Mama pretty
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 2,082
- 4,103
Yako yamezidi dr..😅😅Hamna Vurugu kwenye familia kila siku 🤣🤣
Ni uzee tu unakujaga na haya mambo ya ushauri automatically tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yako yamezidi dr..😅😅Hamna Vurugu kwenye familia kila siku 🤣🤣
Ni uzee tu unakujaga na haya mambo ya ushauri automatically tu
🤣🤣🤣Umeanza!ulifanyaga Mpwayungu akasusa uziMtunzi unawacheleweshea watu wako story. Au unakuwa unasoma kwanza comment ujue utoke vipi? Mimi nimeitwa kwenye uzi nipo kuangalia maslahi ya wasomaji.
Enheee endeleaTuendeleee..........
Nilienda town nikachukua viraba vya mazoez vya buku 8 haikuwa njumu kabisa ila ni raba nyepesi ambazo ni nzuri kwa kuchezea mpira kwa sisi ambao tulikuwa tunacheza kujifurahisha.
Siku ile ile nilianza kwenda chuoni kwaajili ya mazoez.
Baada ya tizi nikachukua baiki yangu kurudi magetoni njiani nilikuwa nakokota huku nikichat na Mercy na akanambia anaendelea vizur na safar na yalikuwa yamebak kama masaa mawili au matatu wafike. Siku ile nilichoka sana nikaamua kuoga then nikaenda kijiweni kula ili mambo yasiwe mengi.
Baada ya kula nipo zangu geto Mercy fek kanichek kaniuliza nipowapi nikamjibu home akasema anakuja kwani ana kitu cha kuongea na mimi.
Nikajiuliza huyu dem anataka nini ila nikasubr aje nimsikilize.
Hazikupita hata dakika mtu huyu hapa, kachoma ndani kanikuta kitandani naye akakaa pembeni yangu. Nikamkaribisha, nikamuliza nambie kuna mpya gani. Kaniuliza ni hatua gani nitachukua endapo atanithibitishia kwamba Mercy anatembea na Dokta nikamjibu mimi ni mwanaume na nishaanza kujifunza kuwa mvumilivu na kuhimili changamoto za mahusiano.
Mercy fek akatoa cm akafungua gallery akanionesha picha, alichukua cm ya Dokta akapiga picha chat za Dokta na Mercy. Chat zilikuwa zinaonesha Dokta alikuwa anamuliza kuhusu safar na kumtakia safar njema.
Mercy fek akanambia hakutaka kupiga zile texts mbya zaid za kiniumiza lakini it's true Mercy wangu alikuwa ananicheat silently.
Nilimkatisha asiendelee kuongea na nikavuta pumzi ndani kwa nguvu na kuitoa nje ili nitafute relief angalau. Mercy fek akaanza kama kuleta pigo za kutaka dudu ya yuyu nikamkata jicho elekezi na hapo alinielewa na akaahirisha mpango wake. Akavunga vunga pale anasikiliza mziki then akasepa zake nikabak alone. Siku ile pia nililia kisa Mercy, lakini mwisho wa siku nikaona hata nifanyaje wa kuokoa penz letu sio mimi hali ni Mercy kwahyo ikabidi nirelax tu nisiwe na makuu kwani hata kama ningegaagaa chini isingesaidia kitu.
Nikajikaza kitandani ghafla simu ikaita alikuwa Mercy,nikapokea kinyonge sana. Akanambia kafika nikampa pole basi nikamwambia apumzike ili aniache nilale zangu pia. Usiku ule ulikuwa mbaya sana maana niliandamwa na ndoto za kijingajinga sana nikaona dalili za kupata shida ya afya ya akili japo sikulitilia maanani sana hilo swala kwa muda ule.
Kesho yake niliamka nikafua fua pale, nikapika tea nikapiga.
Mercy alipiga cm tukaongea kwa muda kidogo nikajikuta naanza kuongea sana kumsihi Mercy asiruhusu mapenz yetu yavurugike. Mercy aliniuliza kwani kuna shida gani? Umeona nini mbona unanihubiria sana kuhusu kuwa muaminifu? Nikaona hili ni swali ya kizushi namimi nkampunch nkamwambia hakuna shida ila awe tu makini asije kuniharibia future yangu.
Asee pamoja na kuwahi kupitia katika mahusiano kadhaa kabla ya Mercy lakini nikiri wazi kwamba Mercy aliuteka sana moyo wangu na sikuwa na la kufanya ila hatma yangu ilikuwa mikononi mwa Mercy.
Siku zilienda likizo ikaisha na Mercy akawa anakuja siku hiyo yani anarud chuoni. Siku hiyo Mercy alinambia kwamba atachelewa kufika kwasababu gari imepata shida njiani kwahyo watafika usiku around saa tano, akanambia haina haja ya kwenda kumpokea kuna anko wake ataenda kumchukua stand na atalala kwake.
Mmmmh nikaona hapa tayari gari imekata break kwenye mteremko sitaweza kuikontrol labda niichome mtaroni.
Kiukweli sikuridhishwa na majibu ya Mercy nikamwambia hapana mimi nitakuja kuchukua nitakuja na bodaboda asiwaze wala kumsumbua anko wake.
Mercy kweli aliwahi kunambia ana anko wake pale mjini na siku moja moja alikuwa anaenda kuwasalimia.
Nilimganda sana Mercy mwisho wa siku akakubali niende kumpokea. Kwasabb alikuwa kanambia jina la gari hasi nikawaza niwahi mida ya saa4 niwepo around ili akishuka anikute pale. Ilipofika saa3 na dk45 nilimpigia boda tukasepa stand.
Cha kushangaza nilipofika stand nikakaa kama dk 20 ile gari ikaingia.
Mercy alivoshuka alistuka sana alivoniona akaniuliza umefika mda gani hapa? Dereva kakimbiza sana gar ndomana nimefika kabla ya muda nilokuelekeza.
Nikampokea sikutaka tuongee sana pale, tulipanda boda tukapotea. Njiani cm ya Mercy iliita kama mara tatu hivi na sms ziliingia kadhaa. Lakini sikutaka kumuuliza Mercy kuhusu hizo cm na sms.
Hii ndo ilikuwa siku rasmi Dokta alianza kuonesha ROHO mbaya mpaka ikapelekea kuandika Uzi huu na kuupa jina hilo.
See you............
Sasa mkuu fanya umalizie episode mbili tulale kesho si unajua kanisani mm pia ni FPTCTuendeleee..........
Nilienda town nikachukua viraba vya mazoez vya buku 8 haikuwa njumu kabisa ila ni raba nyepesi ambazo ni nzuri kwa kuchezea mpira kwa sisi ambao tulikuwa tunacheza kujifurahisha.
Siku ile ile nilianza kwenda chuoni kwaajili ya mazoez.
Baada ya tizi nikachukua baiki yangu kurudi magetoni njiani nilikuwa nakokota huku nikichat na Mercy na akanambia anaendelea vizur na safar na yalikuwa yamebak kama masaa mawili au matatu wafike. Siku ile nilichoka sana nikaamua kuoga then nikaenda kijiweni kula ili mambo yasiwe mengi.
Baada ya kula nipo zangu geto Mercy fek kanichek kaniuliza nipowapi nikamjibu home akasema anakuja kwani ana kitu cha kuongea na mimi.
Nikajiuliza huyu dem anataka nini ila nikasubr aje nimsikilize.
Hazikupita hata dakika mtu huyu hapa, kachoma ndani kanikuta kitandani naye akakaa pembeni yangu. Nikamkaribisha, nikamuliza nambie kuna mpya gani. Kaniuliza ni hatua gani nitachukua endapo atanithibitishia kwamba Mercy anatembea na Dokta nikamjibu mimi ni mwanaume na nishaanza kujifunza kuwa mvumilivu na kuhimili changamoto za mahusiano.
Mercy fek akatoa cm akafungua gallery akanionesha picha, alichukua cm ya Dokta akapiga picha chat za Dokta na Mercy. Chat zilikuwa zinaonesha Dokta alikuwa anamuliza kuhusu safar na kumtakia safar njema.
Mercy fek akanambia hakutaka kupiga zile texts mbya zaid za kiniumiza lakini it's true Mercy wangu alikuwa ananicheat silently.
Nilimkatisha asiendelee kuongea na nikavuta pumzi ndani kwa nguvu na kuitoa nje ili nitafute relief angalau. Mercy fek akaanza kama kuleta pigo za kutaka dudu ya yuyu nikamkata jicho elekezi na hapo alinielewa na akaahirisha mpango wake. Akavunga vunga pale anasikiliza mziki then akasepa zake nikabak alone. Siku ile pia nililia kisa Mercy, lakini mwisho wa siku nikaona hata nifanyaje wa kuokoa penz letu sio mimi hali ni Mercy kwahyo ikabidi nirelax tu nisiwe na makuu kwani hata kama ningegaagaa chini isingesaidia kitu.
Nikajikaza kitandani ghafla simu ikaita alikuwa Mercy,nikapokea kinyonge sana. Akanambia kafika nikampa pole basi nikamwambia apumzike ili aniache nilale zangu pia. Usiku ule ulikuwa mbaya sana maana niliandamwa na ndoto za kijingajinga sana nikaona dalili za kupata shida ya afya ya akili japo sikulitilia maanani sana hilo swala kwa muda ule.
Kesho yake niliamka nikafua fua pale, nikapika tea nikapiga.
Mercy alipiga cm tukaongea kwa muda kidogo nikajikuta naanza kuongea sana kumsihi Mercy asiruhusu mapenz yetu yavurugike. Mercy aliniuliza kwani kuna shida gani? Umeona nini mbona unanihubiria sana kuhusu kuwa muaminifu? Nikaona hili ni swali ya kizushi namimi nkampunch nkamwambia hakuna shida ila awe tu makini asije kuniharibia future yangu.
Asee pamoja na kuwahi kupitia katika mahusiano kadhaa kabla ya Mercy lakini nikiri wazi kwamba Mercy aliuteka sana moyo wangu na sikuwa na la kufanya ila hatma yangu ilikuwa mikononi mwa Mercy.
Siku zilienda likizo ikaisha na Mercy akawa anakuja siku hiyo yani anarud chuoni. Siku hiyo Mercy alinambia kwamba atachelewa kufika kwasababu gari imepata shida njiani kwahyo watafika usiku around saa tano, akanambia haina haja ya kwenda kumpokea kuna anko wake ataenda kumchukua stand na atalala kwake.
Mmmmh nikaona hapa tayari gari imekata break kwenye mteremko sitaweza kuikontrol labda niichome mtaroni.
Kiukweli sikuridhishwa na majibu ya Mercy nikamwambia hapana mimi nitakuja kuchukua nitakuja na bodaboda asiwaze wala kumsumbua anko wake.
Mercy kweli aliwahi kunambia ana anko wake pale mjini na siku moja moja alikuwa anaenda kuwasalimia.
Nilimganda sana Mercy mwisho wa siku akakubali niende kumpokea. Kwasabb alikuwa kanambia jina la gari hasi nikawaza niwahi mida ya saa4 niwepo around ili akishuka anikute pale. Ilipofika saa3 na dk45 nilimpigia boda tukasepa stand.
Cha kushangaza nilipofika stand nikakaa kama dk 20 ile gari ikaingia.
Mercy alivoshuka alistuka sana alivoniona akaniuliza umefika mda gani hapa? Dereva kakimbiza sana gar ndomana nimefika kabla ya muda nilokuelekeza.
Nikampokea sikutaka tuongee sana pale, tulipanda boda tukapotea. Njiani cm ya Mercy iliita kama mara tatu hivi na sms ziliingia kadhaa. Lakini sikutaka kumuuliza Mercy kuhusu hizo cm na sms.
Hii ndo ilikuwa siku rasmi Dokta alianza kuonesha ROHO mbaya mpaka ikapelekea kuandika Uzi huu na kuupa jina hilo.
See you............
TOBAAAAAAAAAAA 🙆🙆🙆🙆Mercy!Let's go..............
Tukiwa tupo geto kwa Mercy ile jpili tukawa tunapitia pitia researches na baadae tukaanza kujisomea somea kwa disc.
Baada ya kuchoka basi tukawa tunapiga piga stors.
Niliamua kumuliza Mercy juu ya ile likizo fupi kwamba ataenda homa au atabaki, Mercy alinambia kwamba kwao wamekwambia aende wamemmiss lakini pia nayeye amewamiss.
Nilikubaliana naye nikasema haina shida yeye ataenda lakini mimi nitabaki maana kilikizo ni kifupi sana. Bado Mercy hakuweza kunambia chochote kuhusu Dokta na mimi pia niliamua kujikaza nisimsemeshe chochote kuhusu Dokta.
Nilimuaga Mercy nikarudi zangu geto, nipo njiani narud kwangu nikapokea cm ya Mercy fek akaniuliza nipo wapi nikamdanganya nipo kwa Mercy maana anaujinga wa kutokea mageto kwangu sometimes tena bila hata taarifa, alikuwa anapenda kuja kwangu hasa boom lilipokuwa likiisha ili aje kugongea vichenji vya msosi.
Akanambia anashida ya kuonana na mimi na ni very urgent, nikampuuza nikajisemea Hana lolote anataka kuniweka 18 nimle.
Basi nikampa ahadi kwamba wakati nitakapokuwa natoka kwa Mercy basi nitapita kwake ila sitaingia magetoni tutakutana nje.
Nikaona kuna haja ya kumsikiliza pengine atakuwa na jambo la maana. Nilifika mageton kwangu nikavunga kama nusu saa then nikamchek nikamwambia nipo njiani nakuja atoke nje maana kwake hapakuwa mbali sana na kwangu.
Nilivofika karibu na kwake nikamkuta nje, alikuwa kipens cha filla, chini open shoes na juu alivaa t-shirt na kikot cha jeans.
Tukasalimiana tena pale nikamuliza vipi kuna issue gani, akanambia kwamba anajua mimi ni mwanaume nina uwezo wa kupokea kitu chochote regardless uzito wake na nikakimudu.
Nikamwambia aendelee asiwe na shaka, Mercy fek hakuwa na muda wa kupoteza akaanza kufunguka akasema ndugu yangu kidem chako kinakusalit na Dokta. Hapa moyo ulilipuka lakini nilivokumbuka maneno yake kwamba mimi ni mwanaume inabid nikaze bas nikaona nikipanic ataniona mrembo.
Nikakaza nikamuliza unauhakika na umejuaje?
Akanijibu wewe niamini Mercy anakusalit na Dokta, nilimsihi sana athibitishe. Akanambia ukweli kwamba alitafuta namna nyingne ya kujikonekt na Dokta maana alipatwa na tamaa baada yakuona Dokta ni mwepes kutoa pesa. Alinambia kwamba alienda mpka hospital aka act kwamba anasumbuliwa na jino, na walikuwa wanachat mpka Whatsapp na Dokta akawa kashamtumia Mercy fek picha kwahyo ikawa rahisi kumfaham yule Dokta.
Akanambia alipokutana na Dokta pale hospital akamuomba namba na akaanza kuwasiliana naye kwa namba nyengine kabisa.
Aligunduaje Mercy wangu anawasiliana na Dokta ilikuwa hivi.
Mercy fek alipoanza mawasiliano na Dokta kama nilivowambia huyu ni malaya hivo haikuchukua muda akajiingiza mwenyewe kwenye laini. Anasema kuna siku walitoka out na Dokta na walipokuepo huko viwanja Dokta alikuwa anaenda sana toilet na cm alikuwa anaacha pale mezani kwahiyo Mercy fek alikuwa anachungulia chungulia. Sasa katika kuchungulia akaona mesej imeingia na namba ilikuwa haijaseviwa na namba ya Mercy anaijua akanambia Ile mesej alikuwa kaituma Mercy mesej ilisomeka "baby where are you now mbona kimya"".
Seeee you............
Malizia [emoji23]Tuendeleee..........
Nilienda town nikachukua viraba vya mazoez vya buku 8 haikuwa njumu kabisa ila ni raba nyepesi ambazo ni nzuri kwa kuchezea mpira kwa sisi ambao tulikuwa tunacheza kujifurahisha.
Siku ile ile nilianza kwenda chuoni kwaajili ya mazoez.
Baada ya tizi nikachukua baiki yangu kurudi magetoni njiani nilikuwa nakokota huku nikichat na Mercy na akanambia anaendelea vizur na safar na yalikuwa yamebak kama masaa mawili au matatu wafike. Siku ile nilichoka sana nikaamua kuoga then nikaenda kijiweni kula ili mambo yasiwe mengi.
Baada ya kula nipo zangu geto Mercy fek kanichek kaniuliza nipowapi nikamjibu home akasema anakuja kwani ana kitu cha kuongea na mimi.
Nikajiuliza huyu dem anataka nini ila nikasubr aje nimsikilize.
Hazikupita hata dakika mtu huyu hapa, kachoma ndani kanikuta kitandani naye akakaa pembeni yangu. Nikamkaribisha, nikamuliza nambie kuna mpya gani. Kaniuliza ni hatua gani nitachukua endapo atanithibitishia kwamba Mercy anatembea na Dokta nikamjibu mimi ni mwanaume na nishaanza kujifunza kuwa mvumilivu na kuhimili changamoto za mahusiano.
Mercy fek akatoa cm akafungua gallery akanionesha picha, alichukua cm ya Dokta akapiga picha chat za Dokta na Mercy. Chat zilikuwa zinaonesha Dokta alikuwa anamuliza kuhusu safar na kumtakia safar njema.
Mercy fek akanambia hakutaka kupiga zile texts mbya zaid za kiniumiza lakini it's true Mercy wangu alikuwa ananicheat silently.
Nilimkatisha asiendelee kuongea na nikavuta pumzi ndani kwa nguvu na kuitoa nje ili nitafute relief angalau. Mercy fek akaanza kama kuleta pigo za kutaka dudu ya yuyu nikamkata jicho elekezi na hapo alinielewa na akaahirisha mpango wake. Akavunga vunga pale anasikiliza mziki then akasepa zake nikabak alone. Siku ile pia nililia kisa Mercy, lakini mwisho wa siku nikaona hata nifanyaje wa kuokoa penz letu sio mimi hali ni Mercy kwahyo ikabidi nirelax tu nisiwe na makuu kwani hata kama ningegaagaa chini isingesaidia kitu.
Nikajikaza kitandani ghafla simu ikaita alikuwa Mercy,nikapokea kinyonge sana. Akanambia kafika nikampa pole basi nikamwambia apumzike ili aniache nilale zangu pia. Usiku ule ulikuwa mbaya sana maana niliandamwa na ndoto za kijingajinga sana nikaona dalili za kupata shida ya afya ya akili japo sikulitilia maanani sana hilo swala kwa muda ule.
Kesho yake niliamka nikafua fua pale, nikapika tea nikapiga.
Mercy alipiga cm tukaongea kwa muda kidogo nikajikuta naanza kuongea sana kumsihi Mercy asiruhusu mapenz yetu yavurugike. Mercy aliniuliza kwani kuna shida gani? Umeona nini mbona unanihubiria sana kuhusu kuwa muaminifu? Nikaona hili ni swali ya kizushi namimi nkampunch nkamwambia hakuna shida ila awe tu makini asije kuniharibia future yangu.
Asee pamoja na kuwahi kupitia katika mahusiano kadhaa kabla ya Mercy lakini nikiri wazi kwamba Mercy aliuteka sana moyo wangu na sikuwa na la kufanya ila hatma yangu ilikuwa mikononi mwa Mercy.
Siku zilienda likizo ikaisha na Mercy akawa anakuja siku hiyo yani anarud chuoni. Siku hiyo Mercy alinambia kwamba atachelewa kufika kwasababu gari imepata shida njiani kwahyo watafika usiku around saa tano, akanambia haina haja ya kwenda kumpokea kuna anko wake ataenda kumchukua stand na atalala kwake.
Mmmmh nikaona hapa tayari gari imekata break kwenye mteremko sitaweza kuikontrol labda niichome mtaroni.
Kiukweli sikuridhishwa na majibu ya Mercy nikamwambia hapana mimi nitakuja kuchukua nitakuja na bodaboda asiwaze wala kumsumbua anko wake.
Mercy kweli aliwahi kunambia ana anko wake pale mjini na siku moja moja alikuwa anaenda kuwasalimia.
Nilimganda sana Mercy mwisho wa siku akakubali niende kumpokea. Kwasabb alikuwa kanambia jina la gari hasi nikawaza niwahi mida ya saa4 niwepo around ili akishuka anikute pale. Ilipofika saa3 na dk45 nilimpigia boda tukasepa stand.
Cha kushangaza nilipofika stand nikakaa kama dk 20 ile gari ikaingia.
Mercy alivoshuka alistuka sana alivoniona akaniuliza umefika mda gani hapa? Dereva kakimbiza sana gar ndomana nimefika kabla ya muda nilokuelekeza.
Nikampokea sikutaka tuongee sana pale, tulipanda boda tukapotea. Njiani cm ya Mercy iliita kama mara tatu hivi na sms ziliingia kadhaa. Lakini sikutaka kumuuliza Mercy kuhusu hizo cm na sms.
Hii ndo ilikuwa siku rasmi Dokta alianza kuonesha ROHO mbaya mpaka ikapelekea kuandika Uzi huu na kuupa jina hilo.
See you............
Dogo nae alikula vya kutosha bwana ,angepiga kale kadem kengine kamtulize wenge.Ugemchana Dem wako achague moja na wewe ubaki huruu.Kuwa wew na dr hivi na vile na mnawasiliana hvi na vile.Joannah njoo umpepeee dogo
Mercy aliniudhi tu kuwa anamfukuzafukuza jamaaDogo nae alikula vya kutosha bwana ,angepiga kale kadem kengine kamtulize wenge.Ugemchana Dem wako achague moja na wewe ubaki huruu.Kuwa wew na dr hivi na vile na mnawasiliana hvi na vile.
Leo hatulaliiii....wananchi wamejua kunifurahishaaaAsanteee Dogo Cha kulalia
🤣🤣🤣 shemeji hajawahi kukwambia mshone sare?Mimi nguo ya kitenge labda nilivalishwa nikiwa mdogo na kutojitambua, tangu nianze kujitambua na nikiwa na kumbukumbu ingali nina miaka 9(10), sijawahi kuvaa nguo ya kushona kwa kitenge
Hii picha ilikuwa ni siku ya birthday ya rafikiangu Mbwambo aliyeniokoa nisimgonge Mercy fek pale rum kwake.
Wale ukutani ni mimi na Mercy
Story inaendelea ila anavuta mda wa kufikili IL atupe uongo mkuuu.Huu upumbavu wa itaendelea unakera sana.
Umeamua kuandika kisa chako, kaa chini andika kila kitu, post, watu wasome na wenye kusifia wasifie na wakukandia watoe nyongo zao.
Sasa unafanya kama vile wote hatuna kazi zaidi ya kufuatilia muendelezo wa uzinzi wako chuoni.
Kaa na li story lako mwenyewe ulipigie nyeto kabisa, nyambaf.
Umefanya uungwana mkuuStory inaendelea ila anavuta mda wa kufikili IL atupe uongo mkuuu.
Weka episodes mbili za mwisho za kulalia