luswaguty
Member
- Oct 13, 2017
- 86
- 29
Kwa hiyo ww unatumia apple sio watanzania bwana ndio maana tukaambiwa na trump nyie ni kama mashimo ya choo badala uwaze ufanye nn ufanikiwe zaidi hapo ulipo uende hatua unayotaka unawaza magar harafu unaniaminisha wanaume wa dar hovyo sana nilikuwa natetea lakini mmezidi maana sio kwa kuwaza hukoUmeaanza kuweka assumptions zako baada ya kunywa balimi. Jibu swali. Kama hujui kaa kimya. Anyalia comments za wanaume wenzio.
Kuna mtu kasema ni gari ngumu at cheap price. Hii possible answers. Unatumia efforts kubwa kuandika madudu na itel yako