Daktari: Figo moja ya Bobi Wine imeacha kufanya kazi

Museveni atalipia unyama huu haraka sana .

Mungu ibariki Uganda
Waisraeli na wapalestina
Red Indians na wadhungu
Australia na wadhungu
Hizi issues sitaki sikia kabisa!
Acha nibaki na organs zangu na miguu yangu ninywe kahawa yangu kimya!
TII MAMLAKA ILIYOKO MADARAKANI!
That’s all walahi!
 
hivi mtu kama m7 akiachia madaraka akajilia pensheni anapungua wapi? tena unaweka mtu wako tu
 
M7 omba mungu BW asife maana waganda watakuwa wamepata oakuanzia kukutoa madarakani na utakuwa huma nguvu wote wataungana utabaki na kundi dogo utakimbia tu
 
hii mizee inayodhani ina leseni ya uhai wa wenzao hii...!!! ipo siku
Majua si jambo la KUFURAHISHA HATA KDG AKIFA BW M7 KAZI ANAYO KWA WAGANDA WATAKUWA WANA PAKUANZIA.
 
Kuna umuhimu wa kila.mtu humu kuingia kwa jina lake halisi ili liwe jukwaa zuri na la heshima zaidi kuliko mihemko

Najua hata wewe huitwi Manyovumpya but I can guess you're from Manyovu. K wa pendekezo lako hili la kuingia kwa jina halsi basi tunataka wewe uwe mfano kwa kutumia jina lako halisi...ni uamzi tu!!
 
M7 ug ni kama Mali yake na Familia yake

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app

Mwisho wa Babu M-7 utakuwa sawa na Babu mwenzie Mugabe...!!Huwezi kuwatawala watu milele. Lazima tu iko siku utaondolewa tu hata ungelifanya nini...!!Wako wapi kina Iddi Amin, Saadam, Qadaffy na madikteta wengine waliotisha sana enzi za uhai wao?They're are no more,dead and judged by God...!!!
 
Sijui kwanini hawasomagi nyakati
Mimi hakuna kiongozi nliyemkubali kama jerry rawlings wa Ghana licha ya kuchukua nchi kimapinduzi lkn alikuja achia madaraka

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
M7 omba mungu BW asife maana waganda watakuwa wamepata oakuanzia kukutoa madarakani na utakuwa huma nguvu wote wataungana utabaki na kundi dogo utakimbia tu

Idd Amin killed thousands of Ugandans, Obote was restored and killed hundreds Ugandans!!. M-7 is doing the same, killing more and more because they're challenging him..!!!Nonsense. Let Ugandans unite together and stop Grandpa M-7 once and for all...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…