Daladala za Temeke asilimia kubwa (90%) ni Nissan Civilian. Je ni kwa nini?

Daladala za Temeke asilimia kubwa (90%) ni Nissan Civilian. Je ni kwa nini?

Hazchem plate

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2011
Posts
11,048
Reaction score
15,465
Habari za Muamko wakuu!!!!
Wakuu mimi sina usafiri binafsi kama walivo watu wengi wa JF. Huwa natumia usafiri wa umma.

Pia kuna kitu huwa nakiona. Asilimia kubwa ya daladala zinazoenda TEMEKE huwa ni Nissan Civilian. Hadi huwa nashangaa kuwa haya magari ni ya mtu mmoja??

Ukiyakuta yamepangana pale Gerezani Kko utadhani ni wale ndege Yangeyange wanavyo fanana

Kama wewe ni Mkazi wa Dar. Na unatumia usafiri wa Umma utakubalina na mm katika jambo hili.

Ukitaka kuyajua magari ya temeke ki urahisi bila kuangalia rangi basi pepesa macho juu ya gari husika utaona yana (KIBWENZI) juu upande wa mbele.

60f190f8add08d954d8b78f4ebea3014.jpg


3d5ad7a48d88d09f71793d75f8b455ae.jpg


Kibwenzi ni hicho kiduku hapo juu
 
hata ukijua haitakusaidia tamani kujua vitu vyenye tija
Acha roho ya kichawi.
Atakuja mtu hapa atauliza kwann kilosa kuna mzafuriko utamjibu na sio morogoro mjibu ivo ivo. Angalia majjibu ya wanaume wenzio chinii
 
Huu uzi unanifanya nawaza kwann uandike hivi au kuwaza hivi au ww ni konda na kama sio basi nahisi ulikuwa kwenye folen na mwisho uikuwa huna cha kufanya ukaamua kuwaza hiv.....sasa ww itakusaidia nn unataka ziwe toyota au
Umeaanza kuweka assumptions zako baada ya kunywa balimi. Jibu swali. Kama hujui kaa kimya. Anyalia comments za wanaume wenzio.
Kuna mtu kasema ni gari ngumu at cheap price. Hii possible answers. Unatumia efforts kubwa kuandika madudu na itel yako
 
Nice observation, nlishawahi ona hili ila sikutilia maanani.
Sasa hivi Tata na Eicher zimeanza kujaa kwa kasi.
Yess zipo sana Goms, Mbagala, Tegeta na Mbezi.
Simply zinaoperate sana kweny Nods za Dar
 
Back
Top Bottom