Hvyo vdonda sugu unamaansha vya tumbo au vp?Mguu unauma au umevunjka?. kuna docta wa mitishamba ya mifupa na vidonda sugu, mm kanitibu ,anatumia tiba ya asili, nilivunjika mguu, kanitibu ndani ya miezi miwili tu.bila oparation wala kumeza dawa.Yupo morogoro,wilaya ya Mvumero kijiji cha Majichumvi