huyo Dr Omar Ubuguyu hizo data amezitengenezea chumbani kwake. Tanzania haiko hata katika top twenty ya nchi zinjazokunywa bia kwa wingi africa."Kwa Wastani, kila Mtanzania anatumia lita 9.1 ya pombe kwa mwaka, sawa na ndoo ndogo ya maji, Tanzania ndio nchi inayoongoza kwa unywaji wa pombe katika Bara la Afrika,"- Dkt Omar Ubuguyu, Mkurugenzi Msaidizi wa huduma za magonjwa yasiyo ya kuambukiza @wizara_afyatz
#EastAfricaTV
#WizaraYaAfya
Nimekaa SA! Ni walevi kupindua! Tz cha mtoto kwa wasouthZambia na South Africa wanakunywa sana pombe kuliko Watanzania.
Wastani wao utakua ni lita 20, yaani ile ndoo kubwa.
Zambia pia ni habari nyingine, sisi tunaigiza tu.Nimekaa SA! Ni walevi kupindua! Tz cha mtoto kwa wasouth
Muongo Tanzania hakuna wanya pombe aache masikharaa kabisa..Dkt Omar Ubuguyu, Mkurugenzi Msaidizi wa huduma za magonjwa yasiyo ya kuambukiza amesema kwa Wastani, kila Mtanzania anatumia lita 9.1 ya pombe kwa mwaka, sawa na ndoo ndogo ya maji, Tanzania ndio nchi inayoongoza kwa unywaji wa pombe katika Bara la Afrika.
---
My Take
Ndio maana Hii Nchi Ina Watu Wana matukio ya ajabu sana kumbe tatizo ni pombe na bangi kupanda kichwani,duu.
Ngoja nicheki vzr sheria ya takwimu kama inamruhusu kutangaza hizi data, anyway kwanza lita 9.1 karibu ni sawa na kreti moja la serengeti lite, kwa mwaka??? Mm haya ni matumizi yangu kwa wikiDkt Omar Ubuguyu, Mkurugenzi Msaidizi wa huduma za magonjwa yasiyo ya kuambukiza amesema kwa Wastani, kila Mtanzania anatumia lita 9.1 ya pombe kwa mwaka, sawa na ndoo ndogo ya maji, Tanzania ndio nchi inayoongoza kwa unywaji wa pombe katika Bara la Afrika.
---
My Take
Ndio maana Hii Nchi Ina Watu Wana matukio ya ajabu sana kumbe tatizo ni pombe na bangi kupanda kichwani,duu.
Watu wana wastani wa majaba wao wanazungumzia ndoo ndogo tena kwa mwaka mzima.ndoo ndogo?umedangany hapo
ni zaidi ya hapo
Kuna mtu kufikia mwezi huu ana litre 1000 sa mwaka ukiisha atakua anaela na kuzamaDkt Omar Ubuguyu, Mkurugenzi Msaidizi wa huduma za magonjwa yasiyo ya kuambukiza amesema kwa Wastani, kila Mtanzania anatumia lita 9.1 ya pombe kwa mwaka, sawa na ndoo ndogo ya maji, Tanzania ndio nchi inayoongoza kwa unywaji wa pombe katika Bara la Afrika.
---
My Take
Ndio maana Hii Nchi Ina Watu Wana matukio ya ajabu sana kumbe tatizo ni pombe na bangi kupanda kichwani,duu.
Tusisingiziane kwa sababu sisi wengine hatunywiDkt Omar Ubuguyu, Mkurugenzi Msaidizi wa huduma za magonjwa yasiyo ya kuambukiza amesema kwa Wastani, kila Mtanzania anatumia lita 9.1 ya pombe kwa mwaka, sawa na ndoo ndogo ya maji, Tanzania ndio nchi inayoongoza kwa unywaji wa pombe katika Bara la Afrika.
---
My Take:
Ndio maana Hii Nchi Ina Watu Wana matukio ya ajabu sana kumbe tatizo ni pombe na bangi kupanda kichwani, duu.
acheni uongo tupe chanzo cha hiyo takwimu, sidhani hata kumi bora tumoDkt Omar Ubuguyu, Mkurugenzi Msaidizi wa huduma za magonjwa yasiyo ya kuambukiza amesema kwa Wastani, kila Mtanzania anatumia lita 9.1 ya pombe kwa mwaka, sawa na ndoo ndogo ya maji, Tanzania ndio nchi inayoongoza kwa unywaji wa pombe katika Bara la Afrika.
---
My Take:
Ndio maana Hii Nchi Ina Watu Wana matukio ya ajabu sana kumbe tatizo ni pombe na bangi kupanda kichwani, duu.