Step by step
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 1,164
- 1,293
jambo bandugu?
Nina shida mama watoto hapati ujauzito huu ni kama mwezi wa tatu sasa najaribu bila mafanikio. Naomba mwenye connection na dr yeyote mtaalam either anipe namba yake pm nifanye apointment nae au hata akiiweka hapa si mbaya kwa faida ya wengine wenye tatizo hilo pia.
NB naomba tu awe ni daktari wa kusomea sio sangoma plz pia awe wa dar es salaam au pwani.
Natanguliza shukrani zangu za dhati
Nina shida mama watoto hapati ujauzito huu ni kama mwezi wa tatu sasa najaribu bila mafanikio. Naomba mwenye connection na dr yeyote mtaalam either anipe namba yake pm nifanye apointment nae au hata akiiweka hapa si mbaya kwa faida ya wengine wenye tatizo hilo pia.
NB naomba tu awe ni daktari wa kusomea sio sangoma plz pia awe wa dar es salaam au pwani.
Natanguliza shukrani zangu za dhati