Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pakojolee siku saba. Alafu siku ya nane kunya kabisa.Aisee Kuna nyumba Iko dar imegoma kuuzika kama kama mwaka saa hii😀
Sasa kama Kuna dalali hodari anicheki Whatsapp au normal namba naacha hapo chini, nitakutumia picha na kila taarifa bei tutajadiliana ilimradi pauzike
0622905303
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nacheka kama mazuriPakojolee siku saba. Alafu siku ya nane kunya kabisa.
Ikifika siku ya 13 mwagia majivu ya udi sandal huku ukinuia hivi "nyie wachawi njooni muchukue mizigo yenu" mara tatu.
Alafu rudi uitangaze tena
HapanaNi ya urithi?
Ni ya urithi?
Bei ya kawaida tuuWakati mwingine bei mnazoweka. Yani mtu anaweka bei as if sisi hatujui bei za materials
Nicheke Whatsapp, mi hata bei nimeamua kumuachia dalaliWeka picha za hiyo nyumba na bei tuione
Hyo sio nyumba sasa😀Uza milioni moja uone kama haiuziki!
Milion 500 ndo bei ya kawaida kweli???Bei ya kawaida tuu
Mi nimekwambia nauza mil 500 au umejitungia tu??Milion 500 ndo bei ya kawaida kweli???
Njoo whatsappWeka details hapa, kuna matajiri tunanunua tu.
Kumbe haya nayo yapo duuhTatizo lipo kwa madalali. Wengi wao wanataka kutajirikia kwenye mali ya mwingine. Unakuta mwenyewe mali anataka Mil. 20 dalali anaenda kutangaza milioni 60 ambayo haina uhalisia. Na kama vile haitoshi anaenda kuroga kabisa nyumba isiuzike mpaka auze yeye.