Daktari wa Diploma ni bora kuliko yule wa degree

Daktari wa Diploma ni bora kuliko yule wa degree

Shinnok

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2019
Posts
236
Reaction score
564
Kwa hapa bongo daktari wa Diploma ni mzuri zaidi kuliko yule wa degree. Daktari wa Diploma kwanza ananidhamu ya hali ya juu pia wanafanya practical za kutosha kuliko wa degree. Degree holders wengi wanameza videsa ,chabo kwa wingi ila ukija kazini hawana kitu.

Mbali na madaktari wahandisi wanafata, muandisi wa certificate au Diploma ni bora kuliko yule wa degree ukibisha nenda field ukajionee

Na walimu wa Diploma wapo vizuri sana kuliko degree. Msijiulize kwa nini waajiri wanawachukua vijana wengi wa Diploma kuliko degree msiseme diploma ni cheap kuliko wakiajiri degree ukweli vijana wa degree hawana kitu
 
Weka chapisho la utafiti wako, walau abstract, huenda utaeleweka. Diploma holder anaitwa daktari!?

1614786359779.png
 
But all diploma holders were taught/ trained by degree holders and then they over take the master, uwii!!!!!
 
UMegombana na mtu mwenye Degree.. wewe una Diploma. Ndo umekuja mwanzishia Uzi huku? Acha hizo.
 
Jamaa kabaguliwa kazini na mtu mwenye degree, mimi siko sawa na Technician jiheshimu brooh
 
Mkuu katika engineering kuna technician na engineer technician ni fundi tu na engineer ndo degree holder so engineer huandaa michoro na fundi hufatisha kila m2 huplay part yake.
 
Kwa hapa bongo daktari wa Diploma ni mzuri zaidi kuliko yule wa degree.Daktari wa Diploma kwanza ananidhamu ya hali ya juu pia wanafanya practical za kutosha kuliko wa degree .Degree holders wengi wanameza videsa ,chabo kwa wingi ila ukija kazini hawana kitu.

Mbali na madaktari wahandisi wanafata ,muandisi wa certificate au Diploma ni bora kuliko yule wa degree ukibisha nenda field ukajionee

Na walimu wa Diploma wapo vizuri sana kuliko degree
Msijiulize kwa nini waajiri wanawachukua vijana wengi wa Diploma kuliko degree msiseme diploma ni cheap kuliko wakiajiri degree ukweli vijana wa degree hawana kitu
Kauli yako ina ukweli kidogo,..hii inatokana na mifumo yetu ya elimu hasa ya vyuo vikuu.. There is no fund for creativity support, Intercollege allumn, Mitihani ni ya coppy n paste... Pia umaridadi wa mwanafunzi mwenyewe una mata,.. akiwa mtu wa reasoning street hawezi kugwaya ila kama ndo wale zima moto basi ataonekana kilaza kuliko jamaa wa diplomma
 
Kwa hapa bongo daktari wa Diploma ni mzuri zaidi kuliko yule wa degree.Daktari wa Diploma kwanza ananidhamu ya hali ya juu pia wanafanya practical za kutosha kuliko wa degree .Degree holders wengi wanameza videsa ,chabo kwa wingi ila ukija kazini hawana kitu.

Mbali na madaktari wahandisi wanafata ,muandisi wa certificate au Diploma ni bora kuliko yule wa degree ukibisha nenda field ukajionee

Na walimu wa Diploma wapo vizuri sana kuliko degree
Msijiulize kwa nini waajiri wanawachukua vijana wengi wa Diploma kuliko degree msiseme diploma ni cheap kuliko wakiajiri degree ukweli vijana wa degree hawana kitu
Ehh[emoji23][emoji23][emoji23]
Fanya usome degree mkuu.... Hata mtoto hawez elewa usemacho.! Utateseka Sana na elmu za wenzako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom