Tumpara Dudu JF-Expert Member Joined Nov 15, 2016 Posts 625 Reaction score 506 Sep 3, 2018 Thread starter #21 cariha said: 3000 kumuona dr bado vipimo, ningekushauri ukate tu bima ya NHIF ni million na nusu itakupunguzia gharama, hasa za clinic kujifungua Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Hapo hizo tarakimu unamaanisha kumuona ni elfu tatu au thelathini? Na hyo bima ya Afya milion na laki tano kwa mwaka au? Kama ni kwa mwaka vip kwa mwezi inakuwa shingap? Sent using Jamii Forums mobile app
cariha said: 3000 kumuona dr bado vipimo, ningekushauri ukate tu bima ya NHIF ni million na nusu itakupunguzia gharama, hasa za clinic kujifungua Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Hapo hizo tarakimu unamaanisha kumuona ni elfu tatu au thelathini? Na hyo bima ya Afya milion na laki tano kwa mwaka au? Kama ni kwa mwaka vip kwa mwezi inakuwa shingap? Sent using Jamii Forums mobile app
cariha JF-Expert Member Joined Apr 9, 2015 Posts 22,077 Reaction score 46,549 Sep 3, 2018 #22 Tumpara Dudu said: Hapo hizo tarakimu unamaanisha kumuona ni elfu tatu au thelathini? Na hyo bima ya Afya milion na laki tano kwa mwaka au? Kama ni kwa mwaka vip kwa mwezi inakuwa shingap? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Kumuona Dr ni elfu thelathini, hyo million moja na nusu ni mwaka mzima unaitumia Sent using Jamii Forums mobile app
Tumpara Dudu said: Hapo hizo tarakimu unamaanisha kumuona ni elfu tatu au thelathini? Na hyo bima ya Afya milion na laki tano kwa mwaka au? Kama ni kwa mwaka vip kwa mwezi inakuwa shingap? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Kumuona Dr ni elfu thelathini, hyo million moja na nusu ni mwaka mzima unaitumia Sent using Jamii Forums mobile app