DeMostAdmired
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 1,579
- 3,798
- Thread starter
- #461
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzi unakuja sema kuandika kunachosha sometimesMtunzi unawacheleweshea watu wako story. Au unakuwa unasoma kwanza comment ujue utoke vipi? Mimi nimeitwa kwenye uzi nipo kuangalia maslahi ya wasomaji.
Leta story dogo, picha zenyewe black & whiteHii picha ilikuwa ni siku ya birthday ya rafikiangu Mbwambo aliyeniokoa nisimgonge Mercy fek pale rum kwake.
Wale ukutani ni mimi na Mercy
Alituudhi hadhira🤣🤣🤣@mpwayungu kwenye ule uzi wake ndio nilimvua vyeo
Tunafuatilia simulizi ya bwana mdogo taratibu taratibu tuone mwisho wake.Mzee wa Chai upo????
Hii thread Tunatakiwa kuishia kuisoma hapa. Hebu kabadilishe jina la thread sasa.lets go.......
Tulipofika home toka kwa Mercy tulifikia kwa huyo bro, nilimshukuru san kwasabb kwa kiasi flan niliona kama vita imeisha na dokta hatomtafuta tena mercy.
Baada kama ya dk 20 niliingia mageton kwangu na tayr ilikuwa ishafika time ya msos wa mchana. Nikawaza kwenda kuoga then nimchek mercy niende kwake kwa ajili ya msos. Nilimchek akasema ashaanza kupika.
Nilipitia gengeni nikabeba matunda nikapiga pedeli mpka kwa Mercy. Nilikuta anamalizia ugali basi tukagonga msos huku tunapiga stors za hapa na pale mpka tukamaliza. Siku ile kweli nilimramba Mercy na kama kawaida tulienjoy show.
Tulipomaliza kugegedana alienda kuoga namimi nikafuata maana kulikuwa na baadhi ya nguo zangu kwake.
Alipoenda kuoga cm aliiacha na Mercy pattern zake nilikuwa nazjua kwahiyo nilivaa ujasiri nikaanza kuipekua cm yake.
Sikukuta call yyte au mesej kutoka kwa Dokta wala shenzi yyte yule na of course Mercy hakuwa na mambo mengi alikuwa Binti mstaarabu sana na hii ndo ilinivutia pia kwake.
Tulipomaliza kuoga tuliamua kutoka kwenda chuo kufanya individual assignment ya somo la sociology.
Tulitoka chuo saa moja kasoro jioni.
Tukapita gengeni kuchukua matunda na vitu vilivyomiss ili tukaandae msos wa jioni.
Sasa ndugu zangu, tangu nimeanza kuwa na Mercy first year nilikuwa najitahid sana kuficha texts na calls za ma ex zangu washenzi nilikuwa naona kama wangeniharibia kwa Mercy wangu.
Ndugu zangu wakati tunachukua chukua mazaga cm yangu nilimpa Mercy anishikie wakati natoa wallet nichukue pesa cha kulipia pale.
La haulah! Text ikaingia la dem flan nilimuacha home anaitwa Tecra (hii ni real name)
Text ilisomeka "Toka uingie chuo basi ushanisahau lakini tambua mimi ndo mke wako hao wamenishikia tu kwa muda"
Mercy sio mtu wa short temper yani so wa mavurugu vurugu hovyo alinambia "kuna text imeingia hapa isome tu lakini tutayazungumza tukifika home"
Nilichukuwa cm kwa shauku kukuta text ya Tecra nikajisemea moyoni kwamba hapa tayar nishapata doa kwa Mercy na uaminifu wake kwangu utapungua.
Tulipofika home nikajiwahi kujishughulisha kwenye kupika lakini Mercy alinikumbusha kuhusu Ile txt akauliza Tecra ni mke wako?
Nikamjibu hapana ngoja nipike kwanza tule tutaongea.
Ghafla cm ya Mercy ikaingia kupokea ni Dokta, nilikuwa napika lakini nikaamua kusogea karibu na Mercy kusikia vizur upuuzi wa msela na Mercy alikuwa kaweka loud speaker.
Kiukweli Dokta alikuwa na hela lakini alikosa swaga tu na ndo kilichokuwa kinamcheleweaha.
Dokta aliuliza Mercy anaendeleaje na wakati Mercy àlikuwa kashapona kitambo kiasi kwamba ni ushamba mtu kuendelea kuuliza hali yake baada ya kutolewa jino. Nikaona kabisa huyu Dokta anamtaka sawa Mercy lakini swaga kakosa. Alipiga porojo zake pale lakini hakumgusia kuhusu swala la mimi na bro kumfata na kumpiga bit. Hapa nilimuona gentleman kidizain.
Dokta hakuwa na swaga basi akakata cm.
Nikaendelea na kupika nikamaliza tukala. Baada ya kumaliza kula nikaanza kuleta uchokozi ili nimle na asahau kabisa maswala ya Tecra.
Mercy alistukia akanipiga marufuku kwa herufi kubwa. Alisisitiza juu ya Tecra nikamuelekeza kwa mapana na marefu na kwa kiasi alinielewa. Lakini niliona kunakawasiwasi bado anako moyoni.
Nilifanya ujinga wa kumpiga Tecra nikamchana live mbele ya Mercy kwamba asinisumbue tayar nina mwingine na tunapendana. Nahisi huu ni upuuzi na sitakuja kurudia labda nikiwa nimeoa.
Basi tukasov pale yakaisha nikarud home kwangu.
Kumbuka hapo nilikuwa bado nipo katika changamoto ya kiuchumi. Nilikuja kufurahi nilipoambiwa Maza karud home hapo nikaona kabisa mambo yamegeuka na wa mwisho Sasa atakuwa wa kwanza.
Kweli bhan mwez ule nilipewa 150k ya matumizi na ilikuwa bado kama weeks 3 tuingie UE ya sem1 mwaka wa3.
Bado yule Dokta aliendelea kumsumbua Mercy na Mercy alikuwa ananambia nisijali niwe na amani yeye anajielewa.
Niliwaza kumpigia tena Dokta lakini nikaona ni ushenzi nikaachana naye.
Dokta hakukoma alizidisha kumtafuta, nikaamua kumchek tena nikamwambia aache kumsumbua Mercy kwani hayupo tyr kumpa penzi kwahiyo anajiaumbua na kujichoresha tu kumtafuta. Dokta akanijibu majibu ya kishujaa sana.
Dokta alinijibu...."wewe ni chalii mdogo sidhani kama Mercy akihitaji milioni moja ghafla unaweza kumpa. Wewe unavyo vya kujivunia lakini nilichonacho mimi ni pesa na pesa haitanihitaji nitumie nguvu wala maneno mengi.
KUNA WATU WANA ROHO MBAYA DUNIANI.
Yale maneno ya yule mshenzi yalinifanya nipate mawazo mengi sana kichwani yakiwemo.
1. Nitafute watoto wa mbwa niwageie ya bangi wakamchape jamaa kichapo Cha mbwa mwizi.
2. Niachane na Mercy niwe na amani ya moyo. Hili halikuwa na nguvu kwasbb ni dhahili kumuacha Mercy ilikuwa ni ngumu.
3. Nimtie Mercy mimba ili nijihakikishie ushindi.
Tutaendelea.............
Jina liwejeHii thread Tunatakiwa kuishia kuisoma hapa. Hebu kabadilishe jina la thread sasa.
Mimi ndo muhusika na yalinikuta mimi sas thread niibadili jina ili iwejeHii thread Tunatakiwa kuishia kuisoma hapa. Hebu kabadilishe jina la thread sasa.
Duuh!!Let's go..............
Tukiwa tupo geto kwa Mercy ile jpili tukawa tunapitia pitia researches na baadae tukaanza kujisomea somea kwa disc.
Baada ya kuchoka basi tukawa tunapiga piga stors.
Niliamua kumuliza Mercy juu ya ile likizo fupi kwamba ataenda homa au atabaki, Mercy alinambia kwamba kwao wamekwambia aende wamemmiss lakini pia nayeye amewamiss.
Nilikubaliana naye nikasema haina shida yeye ataenda lakini mimi nitabaki maana kilikizo ni kifupi sana. Bado Mercy hakuweza kunambia chochote kuhusu Dokta na mimi pia niliamua kujikaza nisimsemeshe chochote kuhusu Dokta.
Nilimuaga Mercy nikarudi zangu geto, nipo njiani narud kwangu nikapokea cm ya Mercy fek akaniuliza nipo wapi nikamdanganya nipo kwa Mercy maana anaujinga wa kutokea mageto kwangu sometimes tena bila hata taarifa, alikuwa anapenda kuja kwangu hasa boom lilipokuwa likiisha ili aje kugongea vichenji vya msosi.
Akanambia anashida ya kuonana na mimi na ni very urgent, nikampuuza nikajisemea Hana lolote anataka kuniweka 18 nimle.
Basi nikampa ahadi kwamba wakati nitakapokuwa natoka kwa Mercy basi nitapita kwake ila sitaingia magetoni tutakutana nje.
Nikaona kuna haja ya kumsikiliza pengine atakuwa na jambo la maana. Nilifika mageton kwangu nikavunga kama nusu saa then nikamchek nikamwambia nipo njiani nakuja atoke nje maana kwake hapakuwa mbali sana na kwangu.
Nilivofika karibu na kwake nikamkuta nje, alikuwa kipens cha filla, chini open shoes na juu alivaa t-shirt na kikot cha jeans.
Tukasalimiana tena pale nikamuliza vipi kuna issue gani, akanambia kwamba anajua mimi ni mwanaume nina uwezo wa kupokea kitu chochote regardless uzito wake na nikakimudu.
Nikamwambia aendelee asiwe na shaka, Mercy fek hakuwa na muda wa kupoteza akaanza kufunguka akasema ndugu yangu kidem chako kinakusalit na Dokta. Hapa moyo ulilipuka lakini nilivokumbuka maneno yake kwamba mimi ni mwanaume inabid nikaze bas nikaona nikipanic ataniona mrembo.
Nikakaza nikamuliza unauhakika na umejuaje?
Akanijibu wewe niamini Mercy anakusalit na Dokta, nilimsihi sana athibitishe. Akanambia ukweli kwamba alitafuta namna nyingne ya kujikonekt na Dokta maana alipatwa na tamaa baada yakuona Dokta ni mwepes kutoa pesa. Alinambia kwamba alienda mpka hospital aka act kwamba anasumbuliwa na jino, na walikuwa wanachat mpka Whatsapp na Dokta akawa kashamtumia Mercy fek picha kwahyo ikawa rahisi kumfaham yule Dokta.
Akanambia alipokutana na Dokta pale hospital akamuomba namba na akaanza kuwasiliana naye kwa namba nyengine kabisa.
Aligunduaje Mercy wangu anawasiliana na Dokta ilikuwa hivi.
Mercy fek alipoanza mawasiliano na Dokta kama nilivowambia huyu ni malaya hivo haikuchukua muda akajiingiza mwenyewe kwenye laini. Anasema kuna siku walitoka out na Dokta na walipokuepo huko viwanja Dokta alikuwa anaenda sana toilet na cm alikuwa anaacha pale mezani kwahiyo Mercy fek alikuwa anachungulia chungulia. Sasa katika kuchungulia akaona mesej imeingia na namba ilikuwa haijaseviwa na namba ya Mercy anaijua akanambia Ile mesej alikuwa kaituma Mercy mesej ilisomeka "baby where are you now mbona kimya"".
Seeee you............
Mrs DR Mambo Jambo anafaidi sanaaa….Unajua tatizo lako ni nini?
Unachukulia comments ,za watu Serious Sana 😅😅..
Pole sana Nimeona You are too Emotional!!
Kwa hicho kitu kama unataka kweli kuwa mwanaume shupavu Hupaswi kabisa Kucatch feelings..
SIfa kuu ya Mwanaume (Masculine Aspects) ni Ngozi Ngumu kwa mambo yote..
Na ndo maana hata kama mtoto wa kiume akiwa na Miaka 14 na mwanamke akiwa na miaka 30 kukitokea kitu cha Hatari bhasi yule mwanamke mwenye Miaka 30 ataenda kujificha nyuma ya Mwanaume mwenye miaka 14..
Unajua kwanini?
Anahisi yuko.salama zaidi kwa sababu anaamini mwanaume haogopi kitu..
Sasa na wewe unaniangusha kuogopa Comments za watu ambazo hazichubui wala hazikung'oi hata Unyoya wa nywele..
So You have to be A man, Son..
Its Time to Man up..
Stop Acting Weird
Hamna Vurugu kwenye familia kila siku 🤣🤣Mrs DR Mambo Jambo anafaidi sanaaa….
Mimi nguo ya kitenge labda nilivalishwa nikiwa mdogo na kutojitambua, tangu nianze kujitambua na nikiwa na kumbukumbu ingali nina miaka 9(10), sijawahi kuvaa nguo ya kushona kwa kitengeHahaha Kushona Sare ya Vitenge Huwezi kunishawishi hata kidgo
Wapotezee watu wana stress za maishaJAMANI SIJAKATAA KUSHUSHA EPISODES, STORY BADO HAIJAISHA TUWE WAPOLE KWANI HUKO MBELE MTAJUA MENGI MPAKA NILILAZWA HOSPITAL KAMA WIKI NA NUSU NILIPATIWA MATIBABU HOSPITAL YA JESHI YA KANDA MKOANI TABORA. NAJUA KUNA BAADHI YA WATU WANAIFAHAM NAWASHUKURU SANA MADAKTARI WALINIPAMBANIA NIKAPONA MPAKA HAPA NILIPO NAMSHUKURU SANA MUNGU NA MADAKTARI.
NISINGEPENDA TABIA YA KUNITOLEA LUGHA ZA MATUSI IENDELEE KWANI SO VIZURI MIMI NIMEAMUA KUSHEA NA NYIE STORY HII KWA RIDHAA YANGU SIO KWAMBA MNISHURUTUSHE.
Kuna watu wanajiona sana humu na wanajifanya kila kitu wanajua, sitaki kuwatag lakini wanajiujua.