TANZIA Daktari Bingwa wa Mifupa MOI na Mwenyekiti wa Kamati ya Tiba TFF, Dkt. Paul Gasper Marealle afariki dunia

TANZIA Daktari Bingwa wa Mifupa MOI na Mwenyekiti wa Kamati ya Tiba TFF, Dkt. Paul Gasper Marealle afariki dunia

Duh!! Pole kwa familia
Nimeangalia huu mkono nikakumbuka siku ya kwanza kwenda moi pale sikupanda pikipiki kwa miezi Mana picha za wagonjwa wa pale zilinifanya nikaogopa Sanaa[emoji3064][emoji3064] nolikuaa niliona pikipiki naona Kama ni jeneza
Dah kweli Mkuu, maana mkono wa jamaa umekuwa kama zipu kwenye begi la Canvas
 
Niseme ukweli wengi tunapenda kujua chanzo cha kifo pale kinapotangazwa. Ndo tumezoea hivyo, huwezi kuniambia fulani kafa bila kunipa sababu ya kifo chake nikachukulia poa.

Malizieni na sababu madukuduku yaishe.
 
Do you want to explore the underlying cause before establishing the cause..
There many types of causes of death.I am not interested with the immediate cause of his death.I just want to know the underlying cause of his death.
 
Tanzia, Mkurugenzi Mtendaji wa MOI Dkt Respicious Boniface anasikitika kutangaza kifo cha Mtumishi wa MOI Dkt Paul Gasper Marealle (Daktari bingwa wa Mifupa) kilichotokea usiku wa kumakia tarehe 14/10/2020 katika Taasisi ya MOI. Apumzike kwa Amani

Kwa masikitiko makubwa napenda kuwajulisha umma wa watanzania na wadau wa masuala ya afya kuwa Daktari Bingwa wa Tiba ya Mifupa pale MOI, Dkt. Paul Gasper Marealle amefariki dunia usiku wa jana kuamkia leo.

Dkt. Marealle pia alikuwa Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka nchini, Mwenyekiti wa Kamati ya Tiba TFF na Mjumbe wa Kamati ya Tiba.

Binafsi nimemfahamu Dkt. Marealle pale MOI kama Daktari wangu baada ya kufanyiwa upasuaji wa mkono ili kuunganisha mifupa ambayo ilikuwa imevunjika vunjika baada ya kupata ajali mbaya. Aliendelea kunihudumia mpaka pale niliporidhika na maendeleo yangu na kuacha kwenda MOI. Pia alinishauri kutokutoa vipande vya vyuma vilivyokuwa vimeshikilia mifupa ili iunge.


Kwaheri Dkt. Marealle
Tumepoteza mtaalam ma magonjwa ya mauhimu sana maana ajali ni nyingi, na wewe hongera kwa kupona mkono
 
Pumzika kwa amani mwana mwema wa mama Tanganyika. Umekitumikia kizazi hiki kwa waledi. Umemaliza kazi yako. Mungu aifariji familia yake
 
Huo Ni mkono au madoido kwenye mkoba wa bidada Fulani wa MUST?
 
Pumziko La Amani Apate Mwendazake.

Ila kama hampo tayari kuandika chanzo cha kifo basi walau muandike amefariki kwa sababu za kawaida(natural causes).
 
Siyo kweli maDC, Madiwani na Wabunge hawana umuhimu na wengine kibao sina muda wa kupoteza kuwataja. Ukitaka kunielewa zaidi fuatilia muundo wa serikali wa Uswisi.
Ha ha ha huwezi kunielewa. Labda ondoa neno taifa kwenye post yangu weka neno dunia utapata mwanga.
 
Back
Top Bottom