Kwa nin sasa hivi haya matatizo ya uzazi yameshamiri Sana, Mara mirija Mara uvimbe kwenye kizazi kaaa
Wadada mkiona mnaumwa Sana tumbo wakati wa hedhi jua unaumwa nenda katibiwe haraka ,,ukikaa Tu ndio viumbe vinaanzaa,au matatizo kwenye mirija
nifah Heaven on Earth geniveros.
Hornet