House4Rent Dalali wa vyumba, Nyumba Viwanja Dar es Salaam

House4Rent Dalali wa vyumba, Nyumba Viwanja Dar es Salaam

Chumba Sebule na Choo ndani.

Mahali: Mbezibeach Tangibovu. Dakika tatu kutoka barabara ya lami.

Kodi ya Mwezi: Tshs 200,000
Umeme luku yake, maji dawasa/bomba, Fensi Geti, Parking ipo.

Piga: 0716442950 // 0686648630
IMG_20210519_165314.jpg
20210613160352_8.jpg
20210611234025_7.jpg
 
Chumba Sebule Choo ndani na Jiko

Mahali: Mbezibeach Shule. Dakika tano kutoka barabara ya lami.

Kodi ya Mwezi: Tshs 250,000
Umeme luku yake, maji dawasa/bomba, Fensi Geti, Parking ipo.
Nyumba Mpya ndiyo inamaliziwa.

Piga: 0716442950 // 0686648630

20210621195056_1.jpg
20210621195056_5.jpg
20210621195056_3.jpg
20210621195056_2.jpg
 
Chumba Sebule na Choo ndani.

Mahali: Mbezibeach Tangibovu. Dakika tatu kutoka barabara ya lami.

Kodi ya Mwezi: Tshs 150,000 ( Maelewano Yapo )
Umeme luku yake, maji dawasa/bomba, Fensi Geti, Parking ipo.

Piga: 0716442950 // 0686648630
Follow me on
URL unfurl="true"]https://www.facebook.com/semindu.msumi[/URL]


IMG_20210606_171835.jpg
IMG_20210614_122642.jpg
IMG_20210614_122607.jpg
IMG_20210614_122656.jpg
 
Kiwanja sehemu yoyote kutoka kimara mpaka kibamba. Ukubwa 20×20, kisiwe zaidi ya 2km kutoka morogoro road. Bei 3M. Kama unacho nichek.
 
Nyumba Kwasasa inatumika kwa biashara ya kupangisha.
Ina: Chumba Sebule choo ndani, Ziko 3.
Chumba Sebule choo nje, Ziko 2
Chumba Singo choo, Iko 1

Ukubwa wa Kiwanja: 600 Sqm
Bei: Tshs 35 Milioni
Mahali: Mbezibeach Tangibovu. Umbali wa kilomita 1 Kutoka kituoni tangibovu ( bagamoyo road), Upande wa Kushoto kama unatokea Mwenge.
Maelezo Zaidi: 0716442950 , 0686648630.

Kidokezo: Ukinunua hii nyumba, na ukihamua kuendelea kufanya biashara ya kupangisha. Ndani ya miaka 3 pesa yako inarudi, unaanza kuhesabu faida.

Na kama utahamu kuiweka kisasa zaidi, faida utaipata zaidi

View attachment 1822757
nyumba ziko wapi? Au haya mabanda ndiyo unayaita nyumba.
 
Chumba na sebule kwa bei ya 80k naweza kupata??

Maeneo ya segerea
 
Chumba Kimoja cha Kulala.

Mahali: Mbezibeach Tangibovu. Nyumba ya pili kutoka barabara ya lami.

Kodi ya Mwezi: Tshs 100,000
Umeme luku wawili, maji dawasa/bomba, Fensi Geti, Parking ipo, garden.

Piga: 0716442950 // 0686648630
IMG_20210517_111555.jpg
IMG_20210517_111812.jpg
 
Chumba Kimoja cha Kulala Choo ndani ( Masta )

Mahali: Mwananyamala Komakoma.Nyumba ya pili kutoka barabara ya lami.

Kodi ya Mwezi: Tshs 80,000
Maji dawasa/bomba, Fensi Geti, Parking ipo.

Piga: 0716442950 // 0686648630
FB_IMG_1624388178041.jpg
FB_IMG_1624388160230.jpg
FB_IMG_1624388144130.jpg
FB_IMG_1624388168272.jpg
 
Chumba na Sebule

Mahali: Kimara.

Kodi ya Mwezi: Tshs 100,000
Umeme luku wawili, maji dawasa/bomba, Fensi Geti, Parking ipo.

Piga: 0716442950 // 0686648630
FB_IMG_1624385349762.jpg
FB_IMG_1624385339560.jpg
 
Chumba masta kwa Sinza kinaendaje, kiwe alluminium na Gypsum za kutosha usisahu ulinzi kama wote
 
Chumba Kimoja cha Kulala Choo ndani ( Masta ) na Sebule pamoja na choo cha nje.



Mahali: Ubungo msewe



Kodi ya Mwezi: Tshs 160,000

Maji dawasa/bomba, Fensi Geti, Parking ipo.



Piga: 0716442950 // 0686648630

20210623155945_7.jpg


20210623155945_5.jpg


20210623155945_3.jpg
 
Chumba Kimoja cha Kulala Choo ndani ( Masta ) na Sebule pamoja na choo cha nje.
Mahali: Kimara Temboni
Kodi ya Mwezi: Tshs 130,000
Maji dawasa/bomba, Fensi Geti, Parking ipo.

Piga: 0716442950 // 0686648630

20210623161237_0.jpg


20210623161237_6.jpg


20210623161237_4.jpg


20210623161237_7.jpg
 
Back
Top Bottom