Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

"NDUGU ZANGU NIMEPIKA CHAKULA NI KITAMU SANA HAPA KARIBU LUNCH"


Tuendeleee....

Hii ni experience ambayo sidhani kama nitakuja kukutana nayo tena katika maisha yangu maana nilijikuta kama nipo dunia nyingine kabisa ilojaa kila aina ya tabu na mateso. Na nilijifunza mengi na ilinifanya niwe makini lakini pia mvumilivu katika ulimwengu wa mapenz na vibweka vyake

Kuna muda nilikuwa napatwa na mawazo ya kijinga nikawaza nimuwinde Dokta nimpige hata na mawe lakini nikawa narelax nakuyapotezea hayo mawazo ya kijinga na kitoto.

Mercy alinichek ilikuwa ni mida ya sa12 jioni akanambia hatoweza kuja atalal hukohuko, ilikuwa ni kwa mesej nikamjibu short "poa" naye akatuma mguno "mh" sikumjihu nikapotezea.

Sikumtafuta tena mpka kesho ikafika, ilikuwa ni j3 niliamka nikajiandaa kwenda chuo, chakushangaza nilipofika chuo nikamkuta Mercy tayar kashafika chuo. Nikamsalimia basi tukaendelea na pindi.

Sasa kuna mshikaji wangu huyo alikuwa anapenda kunipasua sana kuhusu Mercy anasema Mercy nawewe hamuendani na atakuumiza tu. Huyu jamaa alikuwa ni wale wakujichetua alikuwa anaropoka ropoka sana na mautani mengi.

Alipokuwa ananambia vile sikuwa naweka naye ligi nilikuwa namuacha tu aongee mpka aridhike. Sasa baada ya kipindi jamaa akanifata anaitwa James huyu mwamba, jamaa kanifata akanambia leo Mercy kashushwa kwenye gari nikastuka sana nikamuliza gari aina gani, akanijibu ni X-trail. Nikakumbuka siku ile tulivoenda na bro kuongea na Dokta pembeni kulikuwa na Nissan X-trail basi nikajionea huruma nikaishiwa nguvu.

Nikawaza inamaana Mercy kaamua kuonesha kabisa kwamba haina haja tena ya kuficha ujinga wake.
Baada ya kumalizana na James nikaona liwalo na liwe ngoja nimulize Mercy, nikamfata alikuwa back bench anapitia pitia cm yake nilivofika nikakaa pembeni yake, nikamuliza Mercy chuo umefika sangap? Akasema alipata lift ya anko wake alikuwa anaelekea mahali karibu na chuoni kwahyo akampitisha chuo. Nikamuliza hiyo gari ilokuleta unauhakika niya anko wako? Akanijibu ndio ni ya anko. Nikajikuta nalopoka "Ile gari ni ya Dokta na ndiye alikuleta chuo Leo".

Mercy alivosikia vile nahisi akapata loop hole ya kuniingia akajibu ndio ni yeye hafu akapenya kwenye desk pale akapita akasepa. Akasema tena ni Dokta ndio si ndo ulitaka kuambiwa hivo ili uridhike, nikainama kwenye desk huku natoa machozi. Hii ni kweli siwez vunga nilitoa machozi lakini nilikuwa nimeinama kwenye desk na kitambaa najifuta futa. Uzuri palikuwa na watu wachache sana na walikuwa bize na mambo yao sidhani kama waliosikia ule mzozo wangu na Mercy.

Baada ya pale nikakumbuka Mercy fek alikuwa ashanitumia zile pics za chats nikaunganisha na zile Dokta alikuwa anatuma basi nikamtupia Mercy kupitia whatsap. Nikiambatanisha na ujumbe "hivi Mercy nini kimekupata? Inamaana umetekwa na pesa za Dokta kumbuka hizo pesa ni zake na familia yake atakuja kuharibika maisha huyo". MERCY hakujibu chochote, aliniblue tick tu ikabid nimtafute rafiki wa Mercy anaitwa Recho nikamsihi aongee na Mercy kwani anachokifanya sio kizuri ukizingatia tuoo semester ya mwisho ataniharibia masomo.

Recho alikubali akaongea na Mercy lakini Mercy hakumpa majibu ya kuridhisha kifupi hakuonesha wazi kwamba yupo wa Dokta au yupo kwangu majibu sahihi alibak nayo Mercy mwenyewe.
Nikawa namtumia mesej Mercy lakini alikuwa hajibu sm hapokei nilifanya vile kwa siku mbili mfululizo nikaona ni bora nijikaze nitulie nione whats next.

Hali ilizid kuwa mbaya kwani Mercy alizid kuwa chui kwangu, nakumbuka kuna siku tulikuwa kwenye kimbweta na washkaji zangu wakiwemo Mbwambo na James tulikuwa tunapitia pitia researches zetu. Ghafla tukaona gari kwamba mbali kidogo kama mita mia hivi ilikuwa ni gari ya Dokta kwan nilikuwa naijua kwakua gari ilikuwa mbali basi tulioiona tulikuwa ni mimi na Mbwambo tu kwan tulikuwa tumekaa kuelekea uelekeo sawa, na huyu mshikaji alikuja kuwa msaada sana kwangu hapo baadae hakika ni rafiki mzuri kwangu.

Kuangalia vizuri tulimshuhudia Mercy akishusha katika Ile gar akasepa zake venue, nilitaka nimchek Mercy nimwambia kwamba anachofanya sio vzr nilimshirikisha Mbwambo na nikamwambia kila kitu kuhusu hali ilokuwa inaendelea kati yangu na Mercy.

Mbwambo akanambia acha usimtumie mesej act kama hujamuona kwani Mercy tyr akili yake haipo kwako kwahyo hata ukifanya vile utajichoresha tu na atakuona unateseka sana na atajiona mshindi kwahyo wewe mute tu as if hujaona chochote.

Siku ile ilipita na ilikuwa kama siku3 mfululizo bila kuongea wala kukutana na Mercy.
Siku hiyo ilikuwa ni siku ya kutoka kwa matokeo ya semester ya1 ya mwaka wa3, matokeo yalivotoka Mungu mkubwa mimi sikuwa na sup na nilikuwa na GPA ya 4.1 Mercy alikuwa na sup moja ya analytical chemistry na GPA ya 3.9, Basi nikaona kwa sabab sijafeli inatakiwa nikaze japo kwa ugumu hivohivo ili nisipate sup ile semester ya mwisho.

Yale mateso kutoka kwa Mercy yalianza kuniathiri kiakili na kisaikorojia pasipo mwenyewe kustuka maramoja.

See you ........
Yaan mwanamke akikusaliti maana yake anakudharau, its a simple truth, sasa kama anakudharau kwann unahangaika kumtumia message nyingi na kumpigia simu??
 
Ningekuwa mm ni wewe ningemtafutia siku moja mercy nimgonge vizur kwa mara ya mwisho then ndo tuachane, ningemgonga kama malaya, ningemfanyia vitu ambavyo hapo mwanzo sikuwahi kumfanyia, ningempakia mkongo, ningetumia viagra, ningetumia na paracetamol pia, ningekunywa Monster au Red Bull, ningekunywa maji ya kutosha, ningepiga na nyeto ili nichelewe kumwaga, ningepiga mazoezi kwanza kabla ya game ili kuwe na blood circulation kweny essential muscles zinazotumika during sex, ningejiandaa kisaikolojia kwa kufanya meditation, ningehakikisha namkomoa, ningehakikisha nampiga mashine hadi uke wake utoe moshi, amwage maji lita tano, ang'ate shuka hadi lichanike, avute shuka hadi kitanda kivurugike, anifinye na makucha yake hata anitoe damu, miguu kutetemeka, akili kusisimka, maji kumwagika hadi kupiga makelele ya utamu simwachi, bila mafuta, bila condom, usiku kucha mchana kutwa, kutoka sakafu ya jikoni hadi chooni, kutoka chumbani hadi meza kulia, kutoka kweny kochi hadi kweny kibaraza, style zote kifo cha mende, popo Kanye mbingu, airtel wezi wa bando, chochea moto huku akipata pumzi kwa shida sana, ntaendelea nae hadi ukutani, nje, kwenye gari moshi, kwenye ndege, juu ya pikipiki, kwenye staha ya upakiaji wa lori, kwenye trampoline, katika ngome ya bouncy iliyoinama, kweny bwawa, kwenye ghorofa ya chini, na dirishani....kutetemeka kwa mwili, miguu ikitetemeka, ngumi akinipiga, mdomo unaoteleza, pua iliyobanwa, kupiga chafya hawez, macho ya kutokwa na machozi, Kiuno kikitetemeka, kupasuka kwa kifundo cha mguu, kulegea kidevu, kung'oa nywele, meno kusagika, kuiba roho, kusisimua kupita kiasi, karaha, uzembe, kuvunja moyo, kupasuka kwa mgongo, kuchukiza, kububujika, creamy, kama wanyama, midomo kuuma, kukaidi nguvu ya uvutano, kutafuna kucha, kutokwa na jasho, kurusha miguu, kustaajabisha, kutetemeka kwa mashavu, kilele, kuvunja mifupa, mwisho wa dunia, kuunda shimo jeusi(black hole), linaloharibu ulimwengu, ladha ya siri, ya kushangaza, tukufu, ladha, ya ajabu, ya mwili, angepigwa na butwaa, hatoweza kutembea, wala kutikisa kichwa, roho kuchukiza, volcano inatoka, jasho linatiririka, sauti inakatika, kutetemeka, shuka zimelowa, nywele zimenyofolewa kwa kuvutana, kuchubuka ngozi, kope kunyofolewa, Macho yatastaajabu, pussy kuharibiwa.
[emoji848]
 
Karibuni katika kisa hiki kilichoacha alama isiyofutika katika moyo na MAISHA yangu.

Nitaanzia mwaka 2019 nilipojiunga na chuo x hapa nchini. Tukiwa first year nilipata mchuchu mmoja wa kuitwa Mercy mtoto wa Kilimanjaro. Mercy alikua mtoto wa kishua, alikua mwembamba mrefu sura nyembamba ndefu na meno ya kuungua ungua.

Mercy hakua bint wa mambo mengi sana hasa tulipokuwa first year. Tulianza mahusiano yetu nakumbuka ilikuwa mwezi wa kwanza mwaka 2020. Tulikuwa tunasoma koz Moja mimi na mpenz wangu kwahyo most of the time tulikuwa pamoja, disc na hata katika private studies tulikuwa hatuachani kiukweli tulipenda sana.

Sasa kutokana na jinsi nilivokuwa nimemsoma Mercy niligundua sio mtu wa kumuomba show haraka haraka ningezingua pengine ningempoteza kabisa. Mercy alikua mtu wa kusali, mpole lakini mcheshi anaongea alipohitajika kuongea hakuwa mtu wa kuongea ongea hovyo (hii ndo type ya madem naowapenda). Masomo yaliendelea na of course sisi sote darasani tulikuwa poa sana maana hata sup sikuwahi kupata na yeye alipata moja semester ya 3 tu na chanzo ni mvurugano katika mapenzi uliotokea mbele ya safari nitawajuza nini kilitokea.

Siku zilipita miezi ikasogea tukafunga ile likizo fupi ya 3 yeye alienda kwao mimi nilibak mkoan hapo hapo. Kumbuka sikuwa nimeanza kumchombeza kuhusu tendo ila tulikuwa tunafanya soft touches na romance to lakini show no.

Tulipofungua, siku Mercy alipokuwa anarud chuoni nilienda kumpokea stand tulifurah sana kuonana, alikua anapendelea kuvaa suruali na tishirt na raba alikua kapendeza sana kwahyo tulipanda daladala tukapitia town tukapata chakula cha jioni nikamchukulia na yoghurt tukarud chuoni.

Baadaa ya wiki mbili kupita nikaanza kumchombeza kuhusu show mwanzo alikua ananikatalia kabisa anasema mpka ndoa lakini nilikaza sana na mwisho wa siku akanikubalia.

Siku tulopanga twende kugegedana......

Tulipanga ijumaa jioni ya wiki ile twende out town tulale hukohuko. Mimi ijumaa asubuh kwasabb tulikuwa hatuna vipindi asubuh nakumbuka siku ya ijumaa tulikuwa na kipindi kimoja tu mchana. Nilijidamka nikaenda town kubook chumba mapema katika moja ya lodges zilizopo hapo town. Ilikuwa ni lodge ya hadhi japo sio hadhi kubwa ya kivile lakini nilihakikisha natafuta sehem ambayo ingemfamya Mercy ajione no wa thamani. Nakumbuka nililipia tsh 45k ya siku nzima na kulala kabisa.

Nilimaliza mishe mida ya saa5 asubuhi nikachukua key ya chumba nikarud chuo ili kuwah kipindi. Mercy aliuliza mrejesho nikakwambia kila kitu kipo poa akajibu poa na kusema kwamba kazi ipo Leo. Nilisahau kuandika mwanzo, Mercy aliniambia kwamba hakuwa kufanya mapenz kwahyo mimi ndo ntakuwa first kwake, asee nikajisemea nitafanya kila kitu ili nimfungue na niwe mwanaume wake wa kwanza.

Tukutane next episode.......

Muendelezo soma Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy
Kunafunzo hapa, good story
 
Daah!, Huu uzi unanikumbusha mbali sana kipindi niko chuo.

Nilishikaga cm ya dem na nikamtafuta jamaa alokuwa ananigongea... Jamaa aliwasha gari kutoka mkoa X usiku huo huo mpk nilipo for more than 8 hours kwa basi na akaja mkoani kwangu

Baada ya jamaa kuja na dem akaniacha geto (kumbuka tulikuwa tunakaa chumba kimoja) na kwenda kulala na jamaa lodge.

Mapenz ya chuo ni u-fu***
HAKUNA MAPENZI CHUO.

Nikipata nafasi nitakuja kuwasimulia yangu.

#Kataa ndoa
 
Daah!, Huu uzi unanikumbusha mbali sana kipindi niko chuo.

Nilishikaga cm ya dem na nikamtafuta jamaa alokuwa ananigongea... Jamaa aliwasha gari kutoka mkoa X usiku huo huo mpk nilipo for more than 8 hours kwa basi na akaja mkoani kwangu

Baada ya jamaa kuja na dem akaniacha geto (kumbuka tulikuwa tunakaa chumba kimoja) na kwenda kulala na jamaa lodge.

Mapenz ya chuo ni u-fu***
HAKUNA MAPENZI CHUO.

Nikipata nafasi nitakuja kuwasimulia yangu.

#Kataa ndoa

Mapenzi bila pesa ni uongo! Ingawa unaruhusiwa kujifariji kwa maneno au imani mbadala....
 
Daah!, Huu uzi unanikumbusha mbali sana kipindi niko chuo.

Nilishikaga cm ya dem na nikamtafuta jamaa alokuwa ananigongea... Jamaa aliwasha gari kutoka mkoa X usiku huo huo mpk nilipo for more than 8 hours kwa basi na akaja mkoani kwangu

Baada ya jamaa kuja na dem akaniacha geto (kumbuka tulikuwa tunakaa chumba kimoja) na kwenda kulala na jamaa lodge.

Mapenz ya chuo ni u-fu***
HAKUNA MAPENZI CHUO.

Nikipata nafasi nitakuja kuwasimulia yangu.

#Kataa ndoa
Wewe acha zako ebu shusha huo uzi .tunataka hiyo stori bana
 
Daah!, Huu uzi unanikumbusha mbali sana kipindi niko chuo.

Nilishikaga cm ya dem na nikamtafuta jamaa alokuwa ananigongea... Jamaa aliwasha gari kutoka mkoa X usiku huo huo mpk nilipo for more than 8 hours kwa basi na akaja mkoani kwangu

Baada ya jamaa kuja na dem akaniacha geto (kumbuka tulikuwa tunakaa chumba kimoja) na kwenda kulala na jamaa lodge.

Mapenz ya chuo ni u-fu***
HAKUNA MAPENZI CHUO.

Nikipata nafasi nitakuja kuwasimulia yangu.

#Kataa ndoa
[emoji23][emoji23][emoji23] inaelekea wewe ndio ulikua unamgongea jamaa
 
Back
Top Bottom