Daktari Philip Isdor Mpango, kwanini unawasuta Watanzania wanaokupenda waliokuwa wanakuulizia ulipo?

Mpende baba yako na mama yako inatosha,wanafiki
 
anapitia yepi mabaya kiasi wewe mgalatia unajifunza? acha viongozi wapige kazi
 
anapitia yepi mabaya kiasi wewe mgalatia unajifunza? acha viongozi wapige kazi
Nionyeshe nilipotaja neno mabaya? Wewe umetoka ndotoni na mawazo yako yenye 'mabaya' ukatafuta pa kuyaweka. Mimi sio mgalatia mimi ni muislamu. Sasa upupu wako na labeling based na ubaguzi uache. Ukishanawa uso rudi hapa utajua kuwa Dr.Mpango yuko anaendelea na kazi zake sijamshika na mimi niko hapa napoteza muda kutoa maoni yangu.
 
Huo muda sasa utaenda kupotezea jela,kumbe huna shuhuri ya kufanya binti
 
Huo muda sasa utaenda kupotezea jela,kumbe huna shuhuri ya kufanya binti
Binadamu asiyeweza kuandika 'shughuli' nae wakunitishia mimi. Jela ya wapi? Ni rahisi mimi kuwa Waziri Mkuu kuliko kwenda jela. Shughuli ya kufanya ya kuniingizia kipato sina ila bando ninalo,kwahiyo niko hapa full time mpaka kazi ipatikane. Utake usitake utaniona hapa. Haya njoo na kitisho kingine...... !
 
Hata vichaa milembe wana prime minister wao
 
Hata vichaa milembe wana prime minister wao
Mirembe sio Milembe. Uzuri sikusema Waziri Mkuu wa Serikali ya Wanafunzi UDOM au wa JMT au wa Mirembe. Ila kwakuwa mwenzangu ni mwenyeji hapo Mirembe au uliishi hapo ukawa Prime Minister,i can only respect changamoto unazopitia na naishia hapa kwasasa. Ukishajifunza kuandika na kutoka Rehab tutaendelea.
 
Jiulizeni watz ni mamilioni kias gan ametumia yeye na timu nzima ya wapambe na security personnel kwa mwezi mzima na watz hatuambiwi ukweli,hii nchi viongozi wanatudharau sn ,hakukosea alieimba wanatuona nyani tu
 
Alichofanyanyia watz, nafikili ni mda sasa na Watz tumtenge kuanzia sasa mbwai mbwai
 
Pamoja na majadiliano haya,niwaombe Ndugu zangu tusivuke mipaka yake ALLAH, muumba mbingu na nchi kwani adhabu zake ni kali saana na kwake ni kuwa na inakuwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…