Daktari wa Moyo: Wanaume na Vijana wanaochanganya Mo Extra na Panadol ili kuongeza nguvu za Kiume, muda wowote Wanakufa

Daktari wa Moyo: Wanaume na Vijana wanaochanganya Mo Extra na Panadol ili kuongeza nguvu za Kiume, muda wowote Wanakufa

Botha alikuwa Sawa kusema "waafrika wanapenda sana ngono"
SaSa mtu Hana biashara, Hana shughuli yoyote ya maana ya kushughulisha akili yake, hasomi gazeti Wala kufuatilia jambo lolote anahesabu after 5 yrs apate t-shirt ya kijani au njano pamoja na kofia na ubwabwa pia kusombwa kwenye mafuso Kisha kupewa buku mbili sasa atawaza Nini mtu kama huyo wakati huo anamiliki dudu kuubwa ndo maana hiki chama kina wajinga wengi sana
 
Mimi nikiwa na uhakika wa Hela tu Mfukoni hata Bao 10 za mfululizo Natomba ila nikiwa sina Mkuyenge / Mkurudungu wangu huwa Unagoma kabisa hata Kusimama / Kudinda ili uingie Mbunyeni / Kokwani.
Hii lugha ni kiashiria cha wazi kwamba una upwiru hatari hata kuku unaweza kunajisi!
 
 
Hizo energu sio poa kabisa, ukinywa kama hujala utahisi kufakufa.

Nishazishindwa, nakunywa maji na soda tu kwa vinywaji baridi.

Ila kwenye vileo hata waseme ukinywa bia unakata moto papo hapo sitaacha.
Hajajajjajqjajajahhahah
 
nimecheka sana, mbunye ole wake ukutane inayonuka hizo Amana zako zitafanya kazi akili iwenomo
 
"Kitendo cha Kuchanganya Kemikali mbili HATARI zilizoko katika Kinywaji cha Mo Energy na zilizoko katika Dawa ya Panadol ni Kuusababisha Moyo kwenda mbio usivyo tarajiwa na hatimaye Kuupasua na kusababisha Vifo vya Kushtukiza. Nguvu za Kiume haziongezwi na Mo Extra na Panadol hivyo Watu waache mara moja" amesema Daktari Bingwa wa Moyo jana Usiku katika Star Tv alipoalikwa..

Ngoja sasa GENTAMYCINE nitafute Mtaji na niwekeze zaidi katika Biashara za kuuza Majeneza na Maua ya Msibani kwani kwa ninachokiona Mitaani kwa Vijana na Wazee juu ya matumizi ya Mseto huu HATARI na USIO RASMI wa Kuchanganya Kinywaji cha Mo Extra na Dawa ya Panadol nitapata Wateja Marehemu wengi watakaokufa ghafla kutokana na MCHANGANYO huo.

Mimi GENTAMYCINE siku zote MSETO wangu ili kuwa na NGUVU ZA KIUME TUKUKA huwa ni kutumia tu Karanga Mbichi, Ndizi Mbivu, Maziwa ya Mtindi, Maji ya Madafu, Nazi kwa Kuitafuna, Uji wa Ulezi, Chai ya Tangawizi, Pilipili Mwendo kasi, Maji ya DAWASCO, Nyama ya Samaki au Mchuzi wake, Parachichi, Mazoezi ya Kukimbia, ya Viungo na Pushapu za Kutosha tu na uwepo wa Fedha Mfukoni au katika Amana zangu za Benki na katika Miamala ya Mitandao yangu ya Simu ili kutengeneza SAIKOLOJIA yangu mbele ya Mbunye ( K )

Na mtakufa sana tu Kudadadeki Ok?
Hiki kizazi cha chips/mayai kiko pathetically weak, kula vyakula natural mpaka 60+ mashine inasukumwa bila visaidizi.
Kwa wenye aina mbalimbali za magonjwa zinazoathiri nguvu hao inaweza kueleweka.
 
SaSa mtu Hana biashara, Hana shughuli yoyote ya maana ya kushughulisha akili yake, hasomi gazeti Wala kufuatilia jambo lolote anahesabu after 5 yrs apate t-shirt ya kijani au njano pamoja na kofia na ubwabwa pia kusombwa kwenye mafuso Kisha kupewa buku mbili sasa atawaza Nini mtu kama huyo wakati huo anamiliki dudu kuubwa ndo maana hiki chama kina wajinga wengi sana
Hahaha
 
"Kitendo cha Kuchanganya Kemikali mbili HATARI zilizoko katika Kinywaji cha Mo Energy na zilizoko katika Dawa ya Panadol ni Kuusababisha Moyo kwenda mbio usivyo tarajiwa na hatimaye Kuupasua na kusababisha Vifo vya Kushtukiza. Nguvu za Kiume haziongezwi na Mo Extra na Panadol hivyo Watu waache mara moja" amesema Daktari Bingwa wa Moyo jana Usiku katika Star Tv alipoalikwa..

Ngoja sasa GENTAMYCINE nitafute Mtaji na niwekeze zaidi katika Biashara za kuuza Majeneza na Maua ya Msibani kwani kwa ninachokiona Mitaani kwa Vijana na Wazee juu ya matumizi ya Mseto huu HATARI na USIO RASMI wa Kuchanganya Kinywaji cha Mo Extra na Dawa ya Panadol nitapata Wateja Marehemu wengi watakaokufa ghafla kutokana na MCHANGANYO huo.

Mimi GENTAMYCINE siku zote MSETO wangu ili kuwa na NGUVU ZA KIUME TUKUKA huwa ni kutumia tu Karanga Mbichi, Ndizi Mbivu, Maziwa ya Mtindi, Maji ya Madafu, Nazi kwa Kuitafuna, Uji wa Ulezi, Chai ya Tangawizi, Pilipili Mwendo kasi, Maji ya DAWASCO, Nyama ya Samaki au Mchuzi wake, Parachichi, Mazoezi ya Kukimbia, ya Viungo na Pushapu za Kutosha tu na uwepo wa Fedha Mfukoni au katika Amana zangu za Benki na katika Miamala ya Mitandao yangu ya Simu ili kutengeneza SAIKOLOJIA yangu mbele ya Mbunye ( K )

Na mtakufa sana tu Kudadadeki Ok?
Hujawahi kuniangusha!Thread yenye Ujumbe wa Moja kwa Moja..kwa asiyekuelewa hakuna jinsi nyingine zaidi ya kumwacha aende kwa pacing yake.
 
Back
Top Bottom