Mohamedy cadinaly
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 2,449
- 2,245
1. Machine yngne zinazotumika kufanya us n 2D ambazo co nzuri sana ku tambua sex ya mtoto zaid mpimaj hutumia signs tu Ku determine sex ambayo Mara nyng sio exactly kuwa sahh so labda upate sehem ambao sana 3D -4D machineSikuongea chochote na Dr kabla ya kupima. Ni kweli wife anahudhuria clinic hapo hapo ila jengo la clinic ya wazaz ni mbali kabisa na X ray, maabara na US. Pia wahudumu wake ni tofauti.
2. Maadili hayaruhusu kwasbb us machine ni dependent operative mpmaji anariporit mile anachokiona so wkt mwengne kunakuwa na errors ambazo znaweza kusabibishwa na mpmaji au machine yenyewe so anaweza kuona signs ambozo n MTT wa kike kuikawa hakuona sahh au machine ilileta errors so anaweza kuripoti kitu sicho then maabadae ilkaleta shida. Mfno umeambiwa MTT wako ni wakiume then mkeo akajifungua MTT wakike tena labda ni operation kunaweza kukaleta mkanganyiko mama akasema amebadilishiwa mtoto.
3. Sio indication kufanya obs USS kwa sabb ya kujua sex tu labda kuwe naishu itakayohusiana na maswali ya kisheria kiulazima