Daktari anasoma miaka 5-7 na mhandisi anasoma miaka kati ya 3-4 lakini ona tofauti ya mishahara kati yao hapa chini

Daktari anasoma miaka 5-7 na mhandisi anasoma miaka kati ya 3-4 lakini ona tofauti ya mishahara kati yao hapa chini

Utakuwa ulishindwa kwenda PCB ama ulikwenda ukashindwa kwenda medical school. Wewe tu na inferiority complex yako unawaona hivyo!
Hauna lolote nyie madaktari mliingia huko mkiwa na ideology kwamba ndio kazi inayolipa zaidi. Sasa mkishaona kuna kazi ambazo watu wanasoma miaka 3 tu mnapaniki sana, na kuanza kuhoji kama mtoa mada

Mim kuna jamaa yangu kaajiriwa Tutorial assistant kwenye moja ya vyuo vya serikali na kagundua kuwa anakula pesa ndefu kuliko daktari aliyeajiriwa na serikali kuu na huku mshikaji kasoma ualimi.

Sasa najua siyo mda mtakuja kuanza kuhoji kwa nini Tutorial assistant alipwe zaidi yenu.
 
Huu ndio uungwana,wahandisi wana fursa nyingi za lobbying ya pesa lakini kwenye projects posho za supervision tu zinaweza zidi salary mara dufu zaidi hapo bado ten percent kutoka kwa wakandarasi
Well said.. huku kwenye uinjinia dili ni nyingi sana yaani tunakula pesa nje ya mishahara kizembe sana then kama kawaida yetu ni kusimamia tu
 
Mimi naomba serikali iwape kipaumbele Specialists Doctors wapate Benefits nyingi. MD mwenye 1st degree sioni kazi zao. Zinafanana tu na Clinical Officers. They are Gate keeper kwa ajili ya ku- process Rufaa.
Hasa huko Ma-wilayani hawana kazi wanashindia vikao+ seminars.
2. Unakuta MD mzima anakimbilia kufanya MPH sasa na mtu wa Public Health afanye nini?
3. Hao Ma Clinical officers+ MD kazi zao nyingi to the near future zitakuwa Replaceable na IT technologies mfano (Artifical Intelligence) ambazo zinauwezo wa ku analyze initials mgonjwa anaumwa nini.
Nawashauri ma MD wa Tanzania Wakafanye Specialization!!!
Ulaya MD wa kawaida anatibu ngazi ya Community!!
Tanzania tuna uhaba mkubwa wa Specialists Doctors
 
Hii nchi tushalogwa woteee.....

sasa huku si kuchawiana huku..

ubaguzi wa aina hii haumuachi mtu salama.
 
Una wazimu nini? Ulishindwa PCB sasa unaleta mambo ya TA hapa! TA ndio nini! Nilikuwa TA mwaka 1998. Nafanya kazi World Bank sasa...
Hauna lolote nyie madaktari mliingia huko mkiwa na ideology kwamba ndio kazi inayolipa zaidi. Sasa mkishaona kuna kazi ambazo watu wanasoma miaka 3 tu mnapaniki sana, na kuanza kuhoji kama mtoa mada

Mim kuna jamaa yangu kaajiriwa Tutorial assistant kwenye moja ya vyuo vya serikali na kagundua kuwa anakula pesa ndefu kuliko daktari aliyeajiriwa na serikali kuu na huku mshikaji kasoma ualimi.

Sasa najua siyo mda mtakuja kuanza kuhoji kwa nini Tutorial assistant alipwe zaidi yenu.
 
Una wazimu nini? Ulishindwa PCB sasa unaleta mambo ya TA hapa! TA ndio nini! Nilikuwa TA mwaka 1998. Nafanya kazi World Bank sasa...
Wew ndio unawazimu, kwa kudhani kuwa PCB ndiyo kila kitu, huku watu wakilopwa 5m monthly na hata rangi ya PCB hawaijui na hawajakaa shule 5+ years kama wew
 
Kudai Rushwa ni natural ya mtu ata ukumlipa milion 10 hawezi kuridhika.
Ila madaktari kwa Rushwa nisawa na Msukuma na bangi.
 
Hata kazi bado haujapata. Utakuwa mtaani wewe... Utaozea hapo. Mil 5 nayo unaona hela.
Wew ndio unawazimu, kwa kudhani kuwa PCB ndiyo kila kitu, huku watu wakilopwa 5m monthly na hata rangi ya PCB hawaijui na hawajakaa shule 5+ years kama wew
 
Hata kazi bado haujapata. Utakuwa mtaani wewe... Utaozea hapo. Mil 5 nayo unaona hela.
Sasa mbona unaowatetea hawapati hata nusu ya hiyo
Na umesikia hapa hapa kwamba kuna madaktari wengine wako hapa hapa bongo na wanakula 4m + na kuna civil wanakula 5m+
 
Nimekwambia namtetea mtu hapa? Mimi nimesoma tu comments zako nikaona zimejaa wivu wa kike dhidi ya madaktari. Unaonekana ni wale wa sizitaki mbichi hizi baada ya kujaribu na kushindwa. Hakuna mtu namtetea hapa na wala mimi sifanyi hiyo kazi unayokandia. Mimi ni independent thinker... Siko katika ligi za kitoto. Hata mleta mada hakusema kuwa yeye ni daktari. Ila nyie wenye wivu wa kike mmefanya aonekane ni daktari.
Sasa mbona unaowatetea hawapati hata nusu ya hiyo
Na umesikia hapa hapa kwamba kuna madaktari wengine wako hapa hapa bongo na wanakula 4m + na kuna civil wanakula 5m+
 
Nimekwambia namtetea mtu hapa? Mimi nimesoma tu comments zako nikaona zimejaa wivu wa kike dhidi ya madaktari. Unaonekana ni wale wa sizitaki mbichi hizi baada ya kujaribu na kushindwa. Hakuna mtu namtetea hapa na wala mimi sifanyi hiyo kazi unayokandia. Mimi ni independent thinker... Siko katika ligi za kitoto. Hata mleta mada hakusema kuwa yeye ni daktari. Ila nyie wenye wivu wa kike mmefanya aonekane ni daktari.
Hicho kipengele cha wivu ndio ninacho kikataa na tumefika huku kwa sababu doctors walianza kudai kuwa wao ndio watu wa muhimu sana kuliko wote. Na mtoa mada akawa na mawazo ya kwamba wakimlipa kama au zaidi ya engineer atakuwa tajir.


Ila maoni yangu kwa mtoa mada nimryaeleza vizuri kabisa kwenye post yangu ya kwanza kwamba hawezi kufananisha ulipaji wa mishahara kati ya serikali kuu na mashirika ya umma kama tfda na mengine
 
Mtoa mada hakutamka kuwa ni daktari. Wenye mawazo finyu ndio mmemfanya aonekane daktari na kuifanya mada iwe ya madaktari vs mainjinia. Kama unaringishia mil 5 kwa mwezi hapa kuna muuza nyanya amesema anapa mil 8 kwa mwezi.
Hicho kipengele cha wivu ndio ninacho kikataa na tumefika huku kwa sababu doctors walianza kudai kuwa wao ndio watu wa muhimu sana kuliko wote. Na mtoa mada akawa na mawazo ya kwamba wakimlipa kama au zaidi ya engineer atakuwa tajir.


Ila maoni yangu kwa mtoa mada nimryaeleza vizuri kabisa kwenye post yangu ya kwanza kwamba hawezi kufananisha ulipaji wa mishahara kati ya serikali kuu na mashirika ya umma kama tfda na mengine
 
Back
Top Bottom