Dalali wa mapenzi ...

Dalali wa mapenzi ...

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
17,694
Reaction score
17,131
Jana nilikuwa na jamaa mmoja anajiita Dalali wa mapenzi, na hata ndio maongezi yake

Dalali: money penny bwana inabidi upewe maua yako??

Money penny: ya kwenda wap me natafuta hela

Dalali: unajua we mtoto Una akili ila wachawi wengi

Money Penny: na Mungu anakuwa wap labda??

Dalali: money penny iko namna ila kuna ishu nataka nikwambie

Money Penny: kama ya hela nakuskiza kama mambo yako ya mapenzi pita uende

Dalali: tulia bwana Mapenzi ndio Kila kitu sahivi, hata Mungu kasema tupendane

Money Penny: kuhusu Mungu sijakataa

Dalali: sasa penny mama, skuhizi kuna ishu inatafutwa Sana maana dunia imeharibika

Wanatafutwa wanawake mabikra, Miaka kuanzia 28 - 48
Kama unamjua ndugu, jamaa, rafiki mwenye nayo hajawahi kuguswa hapa Bongo niconnect nae

Money Penny: ukawafanyaje sasa hao wadada?! Au umeingia kwenye free mason mnataka kafara damu mbichi??

Dalali: kuna mchongo huko umeshuka, dau Lao Nono, akigundulika na ndoa Juu ya kidini, na maisha mazuri Sana

Money penny: na wewe Dalali unalipwaje??

Dalali: we Acha tu, nikilipwa nahama nchi, nahama Dubai, hio hela inayoingia sio ya kitoto

Money Penny: ushindwe na ulegee, niache me naenda evening Glory, usinichoshe na maokoto yako

Haya jamaan Dalali ndio huyu anamtafuta mabikra, SA sijui wapo??🚶🚶
 
Me nawajua 3
Unaona sasa kati ya marafiki zako wote na wasiokuwa marafiki zako unaowajua 3 tu ndo mabikra huoni kuwa hio kazi ni ngumu kumpata mwenye vigezo?

Hata ningekuwa na nguvu ila nikikuta km zishasoma parefu lazima nguvu ziishe tu but ni kwa miaka ile sio now hayo mambo sifagilii
 
Unaona sasa kati ya marafiki zako wote na wasiokuwa marafiki zako unaowajua 3 tu ndo mabikra huoni kuwa hio kazi ni ngumu kumpata mwenye vigezo?

Hata ningekuwa na nguvu ila nikikuta km zishasoma parefu lazima nguvu ziishe tu but ni kwa miaka ile sio now hayo mambo sifagilii
Maisha yanaenda Kwa Kasi Sana
Vijana wafanye KAZI wakishindwa wakalime
 
Ili kuwapata mabikra wenye miaka 28-48 inabidi watanzania wote wauawe halafu wazaliwe upya
 
Back
Top Bottom