Daktari: Koo la Ommy Dimpoz linaendelea kutoa usaha

Tatizo bongo uchawi mwingi yaan wanaoneana wivu mbayaa.

Siunaona Darasa walivyomkosa ktk ajali, wamempata ktk madawa???

*I shall kindly Knee to leave my Pride*
Hisia za kijinga kabisa hizi! Kila siku watu wanapata ajali; kwanini ajali ya Darasa uone ndo big issue kwamba hawezi kupata ajali ila sharti kwa kurogwa wakati mtu mwenyewe ni Chapombe? Yaani hata kula unga nako unahusisha na kurogwa!!!
 
Inaweza ikawa anamfichia ahibu.. unaweza kuta jamaa alikua memba wa kundi la usafi A.KA mpiga deki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoja zenu wasanii zinaaksi umuhimu wa elimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani mimi si msanii...

pia zinaakisi ubongo wako ulivyo na ufahamu wako pia...
nimesema inafanana.. .yaani kama ...jifunze basi na hilo dogo wewe uliyeelimika ili usiiadhiri hiyo elimu...
na kuonyesha umuhimu wa elimu pia!
Bado sana....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
pole mkuu binafsi nashindwa kuelewa namna gani hyo sumu idhuru eneo moja tu,
maana acid ni chungu ingejulikana tangu kwenye kinywa, lkn mathala yapo kooni tu na syo tumboni,

hili linaweza kuwa fumbo
 
Niliyojifunza. Mosi, inaonyesha ni namna gani wengi Chemistry iliwapitia kushoto. Na la pili, namna gani waswahili tunavyojua ku-draw conclusion zetu za ajabu kabisa. Watanzania ni maajabu ya dunia yenyewe.
 
MO FAYA HIYOOO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…