KERO Daladala zinakatisha njia na hakuna anayejali!

KERO Daladala zinakatisha njia na hakuna anayejali!

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Hilo jambo kwa kweli linauma sana, tunakosa a kufanya tu
 
L
Kazi ya traffic ni kushugulikia makosa ya barabarani, latra Kama mamlaka husika ndio inashugulika na daladala kukatisha route.
Tangia jukumu ili lipelekwe latra toka Sumatra kumekuwa na uzembe mkubwa ndio maana daladala wamekuwa wakijipangia nauli na kufanya watakavyo.
Latra wao wanachojuwa ni kupandisha nauli tu
Mambo mengine shauri zenu

Ova
 
Hapo kinachotakiwa ni abiria kugoma kushuka na kumlazimisha dereva kufika anapotakiwa kufika.
Yes push back na sio kulalama humu,ikibidi choma moto hilo daladala na kuanzia siku hiyo hakuna litakalo katisha safari
 
Rushwa ya daladala ni Tsh. 2,000 kwa kutwa wakati rushwa ya gari binafsi ni Tsh 5,000 hadi 10,000 kwa gari. Trafiki unafikiri atapendelea kufuatilia magari yapi?

Hii nchi ina uozo kila mahali. Ukiwa unafanya shughuli zako mjini uwe una usafiri binafsi au unatumia daladala nakushauri uwe na fedha ya akiba pembeni.

Wenye nchi wanatembelea V8. Hawawezi kuona hizo kero kamwe.
 
Back
Top Bottom