KAKA NASOKI
Senior Member
- May 25, 2016
- 191
- 212
1. Daladala nyingi za Dar, taa za kulia huwa ni full light tu.
2. Makonda wa daladala karibu route zote isipokuwa Posta-Mwenge ni wachafu sana
3. Madereva wengi hutumia pombe kali, hasa K-Vant
4. Huzuia usingizi kwa kunywa energisers kama Azam Energy na Mo energy
5. Makondakta wakiwa na pesa ni kilevi full time
6. Gari ikienda gereji hata siku moja tu, tayari ni ombaomba
2. Makonda wa daladala karibu route zote isipokuwa Posta-Mwenge ni wachafu sana
3. Madereva wengi hutumia pombe kali, hasa K-Vant
4. Huzuia usingizi kwa kunywa energisers kama Azam Energy na Mo energy
5. Makondakta wakiwa na pesa ni kilevi full time
6. Gari ikienda gereji hata siku moja tu, tayari ni ombaomba