Daktari kesi ya Afande Rama asema baada ya vipimo amebaini kuna uwazi sehemu za siri za nyuma za mshtakiwa

Daktari kesi ya Afande Rama asema baada ya vipimo amebaini kuna uwazi sehemu za siri za nyuma za mshtakiwa

Wabongo wamezoea hukumu style ya Makonda, jamaa alikuwa akitoa list za mashoga na wauza unga unaitwa ofisini unapewa hukumu na kama una hela unamkatia unaambiwa usirudie tena, bongo tuna wanasheria wazuri sana tatizo mfumo umeingiliwa na siasa na viongozi wapuuzi
Kabisa Mkuu
 
Wasingeweza kumkuta na hatia Mkuu, hili kwa mtu anayejua sheria lilikuwa wazi kabisa nafas ya yeye kushinda ilikuwa kubwa sana. Ila wabongo ukiwaambia wanaona kama mtu unatetea upinde kumbe ni sheria tu zinaongea Mahakamani sio hisia
Kwa hiyo uwazi uliokutwa ni wa kawaida?
 
Shahidi namba moja Dkt. Fahad Nassor Mohammed katika kesi namba 59 ya Mwaka 2023, inayomkabili Mshtakiwa Ramadhan Hassan Ali ambaye anashtakiwa kutenda makosa mawili ikiwemo kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile na kosa la pili la maudhui ya king’ono ametoa ushahidi wake mbele ya Mahakama ya Mkoa Vuga, Mjini Unguja.

Akitoa ushahidi wake mbele ya Hakimu wa Mahakama ya Mkoa Vuga, Khamis Ali Simai amesema baada ya kumfanyia mtuhumiwa uchunguzi alibaini kuwepo kwa uwazi katika sehemu za siri za nyuma zenye uwezo wa kupitisha vidole viwili jambo linaloashiria kuingizwa kitu kigumu kutoka nje.

Shahidi wa Pili katika kesi hiyo Sajenti wa Polisi, Ame Suleiman Ame amethibitisha mbele ya Mahakama kuwa yeye ndie aliyempiga picha mshtakiwa Ramadhani Hassan baada ya kukamatwa na Polisi kwa kutuhumiwa kutenda kosa na picha hizo kutumika kama kielelezo cha kumtambua mshtakiwa wa kesi hiyo.

Kwa upande wa Wakili wa Utetezi, Hassan Kijogoo aliibua maswali kwa mashahidi wote wawili akitaka kufahamu kabla ya uchunguzi huo wa kitabibu kufanyika ridhaa ilipatikana kutoka kwa mhusika na kumtaka shahidi athibitishe kielelezo cha ridhaa hiyo.

Shahidi alisema alipata ridhaa ya kauli kutoka kwa mshtakiwa Ramadhani.

Hata hivyo, Wakili kutoka Ofisi ya Muendesha wa Mashtaka wa Serikali, Mohammed Saleh ameiomba Mahakama kuzuia vielelezo vya ushahidi mwengine wa video ukionyesha tendo likifanyika ili kuheshimu mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

Kesi hiyo imeharishwa hadi tarehe 17 Aprili, 2023 huku mshtakiwa akiendelea kuwa rumande.

Chanzo: Wasafi TV
Kwa hiyo dushe ina upana wa vidole viwili?
Si wangeingiza dushe kabisa waone kama inapita au haipiti?
 
Kwa hiyo uwazi uliokutwa ni wa kawaida?
Uwazi si kuingiliwa Mkuu, ilitakiwa muingiliaji naye awepo, msambaza video, mchukua video, kifaa kilichotumika plus yeye mwenyewe akiri kuingiliwa.

Kifupi sana, mtu akisema haingiliwi kinyume cha maumbile huwa ni ngumu sana kumkuta na hatia ya kuingiliwa, na ndicho alichofanya jamaa. Kawatupia mpira Jamhuri wathibitishe kuwa kweli anaingiliwa.

Asa wakaja na ushahidi wa uwazi kwenye tundu, ushahidi dhaifu sana huu.
 
Mtoto kaamua kukalia fimbo huyo, nyie mpeni fimbo hizo ndo jukumu lenu mbona mnamsumbua sasa Mahakamani kufanya nini wakati raha zake mwenyewe
 
Back
Top Bottom