Daladala

Daladala

stwita

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2011
Posts
1,340
Reaction score
760
Neno daladala kama nauli ya usafiri wa mabasi ya mjini lilianza kutumika mwaka gani? Chanzo chake ni nini?
Neno gani llitumika kabla ya hilo?
 
Hyo cyo maana ya neno daladala...maana yke ni mabac madogo yanayobeba abiria
 
Neno daladala kama nauli ya usafiri wa mabasi ya mjini lilianza kutumika mwaka gani? Chanzo chake ni nini?
Neno gani llitumika kabla ya hilo?

yalivokuwa yanaanza miaka ya sabini nauli ilikuwa dala yaani sh 5 kwa wakati ule. ndo yakaitwa daladala
 
Labda aje mwanzilishi... lakini kufahamu imeanzishwa Mwaka gani.. dah! hata lingekuwa swali la kwenye mtihani... ningeliacha
 
Labda aje mwanzilishi... lakini kufahamu imeanzishwa Mwaka gani.. dah! hata lingekuwa swali la kwenye mtihani... ningeliacha

Neno daladala ckumbuki exactly mwaka lilipoanza kutumika icpokuwa reason ya kuitwa hivyo ni Kuwa wakati huduma zinaanza nauli yake ni sh 5 ambayo exchange rate yake kwa kipindi hicho ilikuwa ni $1 sasa watu badala ya kusema dollar wakawa wanaita dala. Ni sawa na eneo la chekereni pale moshi,asili yake ni "check a train" sbb kulikuwa na kibao cha rail-road crossing. Nawasilisha
 
Back
Top Bottom