Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona eeUtakua na kadiploma cha uchochoroni uko ume amua kujifariji
Acha uongoKwa hapa bongo daktari wa Diploma ni mzuri zaidi kuliko yule wa degree.Daktari wa Diploma kwanza ananidhamu ya hali ya juu pia wanafanya practical za kutosha kuliko wa degree .Degree holders wengi wanameza videsa ,chabo kwa wingi ila ukija kazini hawana kitu...
Hakuna dakitari wa diploma. Dakitari by definition ni MD OR equivalent. Diploma holders ni CO au Bwana Mganga.Kwa hapa bongo daktari wa Diploma ni mzuri zaidi kuliko yule wa degree. Daktari wa Diploma kwanza ananidhamu ya hali ya juu pia wanafanya practical za kutosha kuliko wa degree. Degree holders wengi wanameza videsa ,chabo kwa wingi ila ukija kazini hawana kitu.
Mbali na madaktari wahandisi wanafata, muandisi wa certificate au Diploma ni bora kuliko yule wa degree ukibisha nenda field ukajionee
Na walimu wa Diploma wapo vizuri sana kuliko degree. Msijiulize kwa nini waajiri wanawachukua vijana wengi wa Diploma kuliko degree msiseme diploma ni cheap kuliko wakiajiri degree ukweli vijana wa degree hawana kitu
[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23]Yani Ni sawa na kufananisha utopolo [emoji196] na mnyama[emoji881]Kwa hapa bongo daktari wa Diploma ni mzuri zaidi kuliko yule wa degree. Daktari wa Diploma kwanza ananidhamu ya hali ya juu pia wanafanya practical za kutosha kuliko wa degree. Degree holders wengi wanameza videsa ,chabo kwa wingi ila ukija kazini hawana kitu.
Mbali na madaktari wahandisi wanafata, muandisi wa certificate au Diploma ni bora kuliko yule wa degree ukibisha nenda field ukajionee
Na walimu wa Diploma wapo vizuri sana kuliko degree. Msijiulize kwa nini waajiri wanawachukua vijana wengi wa Diploma kuliko degree msiseme diploma ni cheap kuliko wakiajiri degree ukweli vijana wa degree hawana kitu
Wa dploma ankua vp bora wakat form 6 tu ilmshnda !!!!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbwembwe tu, huku kwenye taaluma yetu utasikia tena Mwl mwenye diploma ni bora kuliko wa digrii! Vita ya wakujimwambafai na wakujidogesha hii!