Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakimbizi hutumia bendera za unHizi ni picha za Kigoma wakati ule wakimbizi wakirejeshwa kwao. Ndiyo maana kwa chini kulia (hapo kwenye bodaboda) kuna bendera za ccm
Mlisema Chadema haina hela ya kampeni ni kweli na jana pia wameomba michango kwa wananchi, mara leo wamekodi daladala zote dah unajiaibisha bwashee na hizo siasa uchwara.Mabasi mengi ya daladala yanayofanya kazi kati ya Makumbusho, Bunju, Tegeta na Mbweni yamekodiwa na CHADEMA kubeba wanachama wake na yanapeperusha bendera za CHADEMA.
Nauliza tu bwashee Mmawia, Salary Slip na tindo leo mna shughuli gani jijini Dsm maana kama ni kampeni nadhani mlishazindua jana kule Mbagala.
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Upo Dodoma literally....?Nipo Dodoma..... Usisahau kuwa dunia iko kiganjani bwashee!
CCM mna fujo yaani hao Wakaguru waliochukuliwa vijijini na vumbi kwenda kufungua kampeni za Maccm wewe unawaita wakimbizi .Hizi ni picha za Kigoma wakati ule wakimbizi wakirejeshwa kwao. Ndiyo maana kwa chini kulia (hapo kwenye bodaboda) kuna bendera za ccm
Acha kudanganya watu bwana! Kwa hadhi yako wewe (najaribu kukuweka kwenye kundi la watu wenye kipato cha kawaida na waelewa) ukiambiwa unapewa free air ticket kwenda kuhudhuria tamasha la Jay Z London utakataa hata kama ni la kampeni Labour?Unafikiri wasingekuwa wanapenda Sera za hao wanaoenda kuwasikiliza wangekubali kubanana kwenye maroli hayo.
Mapenzi ya Wananchi yapo kwa Anko Magu hivyo wapo tayari hata kupanda tela la punda ilimuradi wafike dodoma leo.
Watu wanatoa buku 10 Hadi buku 50 wengine Malaki ya hela kwenda kumuona Diamond Platnumz Live akipiga show na wanakuwa nyomii kinoma Sasa leo shoo ya bure + usafiri buree + kofia na tishet bure + buku tano tano za naul ya kurudia home na chakula Nani ataacha kwenda asee hata ingekuwa Ni mm ningeenda tu kumuona Mond na rayvanny ila Kama Niko free na Sina kitu Cha maana Cha kufanya by the way msisahau kuwarudisha watu wa watu mlipowatoa japo mmewapa naul ya kurudiaUnafikiri wasingekuwa wanapenda Sera za hao wanaoenda kuwasikiliza wangekubali kubanana kwenye maroli hayo.
Mapenzi ya Wananchi yapo kwa Anko Magu hivyo wapo tayari hata kupanda tela la punda ilimuradi wafike dodoma leo.
Hata hivyo Ni Jambo jema Maana diamond na Magufuli wote niwana CCM kwahiyo Wananchi kwenda kutazama Jambo linalofanywa na Wana CCM Ni ishara tosha kuwa Wanawakubali..Acha kudanganya watu bwana! Kwa hadhi yako wewe (najaribu kukuweka kwenye kundi la watu wenye kipato cha kawaida na waelewa) ukiambiwa unapewa free air ticket kwenda kuhudhuria tamasha la Jay Z London utakataa hata kama ni la kampeni Labour?
The same na hao wanavijiji hata kama hawana mpango na JPM lakini kwao kupanda Lori na kumuona Diamond ni big deal
Unawajua wamiliki wa daladala bwashee?!Mlisema Chadema haina hela ya kampeni ni kweli na jana pia wameomba michango kwa wananchi, mara leo wamekodi daladala zote dah unajiaibisha bwashee na hizo siasa uchwara.
Usije kujisahau ukasema hela hiyo wamepata jana mkutanoni wakati mnapost zile picha za tbc online kuwa hapakuwa na watu.
Hakika mkuu!Hata hivyo Ni Jambo jema Maana diamond na Magufuli wote niwana CCM kwahiyo Wananchi kwenda kutazama Jambo linalofanywa na Wana CCM Ni ishara tosha kuwa Wanawakubali..
Bwashee nipo ndani ya Jamhuri stadium!Upo Dodoma literally....?
Mabasi mengi ya daladala yanayofanya kazi kati ya Makumbusho, Bunju, Tegeta na Mbweni yamekodiwa na CHADEMA kubeba wanachama wake na yanapeperusha bendera za CHADEMA.
Nauliza tu bwashee Mmawia, Salary Slip na tindo leo mna shughuli gani jijini Dsm maana kama ni kampeni nadhani mlishazindua jana kule Mbagala.
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Mabasi mengi ya daladala yanayofanya kazi kati ya Makumbusho, Bunju, Tegeta na Mbweni yamekodiwa na CHADEMA kubeba wanachama wake na yanapeperusha bendera za CHADEMA.
Nauliza tu bwashee Mmawia, Salary Slip na tindo leo mna shughuli gani jijini Dsm maana kama ni kampeni nadhani mlishazindua jana kule Mbagala.
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Achana naye anafanya counter attack ya malori ya Dodoma.Acha uongo mie mbona naelekea Makumbusho mda huu toka Bunju sioni hiyo kitu na Niko kwenye daladala
No diamond no partyView attachment 1551594Mabasi mengi ya daladala yanayofanya kazi kati ya Makumbusho, Bunju, Tegeta na Mbweni yamekodiwa na CHADEMA kubeba wanachama wake na yanapeperusha bendera za CHADEMA.
Nauliza tu bwashee Mmawia, Salary Slip na tindo leo mna shughuli gani jijini Dsm maana kama ni kampeni nadhani mlishazindua jana kule Mbagala.
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Ni kina nani?Unawajua wamiliki wa daladala bwashee?!