15 hivi nikamuona Mercy kaingia getini. Alikuwa kavaa gauni la rangi ya brown na viatu vyeusi nichwani alikuwa kasuka na ki handbag chake kilikuwa cha rangi ya pink.
Wazee Mercy alijua kupendeza siku hii.

Alipofika nilipokuwa nimekaa akanisalimia kisha akaingia ndani namimi nikamuwahi kabla hajafunga mlango.
Nilipoingia ndani akaniuliza nimefata nini nikamjibu apunguze hasira kwani yote anayodhania ni uongo hakuna la kweli hata moja.
Kabla sijaanza kumuelezea cm yake iliita kuitoa ilikuwa ni namba ngeni.

See you.............

===
Muendelezo soma Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy
hv unaanzaje kushare pasword na mpenz wako hata km hauna makando kando!??yan mm naona kuna vimistake ww ndio chanzo mwanamk km ni wako ni wako usitumie nguvu nyingi kumueka mwanamke awe kariby yk bali yeye ndio ajieke kwako
 
jifunze kutokana na makosa siku zote tambua MWANAMK HACHEAT KWA BAHAT MBAYA BALI KADHAMIRIA NA NIKOSA KUBWA SANA KUMSAMEHE MWANAMK WA AINA HIYO! yan labd mfanye kitoweo kupasha kiporo ukijaribu kumuoa dokta atarud tena na vimsg vyake kuwa "HAKIKISHA UNAFUA NEPI ZA MWANAE VZR NA KUMCHAMBA MTOTO VZR"

STUKA JANJA KAA MBALI NAE
 
jifunze kutokana na makosa siku zote tambua MWANAMK HACHEAT KWA BAHAT MBAYA BALI KADHAMIRIA NA NIKOSA KUBWA SANA KUMSAMEHE MWANAMK WA AINA HIYO! yan labd mfanye kitoweo kupasha kiporo ukijaribu kumuoa dokta atarud tena na vimsg vyake kuwa "HAKIKISHA UNAFUA NEPI ZA MWANAE VZR NA KUMCHAMBA MTOTO VZR"

STUKA JANJA KAA MBALI NAE
😄😄😄 Sawa Mkuu
 
Karibuni katika kisa hiki kilichoacha alama isiyofutika katika moyo na MAISHA yangu.

Nitaanzia mwaka 2019 nilipojiunga na chuo x hapa nchini. Tukiwa first year nilipata mchuchu mmoja wa kuitwa Mercy mtoto wa Kilimanjaro. Mercy alikua mtoto wa kishua, alikua mwembamba mrefu sura nyembamba ndefu na meno ya kuungua ungua.

Mercy hakua bint wa mambo mengi sana hasa tulipokuwa first year. Tulianza mahusiano yetu nakumbuka ilikuwa mwezi wa kwanza mwaka 2020. Tulikuwa tunasoma koz Moja mimi na mpenz wangu kwahyo most of the time tulikuwa pamoja, disc na hata katika private studies tulikuwa hatuachani kiukweli tulipenda sana.

Sasa kutokana na jinsi nilivokuwa nimemsoma Mercy niligundua sio mtu wa kumuomba show haraka haraka ningezingua pengine ningempoteza kabisa. Mercy alikua mtu wa kusali, mpole lakini mcheshi anaongea alipohitajika kuongea hakuwa mtu wa kuongea ongea hovyo (hii ndo type ya madem naowapenda). Masomo yaliendelea na of course sisi sote darasani tulikuwa poa sana maana hata sup sikuwahi kupata na yeye alipata moja semester ya 3 tu na chanzo ni mvurugano katika mapenzi uliotokea mbele ya safari nitawajuza nini kilitokea.

Siku zilipita miezi ikasogea tukafunga ile likizo fupi ya 3 yeye alienda kwao mimi nilibak mkoan hapo hapo. Kumbuka sikuwa nimeanza kumchombeza kuhusu tendo ila tulikuwa tunafanya soft touches na romance to lakini show no.

Tulipofungua, siku Mercy alipokuwa anarud chuoni nilienda kumpokea stand tulifurah sana kuonana, alikua anapendelea kuvaa suruali na tishirt na raba alikua kapendeza sana kwahyo tulipanda daladala tukapitia town tukapata chakula cha jioni nikamchukulia na yoghurt tukarud chuoni.

Baadaa ya wiki mbili kupita nikaanza kumchombeza kuhusu show mwanzo alikua ananikatalia kabisa anasema mpka ndoa lakini nilikaza sana na mwisho wa siku akanikubalia.

Siku tulopanga twende kugegedana......

Tulipanga ijumaa jioni ya wiki ile twende out town tulale hukohuko. Mimi ijumaa asubuh kwasabb tulikuwa hatuna vipindi asubuh nakumbuka siku ya ijumaa tulikuwa na kipindi kimoja tu mchana. Nilijidamka nikaenda town kubook chumba mapema katika moja ya lodges zilizopo hapo town. Ilikuwa ni lodge ya hadhi japo sio hadhi kubwa ya kivile lakini nilihakikisha natafuta sehem ambayo ingemfamya Mercy ajione no wa thamani. Nakumbuka nililipia tsh 45k ya siku nzima na kulala kabisa.

Nilimaliza mishe mida ya saa5 asubuhi nikachukua key ya chumba nikarud chuo ili kuwah kipindi. Mercy aliuliza mrejesho nikakwambia kila kitu kipo poa akajibu poa na kusema kwamba kazi ipo Leo. Nilisahau kuandika mwanzo, Mercy aliniambia kwamba hakuwa kufanya mapenz kwahyo mimi ndo ntakuwa first kwake, asee nikajisemea nitafanya kila kitu ili nimfungue na niwe mwanaume wake wa kwanza.

Tukutane next episode.......

Muendelezo soma Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy
Tafakari_nami
 
Tuendeleee.......

Hapa nikaona kabisa Mercy hakuwa na mapenz na Dokta ila shida ni tamaa za pesa na Dokta alikuwa hana mpango wa kumuoa Mercy ila alihitaji kunikomoa tu. Nilihisi vile baadae baada ya siku moja Dokta kunitumia ujumbe "dogo wanaume tushafanya yetu ole wake hiyo mimba mkaitoe".

Hii text alinitumia siku moja kabla ya Mercy kufanya jaribio la kuitoa ile mimba. Hii text sikumuonesha Mercy niliona kama ntamchanganya tu na Haina maana.

DOKTA ALIMTIA MERCY MIMBA KWA MAKUSUDI NA ALIMLAGHAI KWA PESA ZAKE, HII KITU MERCY MWENYEWE NDO ALINAMBIA.

Niliwaza kama Mercy alikuwa hampendi Dokta ni kwanini alikubali kufanya nae tena kavu siku zake za hatari. Sikupata majibu sahihi nikaamua kuipotezea tu japo niliishia kuamini kuwa pesa ndo ilimshawishi Mercy mpka kubeba mimba.

Swala la Mercy kwenda namimi kwao akanitambulishe sikulikubali niliona Mercy hajafikiria kwa kutuliza akili na pia binafsi sikuwa tayar kuoa mwanamke mwenye mtoto.

SIKU YA KUAGANA NA MERCY ILIKUWA NI MAJONZI SANA.

Nilimsindikiza stand akapanda bus kuelekea kwao. Mimi naye nilibaki kwanza pale town kuna mambo yangu nilikuwa nayafatilia.

Nilikaa kama mwezi hivi ukizingatia hata kodi yangu bado ilikuwa inasoma. Kipindi kile nipo bado pale town niliamua nimtafute Merry, Merry alikuwa tayar kashaondoka kwenda Field alienda mkoa wa dodoma. Nilipomaliza mishe zangu nikapak vitu vyangu nikaondoka nyumbani namimi.

Mawasiliano na Mercy yaliendelea ila upande wangu nilianza kuona Haina tena haja ya kumtafuta mara kwa mara ila yeye alikuwa ananitafuta sana ananisihi nimuoe hata kama bado sijajipanga yeye kwao pesa so shida sana. Aliahidi ataomba pesa ya mtaji tuanze kuzichanga mdogo mdogo ila mimi nikaona kabisa Mercy nikimuoa na tayari kazaa na Dokta nitakua nimejitia kitanzi na kujibuturia kistuli mwenyewe.

Matokeo ya semester ya mwsho yalitoka na mimi na Mercy sote tulifaulu vizur hakukuwa na mtu mwenye kimeo.
Japo nilikuwa bado naumia kumkosa Mercy lawama zangu zote nilizielekezea kwa Dokta na niliahidi kutokuja kumsamehe yule jamaa.

Ilikuwa mwez wa1 mwaka jana Mercy alijifungua mtoto wa kiume na anamuita Johnson, still Mercy ananisisitizia nimuoe lakini bado sioni kama kumuoa Mercy nitakuwa nimefanya jambo la msingi.

Mimi naye hali yangu ya kiafya ilichange ghafla nakumbuka ilikuwa mwez wa 12, 2022 hata graduation sikufanya, nilipatwa na kama kistroke flan yani upande wa kushoto haukuwa sawa. Nilishindwa kutembea, nilipoteza uwezo wa kuongea kwa takriban wiki Moja yani mdomo ulikuwa mzito sana ila nilikuwa natumia maandishi nilipokuwa nahitaji kuongea na mtu.

Nilipelekwa hospital nashukuru Mungu pamoja na madaktari walifanikisha kunipa huduma nikarudi katika hali yangu ya kawaida.
Nilitumia madawa tofaut tofaut ila kuna hiyo moja siwez isahau. Najua kuna wataalam wa afya humu wanaijua vizuri inaitwa "Aten" sijajua kama ndo jina linaishia hapo au linakirefu chake. Hii dawa bhna nakumbuka siku hiyo nilikuwa bado siwez kuongea mtaalam akaagiza ikachukuliwe hii dawa, ni tu vidonge tudogo sana kiumbo, niliambiwa nimeze kamoja tu kwa siku ila mziki wake hii dawa sio wa kitoto.

Hii dawa ukiitumia inakufanya upate ham ya kuongea, inakufanya ujihisi raha yani sinywi na sijawahi kutumia pombe lakini nature ya hii dawa inataka ifanane na tabia ya pombe. Nilikuwa naambiwa nimeze kimoja kwa siku lakini nilikuwa nataman nipige hata tutatu kwasababu yani vilikuwa vinanichangamsha kwanzia kichwani mpka sehem zingine za mwili.

Nilipona kabisa na mpka sasa niko poa.
Mercy naye anaendelea vizuri na mtoto wake na kila siku ananitafuta (hata asubuhi hii kashanitumia text) tunaongea na kuchat saana. Kila siku ananikumbusha kuhusu swala la ndoa na anasisitiza sana nimuoe kwani ananipenda lakini mimi bado sipo tayar kwasababu Mercy tayar anamtoto na sio mtoto tu ila mtoto ni wa Dokta mtu mwenye ROHO mbaya.

NIKIONA KUNA HAJA YA KULETA MREJESHO JUU YA MIMI NA MERCY BASI NITARUDI KUWAPA MREJESHO JUU YA NINI KINAENDELEA LAKINI MIMI BADO SIONI KAMA NINAWEZA KUMUOA MERCY.

Naomba kufunga Uzi wangu kwa kuwashukuru nyote na nawatakia kila lakheri katika safari yenu hapa duniani hasa katika ulimwengu wa mapenzi.

AHSANTENI 🫶🫶🫶.
Asante sana dogo kwa stori nzuri
Ila nimelia sana swala la wanawake na ile baiskeli yako 😭😭
 
Mimi binafsi niliumia na mpenzi wangu wa kwanza ila akili haikutoka Kama jamaa .

Alikuwa anamwogopa yule Demu Malaya eti anaweza kuwa na Ngoma wakati huo hamwogopi Mercy wake aliyetoka kwa Doctor ambaye hamfahamu na Mbaya zaidi huyo Malaya wa chuo aliliwa na Doctor alivyo jifanya Mercy fake tena akiwa anajua pasipo kubakisha shaka.
Sasa Kama huyo Mercy fake alikuwa na Ngoma si uwwzekano wa kuicha Doctor upo na ikaingia kwa Mercy alafu wewe,
Yaani huli kitimoto ila mchuzi unakunywa.

Sijui ata ulisoma nini bila kuelimika yaani wewe unajua kabisa demu ameshaingia king kwa Doctor siku anrudi kutoka likizo badala ufanye fumanizi muachane unajibebisha ukale mbunye tu.
Hivi ukishapewa mbunye ndio mapenzi yenyewe eti?
Bila Amani ya moyo wako,na afya ya Akili na Mwili?
Wewe ni ndezi ndio maana aliamumua kukupa ujumbe kuwa wewe siyo mwanaume ,kwanza huna uwezo wa kutungisha Mimba ndio maana akaenda kwa Rijali Doctor.siyo hivyo tu ata kuichakata hujui ndio maana alikutoa baru akabaki na Mwanaume .

Uliye kuwa na Makosa ni wewe hakuna cha Doctor au Mercy ,kavulana kasikojua kujisimamia ,Mwanaume wa kweli ni kupasua maneno haijalishi yatamweka katika hali gani pia na kuwa na kifua kwa Yale yasiyotakiwa kusemwa yaani Siri.
Sasa wewe kila siku ni vimikasa vya ajabu Alafu mwisho unajitetea na Uongo Mtoto wa watu akaunganisha Doti japo haikuwa kweli na ndio maana akafanya alicho fanya.
Formula ni Mbili tu ukishidwa kulipa kisasi Samehe ,na ndio huyu binti alitumia japo hukuhusika ila ukiazi wako ndio ulikupa Atia ya kuficha mambo na kusema uongo.
Nahisi Mtoto wa watu hajui ukweli mpaka Leo naamini anachokijua Ulimsaliti naye akakusaliti tofauti yenu ni yeye ni Mtoto wa kike akadaka mimba hivyo tu .

Kumbe umeuficha ukweli ,Sms inasomeka kabisa Unamboo nzuri Alafu unarahisisha eti sijafanya chochote .
Ilikuweje ikaonekana na ukasifiwa najua hujui kuwa Mbooo inakaa wapi ,ni kama pua tu mtu anaweza sema hii pana hii ndufu eti.
Ulihusika kumwaribia Mercy maisha kwa ujinga wako wakiwango cha lami ,Moyo wake ukahifadhi maumivu mengi bila Sababu akaamua kutafuta ahueni kwa kulipiza .
Binafsi nilivyo nikikutongoza ukaniambia hapana ,kesho ukisema nimekubali Mimi Baba nimeshafunga kitabu,labda zile swaga za kike za kuzungusha kidogo ila siyo unatoa jibu kuwa haiwezekani alafu kesho inawezekana hichi tayari ni kichwa maji hajui kujisimamia /kuamua .

Jina halisi la hii story ni JINSI NILIVYO CHANGIA KUHARIBU PENZI KWA UONGO NA UJINGA WANGU
 
Mimi binafsi niliumia na mpenzi wangu wa kwanza ila akili haikutoka Kama jamaa .

Alikuwa anamwogopa yule Demu Malaya eti anaweza kuwa na Ngoma wakati huo hamwogopi Mercy wake aliyetoka kwa Doctor ambaye hamfahamu na Mbaya zaidi huyo Malaya wa chuo aliliwa na Doctor alivyo jifanya Mercy fake tena akiwa anajua pasipo kubakisha shaka.
Sasa Kama huyo Mercy fake alikuwa na Ngoma si uwwzekano wa kuicha Doctor upo na ikaingia kwa Mercy alafu wewe,
Yaani huli kitimoto ila mchuzi unakunywa.

Sijui ata ulisoma nini bila kuelimika yaani wewe unajua kabisa demu ameshaingia king kwa Doctor siku anrudi kutoka likizo badala ufanye fumanizi muachane unajibebisha ukale mbunye tu.
Hivi ukishapewa mbunye ndio mapenzi yenyewe eti?
Bila Amani ya moyo wako,na afya ya Akili na Mwili?
Wewe ni ndezi ndio maana aliamumua kukupa ujumbe kuwa wewe siyo mwanaume ,kwanza huna uwezo wa kutungisha Mimba ndio maana akaenda kwa Rijali Doctor.siyo hivyo tu ata kuichakata hujui ndio maana alikutoa baru akabaki na Mwanaume .

Uliye kuwa na Makosa ni wewe hakuna cha Doctor au Mercy ,kavulana kasikojua kujisimamia ,Mwanaume wa kweli ni kupasua maneno haijalishi yatamweka katika hali gani pia na kuwa na kifua kwa Yale yasiyotakiwa kusemwa yaani Siri.
Sasa wewe kila siku ni vimikasa vya ajabu Alafu mwisho unajitetea na Uongo Mtoto wa watu akaunganisha Doti japo haikuwa kweli na ndio maana akafanya alicho fanya.
Formula ni Mbili tu ukishidwa kulipa kisasi Samehe ,na ndio huyu binti alitumia japo hukuhusika ila ukiazi wako ndio ulikupa Atia ya kuficha mambo na kusema uongo.
Nahisi Mtoto wa watu hajui ukweli mpaka Leo naamini anachokijua Ulimsaliti naye akakusaliti tofauti yenu ni yeye ni Mtoto wa kike akadaka mimba hivyo tu .

Kumbe umeuficha ukweli ,Sms inasomeka kabisa Unamboo nzuri Alafu unarahisisha eti sijafanya chochote .
Ilikuweje ikaonekana na ukasifiwa najua hujui kuwa Mbooo inakaa wapi ,ni kama pua tu mtu anaweza sema hii pana hii ndufu eti.
Ulihusika kumwaribia Mercy maisha kwa ujinga wako wakiwango cha lami ,Moyo wake ukahifadhi maumivu mengi bila Sababu akaamua kutafuta ahueni kwa kulipiza .
Binafsi nilivyo nikikutongoza ukaniambia hapana ,kesho ukisema nimekubali Mimi Baba nimeshafunga kitabu,labda zile swaga za kike za kuzungusha kidogo ila siyo unatoa jibu kuwa haiwezekani alafu kesho inawezekana hichi tayari ni kichwa maji hajui kujisimamia /kuamua .

Jina halisi la hii story ni JINSI NILIVYO CHANGIA KUHARIBU PENZI KWA UONGO NA UJINGA WANGU
Sawa bhna ila hata ungekuwa niwewe ndo umezama kwa Mercy kama ilivokuwa kwangu sdhan kama ungekumbuka hayo uloandika humo
 
Back
Top Bottom