Daktari na Mgonjwa

Daktari na Mgonjwa

Werrason

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2014
Posts
12,325
Reaction score
38,203
Daktari alikuwa anamuandaa Mgonjwa ili amng'oe jino, hivyo akawa anajaribu kumpa stori za hapa na pale kama kumtoa wasiwasi.
Daktari: unajua jinsi “gloves” zinavyotengenezwa?
Mgonjwa:Hapana.
Daktari: Huwa wanachukuliwa watu wenye viganja vyenye saizi mbalimbali, wanapakwa vitu vya aina ya mpira iliyo kama ujiuji kisha wanawekwa juani, ikikauka wanavuliwa tayari unapata “gloves”
Mgonjwa: kwi kwi kwi teh teh teh ahahahaaa
Daktari: unacheka nini?
Mgonjwa: nafikiria CONDOM zinavyotengenezwa!!!
 
Daktari alikuwa anamuandaa Mgonjwa ili amng'oe jino, hivyo akawa anajaribu kumpa stori za hapa na pale kama kumtoa wasiwasi.
Daktari: unajua jinsi “gloves” zinavyotengenezwa?
Mgonjwa:Hapana.
Daktari: Huwa wanachukuliwa watu wenye viganja vyenye saizi mbalimbali, wanapakwa vitu vya aina ya mpira iliyo kama ujiuji kisha wanawekwa juani, ikikauka wanavuliwa tayari unapata “gloves”
Mgonjwa: kwi kwi kwi teh teh teh ahahahaaa
Daktari: unacheka nini?
Mgonjwa: nafikiria CONDOM zinavyotengenezwa!!!
Mmmh!
 
Back
Top Bottom