DOKEZO Daktari aliyefumua nyuzi za mgonjwa kisa hakuwa na hela ya kulipa kaletwa Hale, adhabu ya uhalifu ni kuhamishiwa kituo kipya?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mkuu tafuta Picha yake tupost kulaani tukio hili.
Rais ana kura ya VETO kwa mtumishi katiri kama huyu anapaswa kutoa amri afukuzwe kazi kwa Maslahi ya Umma na kuepusha Taharuki.
Endapo hajaondolewa pazeni sauti, huyo anapaswa awe Vingunguti kuchuna Ng'ombe sio Daktari wa binadamu.
 
Huyo dokta naye hamzano unashindwaje ku handle issue kama hiyo. Anafanana na JPM aliyechoma vifaranga
 
Duniani Kuna serikali zina roho mbaya aisee
Maana huwezi kumlaumu mganga bali top huko
 
Upumbavu wa Hali ya Juu sana huu na inakera sana
 
Madaktari wa Tamisemi [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…