DOKEZO Daladala T 474 CQB ya Kigamboni Mwasonga-Kibada linatumia mafuta yaliyo kwenye kidumu ndani ya gari

DOKEZO Daladala T 474 CQB ya Kigamboni Mwasonga-Kibada linatumia mafuta yaliyo kwenye kidumu ndani ya gari

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
1000255008.jpg

20250221_173441.jpg


Gari la Kigamboni mwasonga to Kibada linatumia mafuta ndani ya kidumu cha gallon ndani ya gari, hata likiingia sheli wanaweka mafuta kwa ndani. Hii ni hatari kwa usalama.

Gari hili linafanya route kati ya kigamboni mwasonga mpaka kibada lakini kwa mbele limeabdikwa emereti

Nilishituka tulivyoingia ferry na konda akachukua pump ya mafuta na kuweka kidumu ndani na kujaza mafuta ndani ya dumu la plastiki. Najiuliza iwapo itatokea itilafu ya moto ni kwa bahati mbaya usalama itakuwepo

Au tunasubiria matatizo yatokee ndio hatua zichukuliwe tunaaomba Latra na jeshi la polisi watusaidie T474 CQB
 
ni kweli usemalo ila kwa njia ya kwetu mwasonga magari mengi ni ngarangara na ndiyo yanatoa huduma kwa sasa.
 
View attachment 3245469
View attachment 3245471

Gari la Kigamboni mwasonga to Kibada linatumia mafuta ndani ya kidumu cha gallon ndani ya gari, hata likiingia sheli wanaweka mafuta kwa ndani. Hii ni hatari kwa usalama
magari mengi kama ayo utakuta ni ya traffick, ndio day wake yake hiyo. kuna mmoja nilikuwa namfahamu alikuwa nazo kama 4, mbovumbovu tu na hazikamatwi. lakini hata wao wakale wapi, ndio maisha hiyo wasogeze familia kuliko kula rushwa. kwa sababu haiji kichwani traffick huwa wanakagua mara nyingi wasingeona?
 
Back
Top Bottom