Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

wanawake wa chuo naonaga wao kipaumbele chao pesa na mapenz japo wapo wachache wenye penz la kwel....ila yote tisa kumi PESA INANGUVU UNAEZA PORWA HATA MKEO KUDADEK DAH
 
wanawake wa chuo naonaga wao kipaumbele chao pesa na mapenz japo wapo wachache wenye penz la kwel....ila yote tisa kumi PESA INANGUVU UNAEZA PORWA HATA MKEO KUDADEK DAH
Mahusiano ya Kimapenzi hayana garantii yeyote ya ndoa. Unaweza kujifanya royal baadae mtu anaamua kuoa mtu mwingine.

Kila mtu asukume kete zake vizuri.
 
hv unaanzaje kushare pasword na mpenz wako hata km hauna makando kando!??yan mm naona kuna vimistake ww ndio chanzo mwanamk km ni wako ni wako usitumie nguvu nyingi kumueka mwanamke awe kariby yk bali yeye ndio ajieke kwako
 
jifunze kutokana na makosa siku zote tambua MWANAMK HACHEAT KWA BAHAT MBAYA BALI KADHAMIRIA NA NIKOSA KUBWA SANA KUMSAMEHE MWANAMK WA AINA HIYO! yan labd mfanye kitoweo kupasha kiporo ukijaribu kumuoa dokta atarud tena na vimsg vyake kuwa "HAKIKISHA UNAFUA NEPI ZA MWANAE VZR NA KUMCHAMBA MTOTO VZR"

STUKA JANJA KAA MBALI NAE
 
😄😄😄 Sawa Mkuu
 
Tafakari_nami
 
Asante sana dogo kwa stori nzuri
Ila nimelia sana swala la wanawake na ile baiskeli yako 😭😭
 
Mimi binafsi niliumia na mpenzi wangu wa kwanza ila akili haikutoka Kama jamaa .

Alikuwa anamwogopa yule Demu Malaya eti anaweza kuwa na Ngoma wakati huo hamwogopi Mercy wake aliyetoka kwa Doctor ambaye hamfahamu na Mbaya zaidi huyo Malaya wa chuo aliliwa na Doctor alivyo jifanya Mercy fake tena akiwa anajua pasipo kubakisha shaka.
Sasa Kama huyo Mercy fake alikuwa na Ngoma si uwwzekano wa kuicha Doctor upo na ikaingia kwa Mercy alafu wewe,
Yaani huli kitimoto ila mchuzi unakunywa.

Sijui ata ulisoma nini bila kuelimika yaani wewe unajua kabisa demu ameshaingia king kwa Doctor siku anrudi kutoka likizo badala ufanye fumanizi muachane unajibebisha ukale mbunye tu.
Hivi ukishapewa mbunye ndio mapenzi yenyewe eti?
Bila Amani ya moyo wako,na afya ya Akili na Mwili?
Wewe ni ndezi ndio maana aliamumua kukupa ujumbe kuwa wewe siyo mwanaume ,kwanza huna uwezo wa kutungisha Mimba ndio maana akaenda kwa Rijali Doctor.siyo hivyo tu ata kuichakata hujui ndio maana alikutoa baru akabaki na Mwanaume .

Uliye kuwa na Makosa ni wewe hakuna cha Doctor au Mercy ,kavulana kasikojua kujisimamia ,Mwanaume wa kweli ni kupasua maneno haijalishi yatamweka katika hali gani pia na kuwa na kifua kwa Yale yasiyotakiwa kusemwa yaani Siri.
Sasa wewe kila siku ni vimikasa vya ajabu Alafu mwisho unajitetea na Uongo Mtoto wa watu akaunganisha Doti japo haikuwa kweli na ndio maana akafanya alicho fanya.
Formula ni Mbili tu ukishidwa kulipa kisasi Samehe ,na ndio huyu binti alitumia japo hukuhusika ila ukiazi wako ndio ulikupa Atia ya kuficha mambo na kusema uongo.
Nahisi Mtoto wa watu hajui ukweli mpaka Leo naamini anachokijua Ulimsaliti naye akakusaliti tofauti yenu ni yeye ni Mtoto wa kike akadaka mimba hivyo tu .

Kumbe umeuficha ukweli ,Sms inasomeka kabisa Unamboo nzuri Alafu unarahisisha eti sijafanya chochote .
Ilikuweje ikaonekana na ukasifiwa najua hujui kuwa Mbooo inakaa wapi ,ni kama pua tu mtu anaweza sema hii pana hii ndufu eti.
Ulihusika kumwaribia Mercy maisha kwa ujinga wako wakiwango cha lami ,Moyo wake ukahifadhi maumivu mengi bila Sababu akaamua kutafuta ahueni kwa kulipiza .
Binafsi nilivyo nikikutongoza ukaniambia hapana ,kesho ukisema nimekubali Mimi Baba nimeshafunga kitabu,labda zile swaga za kike za kuzungusha kidogo ila siyo unatoa jibu kuwa haiwezekani alafu kesho inawezekana hichi tayari ni kichwa maji hajui kujisimamia /kuamua .

Jina halisi la hii story ni JINSI NILIVYO CHANGIA KUHARIBU PENZI KWA UONGO NA UJINGA WANGU
 
Sawa bhna ila hata ungekuwa niwewe ndo umezama kwa Mercy kama ilivokuwa kwangu sdhan kama ungekumbuka hayo uloandika humo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…