Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Si hapo juu umeandika?Mi nimekwambia nauza mil 500 au umejitungia tu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si hapo juu umeandika?Mi nimekwambia nauza mil 500 au umejitungia tu??
Hii nyumba ipo vingunguti?Njoo whatsapp
Sana tena.Kumbe haya nayo yapo duuh
NimekuchekKumbe haya nayo yapo duuh
Whatsapp tena? Ni nyumba ya wizi auNicheke Whatsapp, mi hata bei nimeamua kumuachia dalali
Unaona kweli weweSi hapo juu umeandika?
We unaonajeWhatsapp tena? Ni nyumba ya wizi au
PoaNimekuchek
Bei ikiwa affordable kwa mnunuzi wewe utampa dalali percent yake .
Nyumba inaweza kuuza haraka au kuchelewa kidogo Kutokana na Sababu mbali mbali.
Kama kutopata dalali mzuri
Bei kuwa kubwa
N.k
Ndio bro naona vizuri tu.....Unaona kweli wewe
Mbona inauzwa kwa siri kama bangi lakini....shida niniNimekuchek
Bei ikiwa affordable kwa mnunuzi wewe utampa dalali percent yake .
Nyumba inaweza kuuza haraka au kuchelewa kidogo Kutokana na Sababu mbali mbali.
Kama kutopata dalali mzuri
Bei kuwa kubwa
N.k
Mkuu Then PM Yangu inasumbua siwezi kusoma wala kutuma ujumbe wowoteMbona inauzwa kwa siri kama bangi lakini....shida nini
Sina mil 350 bro....😹Mkuu nunua huo mchengo Kabla haujastaafu Kazi yako ya ualimu na kukutana kikotooo
Oooh pole nmekupm muda si mrefu hapo kuna kitabu nahitajiMkuu Then PM Yangu inasumbua siwezi kusoma wala kutuma ujumbe wowote
Kuna PM zinaingia Ila naishia kutazama tu
Unakijua jina mkuu naweza kukia-Attach hapa au katika Uzi wa vitabu na nikakutagOooh pole nmekupm muda si mrefu hapo kuna kitabu nahitaji
Imejengwa kwa madawa ya kulevyaMbona inauzwa kwa siri kama bangi lakini....shida nini
Basi hyo 500 umeona peke yakoNdio bro naona vizuri tu.....
Sikijui, sina, naomba untaftie kinachohusu nidhamu ya pesa.....Unakijua jina mkuu naweza kukia-Attach hapa au katika Uzi wa vitabu na nikakutag
Sina mambo hayo dada/kakaSikijui, sina, naomba untaftie kinachohusu nidhamu ya pesa.....
Basi twende bookworms hapa dada/ kaka mwenye nyumba asije mind