Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,048
- 15,465
Nna nauli tu ya kupandiaWw unazo ngapi kati ya hizo mkuu
Nissan Civilian ni gari imara na za being nafuu.
Mkuu hata kununua stalet sina uwezoKuna rafiki yangu anayo anaiuza, yuko nje ya nchi, kama unaitaka ni PM nitakupa ma link
Acha roho ya kichawi.hata ukijua haitakusaidia tamani kujua vitu vyenye tija
Umeaanza kuweka assumptions zako baada ya kunywa balimi. Jibu swali. Kama hujui kaa kimya. Anyalia comments za wanaume wenzio.Huu uzi unanifanya nawaza kwann uandike hivi au kuwaza hivi au ww ni konda na kama sio basi nahisi ulikuwa kwenye folen na mwisho uikuwa huna cha kufanya ukaamua kuwaza hiv.....sasa ww itakusaidia nn unataka ziwe toyota au
Yess zipo sana Goms, Mbagala, Tegeta na Mbezi.Nice observation, nlishawahi ona hili ila sikutilia maanani.
Sasa hivi Tata na Eicher zimeanza kujaa kwa kasi.
ukikua utanielewaAcha roho ya kichawi.
Atakuja mtu hapa atauliza kwann kilosa kuna mzafuriko utamjibu na sio morogoro mjibu ivo ivo. Angalia majjibu ya wanaume wenzio chinii
Mzee kuna magereji mengi Temeke nadhani kuna mafundi wazurHivi hizi Nisaan Mafundi wengi wa bongo hawazijui sana Kama Toyota wapi kuna fundi mzuri wa Nissan?
Mzee kuna magereji mengi Temeke nadhani kuna mafundi wazur
Yess this is further studyUsiishie hapo, endelea kujiuliza kwa nini daladala za Makumbusho nyingi ni Coaster, Gongo la mboto ni Eicher wakati Mbagala ni DCM