Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna bint side chick kanitoa jasho na kumla sijamla kaishia kuolewa na msela mwezi wa pili,sijawahi kujieleza kama nilivyo kwa huyu Manzi na kibuti nimepigwa,in real sence mwanmke ni ujeda ujeda tuu,kwanza simu yake usishike hovyo,wala vitu vidogo tupa huko.Au la jiandae kama huyu underdog.Bitter truth hata mimi sipendi mwanaume dhaifu
Juzi kuna mtu aliandika mada fulani kuhusu mwanamke humuhumh nimemsahau akasema wnaawake tuko vice versa the guy kasema ukweli mtupu kiasi kadhaa kikubwa cha asilimia
Wasukuma ni wajeda mkuuSio msukuma mimi
St Augustine UniversityShule niliyosoma O-level tulikuwa tunafuga ng'ombe. Siku za week kulikuwa na mchungaji wa shule; weekends tuliwekeana zamu ya kuchunga kwa madarasa.
Shule yetu ilikuwa katikati ya Chuo Kikuu kimoja maarufu hapa nchini. Siku moja tukiwa tunaenda kuchunga tukakutana na wanachuo - msichana na mvulana.
Ajabu wote wakapiga kelele na kukimbia ng'ombe. Eti wanawaogopa. Ng'ombe ambao hata hawana shida yoyote!
This can tell of what we (men) have become. Sad!
Iko wapiHELLO NDUGU ZANGU NATUMAINI MPO WAZIMA.
HUU UZI WA MERCY NAFIKIRI KUNA HAJA YA KULETA MUENDELEZO KIDOGO ILI NIPATE MAONI NA USHAURI KUTOKA KWENU MAANA NAHISI KUWA DILEMMA.
USIKU WA SAAMBILI NA NUSU LEO NITALETA EPISODE.
🥲🥲 Nilisahau jana kushusha kitu leo ntashushaIko wapi
Leo saa ngapi leta full details🥲🥲 Nilisahau jana kushusha kitu leo ntashusha
Kwahiyo unamshauri aoe Singo Maza?... Tena mwenye bao lake ameshamdhihaki kiadi kile?Kwa ushauri wangu;
Muoe tu huyo bi dada, inaonekana kweli bado anakupenda, kama alifanya jaribio la kutoa hadi ujauzito ina maana kwamba bado anakupenda, kwanza huyo ni mkeo maana ulimuanza kwa kumtoa bikra, doctor aliwaingilia tu kwa jeuri ya pesa. Huyo bi dada kama angelikua hana nia na wew alishakutenda vile asingeliktafta kamwe. Kwanza ni mwanamke anayejielewa na mpole tofaut na wanawake weng wa sasa, tamaa na makosa huwa vipo tu, samehe, oa kwa mashart kuwa mtoto akikua akamkabidh kwa baba ake (doctor), muendelee na maisha yenu.
Kama bado anajitafuta, simshauri kwa hizo 2000s, akubar yaishe kwa mercy, ila kama kajipata basi afanye maamzi anayoona sahh kwakeKwahiyo unamshauri aoe Singo Maza?... Tena mwenye bao lake ameshamdhihaki kiadi kile?
Na hizi 2000's huku mtaan anamwachia nan?
Lete mwendelezo upate ushauri.HELLO NDUGU ZANGU NATUMAINI MPO WAZIMA.
HUU UZI WA MERCY NAFIKIRI KUNA HAJA YA KULETA MUENDELEZO KIDOGO ILI NIPATE MAONI NA USHAURI KUTOKA KWENU MAANA NAHISI KUWA DILEMMA.
USIKU WA SAAMBILI NA NUSU LEO NITALETA EPISODE.
Sasa Mzazi wa mtu ampeleke wapi?Kama bado anajitafuta, simshauri kwa hizo 2000s, akubar yaishe kwa mercy, ila kama kajipata basi afanye maamzi anayoona sahh kwake
ThebrokerDAKTARI ALIFANYA NIKAMPOTEZA MCHUMBA WANGU MERCY
A necessary continuity
Kama jinsi tulivoishia, nilipona yale matatizo niliyotapata kutokana na sekeseke la Mercy na Dokta. Lakini pia Mercy aliendelea kulea mtoto wake huko kwao kaskazini.
Mimi nilipata issue nikaja Tanga na kama tunavojua Tanga ni karibu na mikoa ya Kilimanjaro na Arusha.
Mawasiliano yaliendelea na Mercy alionyesha kunijali na kufanya kila njia ili niweze kusahau na kumsamehe kabisa kwa yale alonifanyia. Alikuwa mtu wa kujilaumu na kujistukia sana kifupi alikuwa na guilty na alikuwa ana regret sana.
Mercy aliendelea kuniplease kwa kunifanyia vitu mbali mbali lakini pia alijikeep sana close to me kupitia mawasiliano ya cm.
Mwezi wa 7 mwaka jana(2023) nilikuwa tyr nipo huku Tanga na alipofaham kwamba nipo Tanga alifurahi sana akawa anajisemesha "alipangalo Mungu binadam ni ngumu kulipangua" nilimuliza alikuwa anamaanisha nini lakini alinizuga zuga hakumambia alikuwa anamaanisha nini.
Mimi ni mtu mzima na nauwezo wa kung'amua mambo nikawa nishamuelewa japo nilipatwa na hofu kidogo maana mapenz hayana adabu na nilifikiria na kushauri nilopata kutoka kwa wadau hapa jamvini nazidi kujiona kwamba nina kibarua cha kukaa chini na kufanya maamuzi sahihi zaidi juu ya hii ishu.
MERCY alianza kuforce yeye kuja huku Tanga anione akidai kanimiss sana. Mimi kumkwepa nikawa namwambia atulie kwanza mtoto angalau achangamke maana kilikuwa bado kichanga.
Akawa ananilalamikia sana akidai sina tena mapenzi naye kwasababu amezaa na mtu mwingine, akawa anasema namchukia sana kwasabb amenifanyia unyama sana. Haya yote nikawa naona ni kama alikuwa anajutia kwa alinifanyia na nilimuona ni kama alikuwa na depression kiasi flan maana malalamiko yalikuwa hayakati, alituma text nikachelewa kujibu basi ntaandikiwa essay ya malalamiko mpka nikome.
Bro wangu ambaye pia alinisimamia mwanzo mwisho wakati naumwa mpka nikapona alikuwa ashanionya kuhusu Mercy akanambia kamwe nisiruhusu moyo wangu umrudishe tena Mercy katika maisha yangu. Hii ni kwasababu alitoboka sana mfuko na kiukweli kama angepiga mahesabu ya pesa ilotumika kunitibia basi ingepatikana pesa ya kutosha tu na ukizingatia chanzo ni mapenz basi watu huwa wanachukulia kama ni upuuzi na kuwachukulia victims kama ni wapumbavu na ma bongolala sana.
Nilikazia hapo hapo kwamba Mercy asije Tanga hiyo ilikuwa mwez wa 7 mwaka jana.....
See you ndugu zangu.......
unataka kusemaje mkuu 😂😂Kijana unasafari ndefu sana huyo single mama wako
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mbona fupi Sana mkuu😢DAKTARI ALIFANYA NIKAMPOTEZA MCHUMBA WANGU MERCY
A necessary continuity
Kama jinsi tulivoishia, nilipona yale matatizo niliyotapata kutokana na sekeseke la Mercy na Dokta. Lakini pia Mercy aliendelea kulea mtoto wake huko kwao kaskazini.
Mimi nilipata issue nikaja Tanga na kama tunavojua Tanga ni karibu na mikoa ya Kilimanjaro na Arusha.
Mawasiliano yaliendelea na Mercy alionyesha kunijali na kufanya kila njia ili niweze kusahau na kumsamehe kabisa kwa yale alonifanyia. Alikuwa mtu wa kujilaumu na kujistukia sana kifupi alikuwa na guilty na alikuwa ana regret sana.
Mercy aliendelea kuniplease kwa kunifanyia vitu mbali mbali lakini pia alijikeep sana close to me kupitia mawasiliano ya cm.
Mwezi wa 7 mwaka jana(2023) nilikuwa tyr nipo huku Tanga na alipofaham kwamba nipo Tanga alifurahi sana akawa anajisemesha "alipangalo Mungu binadam ni ngumu kulipangua" nilimuliza alikuwa anamaanisha nini lakini alinizuga zuga hakumambia alikuwa anamaanisha nini.
Mimi ni mtu mzima na nauwezo wa kung'amua mambo nikawa nishamuelewa japo nilipatwa na hofu kidogo maana mapenz hayana adabu na nilifikiria na kushauri nilopata kutoka kwa wadau hapa jamvini nazidi kujiona kwamba nina kibarua cha kukaa chini na kufanya maamuzi sahihi zaidi juu ya hii ishu.
MERCY alianza kuforce yeye kuja huku Tanga anione akidai kanimiss sana. Mimi kumkwepa nikawa namwambia atulie kwanza mtoto angalau achangamke maana kilikuwa bado kichanga.
Akawa ananilalamikia sana akidai sina tena mapenzi naye kwasababu amezaa na mtu mwingine, akawa anasema namchukia sana kwasabb amenifanyia unyama sana. Haya yote nikawa naona ni kama alikuwa anajutia kwa alinifanyia na nilimuona ni kama alikuwa na depression kiasi flan maana malalamiko yalikuwa hayakati, alituma text nikachelewa kujibu basi ntaandikiwa essay ya malalamiko mpka nikome.
Bro wangu ambaye pia alinisimamia mwanzo mwisho wakati naumwa mpka nikapona alikuwa ashanionya kuhusu Mercy akanambia kamwe nisiruhusu moyo wangu umrudishe tena Mercy katika maisha yangu. Hii ni kwasababu alitoboka sana mfuko na kiukweli kama angepiga mahesabu ya pesa ilotumika kunitibia basi ingepatikana pesa ya kutosha tu na ukizingatia chanzo ni mapenz basi watu huwa wanachukulia kama ni upuuzi na kuwachukulia victims kama ni wapumbavu na ma bongolala sana.
Nilikazia hapo hapo kwamba Mercy asije Tanga hiyo ilikuwa mwez wa 7 mwaka jana.....
See you ndugu zangu.......
Muendelezo unakujaMbona fupi Sana mkuu😢