Daktari wa Diploma ni bora kuliko yule wa degree

Daktari wa Diploma ni bora kuliko yule wa degree

Kwakifupi.
Aliyekufundisha unamzidi.

Tatizo watu wanataka Engineers nao wafanye kazi za Technicians, MDs wafanye kazi za CO.

Kwenye Engineering Engineer mmoja anatakiwa awe na technicians 7 ili wafanye kazi kisawasawa hasa kwenye industries. Sasa nani zaidi.
 
Walimu wa diploma wako bize kujipendekeza kwa mkuu wa shule na maafisa elimu ili wachaguliwe kusahihisha mitihani ya Taifa kidato Cha pili na Cha nne,

Wengi ni wanafiki, poor reasoning, na wachonganishi, kiufupi hawako tofauti na wanafunzi wanao wafundisha, japo kuna baadhi ya matcha degree holders nao ni masnich

Msijenge chuki matichaaaa
 
Kwa hapa bongo daktari wa Diploma ni mzuri zaidi kuliko yule wa degree.Daktari wa Diploma kwanza ananidhamu ya hali ya juu pia wanafanya practical za kutosha kuliko wa degree .Degree holders wengi wanameza videsa ,chabo kwa wingi ila ukija kazini hawana kitu...
Acha uongo
 
Mheshimiwa muda ulioandikia hii maudhui Ni muda wa bar. Ulikua uko konyagi ya ngapi wakati unaandika?
 
Hawa ndo wale wanasema std 4 ya mkoloni nw ni form 4 how????
 
Kwa hapa bongo daktari wa Diploma ni mzuri zaidi kuliko yule wa degree. Daktari wa Diploma kwanza ananidhamu ya hali ya juu pia wanafanya practical za kutosha kuliko wa degree. Degree holders wengi wanameza videsa ,chabo kwa wingi ila ukija kazini hawana kitu.

Mbali na madaktari wahandisi wanafata, muandisi wa certificate au Diploma ni bora kuliko yule wa degree ukibisha nenda field ukajionee

Na walimu wa Diploma wapo vizuri sana kuliko degree. Msijiulize kwa nini waajiri wanawachukua vijana wengi wa Diploma kuliko degree msiseme diploma ni cheap kuliko wakiajiri degree ukweli vijana wa degree hawana kitu
Hakuna dakitari wa diploma. Dakitari by definition ni MD OR equivalent. Diploma holders ni CO au Bwana Mganga.
 
Kwa hapa bongo daktari wa Diploma ni mzuri zaidi kuliko yule wa degree. Daktari wa Diploma kwanza ananidhamu ya hali ya juu pia wanafanya practical za kutosha kuliko wa degree. Degree holders wengi wanameza videsa ,chabo kwa wingi ila ukija kazini hawana kitu.

Mbali na madaktari wahandisi wanafata, muandisi wa certificate au Diploma ni bora kuliko yule wa degree ukibisha nenda field ukajionee

Na walimu wa Diploma wapo vizuri sana kuliko degree. Msijiulize kwa nini waajiri wanawachukua vijana wengi wa Diploma kuliko degree msiseme diploma ni cheap kuliko wakiajiri degree ukweli vijana wa degree hawana kitu
[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23]Yani Ni sawa na kufananisha utopolo [emoji196] na mnyama[emoji881]
 
may be mwajiri take kueaajiri wa diploma because ya mshahara wa ni togauti na wa degree.
 
Mbwembwe tu, huku kwenye taaluma yetu utasikia tena Mwl mwenye diploma ni bora kuliko wa digrii! Vita ya wakujimwambafai na wakujidogesha hii!
 
Back
Top Bottom