Daktari wa fiziotherapia

Daktari wa fiziotherapia

Joined
May 15, 2019
Posts
69
Reaction score
23
je, una maumivu ya viungo??
mgongo,shingo,bega,kiuno,nyonga,magoti,miguukuwaka moto,ganzi mikononi na miguuni????

Niulize swali nikupatie ufumbuzi wa tatizo lako .
PSX_20190514_085230.jpeg
 
[/QUOTE]
kiuno chote kinauma ila nyonga ndio haswaa! nikikaa naona kama makalio hayapo jamani.


kuna mtu aliniambia eti mimba ndio zilinitengua nyonga kwani nimezaa haraka haraka.. nani ya miaka mitano nina watoto watatu na nyonga ilianza kuniuma nilipokuwa na mimba ya kwanza ikiwa changa.. ( inayouma mara nyingi ni ya kushoto) physioplus dar
 
kiuno chote kinauma ila nyonga ndio haswaa! nikikaa naona kama makalio hayapo jamani.


kuna mtu aliniambia eti mimba ndio zilinitengua nyonga kwani nimezaa haraka haraka.. nani ya miaka mitano nina watoto watatu na nyonga ilianza kuniuma nilipokuwa na mimba ya kwanza ikiwa changa.. ( inayouma mara nyingi ni ya kushoto) physioplus dar[/QUOTE]kama tatizo lilianza kipindi cha ujauzito yawezekana sana ukawa na shida hii ya sciatica ambayo kwa case yako itakuwa imesababishwa na kukaza kwa msuli wa piliformis uliopo sehemu ya makalio na mkandamizo wa pingili za mgongo unaotokea wakati wa ujauzito hasa ukifika miezi saba kundelea.

huwapata wajawazito wengi. huanza kama maumivu ya mgongo na yakuchoma sehemu ya makalio.

baadae huleta maumivu na ganzi sehemu ya nyuma ya mguu na vidole vya mguu.


na maumivu haya huwa makali uki
inama
ukikaa
ukiamka kusimama
na kutembea.

mtu anaweza pata nafuu wakati wa kulala chali.

tafadhari wasiliana nami watsup 0718 22 48 40 nikupatie ushauri na maelekezo ya kliniki yangu kwa ajili ya matibabu
 
Sehemu hizo zote ila hali ina badilika badilika nishatumia dawa zote za antibiotc lkn bado
Kwanza naomba utambue maswala haya

Maumivu ya kifua sehemu ya juu ,kati kati huhusiana na matatizo yafuatayo

myocardial infarction(maumivu ya kuchoma kwenye moyo)

costrocondtritis(maambukizi na maumivu kwenye mbavu)

Forward head syndrome(haya ni mabadiliko ya umbo la kifua ambalo linakuwa kama kibiongo kinacho anza)

je una umri gani?
una historia ya ugonjwa wa moyo?
unafanya shughuli gani? za kubeba vitu vizito?
umeshawahi fanya vipimo vya moyo?

tafadhari naomba unijibu kupitia 0718 22 48 40 au ntumie sms direct.

kwa ufaragha baina ya mgonjwa na daktari
 
tafadhari naomba nitumie maelezo mengi zaidi kuhusu wewe

umri wako?
shughuli yako?
tatizo lilianzaje ? na lini?
vitu vinavyochochea maumivu?
vitu gani ukifanya unapata nafuu?

tuma kupitia namba hii 0718 22 48 40
au direct message
Tatizo la maumivu makali ya nyonga misuli ya mguu wa kushoto kushuka chini nini matibabu yake?
 
Habari, pole kwa maumivu
tafadhari naomba nisaidie maelezo zaidi kuhusu dalili unazosikia

umri wako?
jinsia?
kazi?.
tatizo lengine lolote la kiafya?
tatizo lilianzaje? na muda wa tatizo mpaka sasa?

tafadhari nitumie direct message au nijibu kupitia namba hizi 0718 22 48 40
Miguu yote inauma kuanzia mapajani hadi chini
 
Back
Top Bottom