Dalili 7 zinazokujulisha kuwa Mwanamke ana hamu na tendo la ngono

Dalili 7 zinazokujulisha kuwa Mwanamke ana hamu na tendo la ngono

Hyrax

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2023
Posts
964
Reaction score
2,675
1. Anapenda kujishika nywele, kidevu, mikono, shingo na mashavu kila wakati
2. Anapenda kulamba au kung'ata lips mara kwa mara
3. Anapenda kupost picha au video zenye msisimko wa kingono mara kwa mara
4. Anapenda kupiga stori na kucheka cheka na akikaa sehemu anapenda kubana miguu
5. Ngozi yake inakuwa nyororo na yenye kuvutia sana (inawaka sana) na maziwa yake yanakuwa makubwa
6. Joto la mwili wake linakuwa juu sana na wakati mwingine utamsikia akilalamika kuwa anahisi joto hata kama watu wanaomzunguka hawasikii hali hiyo ya joto.
7. Wakati anaongea na mtu aliyevutiwa naye hushusha sauti sana, ila wale ambao hawajamvutia huwapandishia sana sauti kama anagomba hivi.

Mwanaume chukua code hizo kapambane nazo, mimi naenda zangu
 
1. Anapenda kujishika nywele, kidevu, mikono, shingo na mashavu kila wakati
2. Anapenda kulamba au kung'ata lips mara kwa mara
3. Anapenda kupost picha au video zenye msisimko wa kingono mara kwa mara
4. Anapenda kupiga stori na kucheka cheka na akikaa sehemu anapenda kubana miguu
5. Ngozi yake inakuwa nyororo na yenye kuvutia sana (inawaka sana) na maziwa yake yanakuwa makubwa
6. Joto la mwili wake linakuwa juu sana na wakati mwingine utamsikia akilalamika kuwa anahisi joto hata kama watu wanaomzunguka hawasikii hali hiyo ya joto.
7. Wakati anaongea na mtu aliyevutiwa naye hushusha sauti sana, ila wale ambao hawajamvutia huwapandishia sana sauti kama anagomba hivi.

Mwanaume chukua code hizo kapambane nazo, mimi naenda zangu
.... Imethibitishwa....joto linafika Hadi centigrade 100[emoji3]
 
😂😂😂 Ukiwa huna pesa huna tofauti na tango au karoti, ilimradi shida ziishe

Tusake pesa zinaweza tia kilakitu
 
1. Anapenda kujishika nywele, kidevu, mikono, shingo na mashavu kila wakati
2. Anapenda kulamba au kung'ata lips mara kwa mara
3. Anapenda kupost picha au video zenye msisimko wa kingono mara kwa mara
4. Anapenda kupiga stori na kucheka cheka na akikaa sehemu anapenda kubana miguu
5. Ngozi yake inakuwa nyororo na yenye kuvutia sana (inawaka sana) na maziwa yake yanakuwa makubwa
6. Joto la mwili wake linakuwa juu sana na wakati mwingine utamsikia akilalamika kuwa anahisi joto hata kama watu wanaomzunguka hawasikii hali hiyo ya joto.
7. Wakati anaongea na mtu aliyevutiwa naye hushusha sauti sana, ila wale ambao hawajamvutia huwapandishia sana sauti kama anagomba hivi.

Mwanaume chukua code hizo kapambane nazo, mimi naenda zangu
We weka pesa mezani kama haja piga bao hapo hapo ..... usijichoshe kwa maneno mengi
 
1. Anapenda kujishika nywele, kidevu, mikono, shingo na mashavu kila wakati
2. Anapenda kulamba au kung'ata lips mara kwa mara
3. Anapenda kupost picha au video zenye msisimko wa kingono mara kwa mara
4. Anapenda kupiga stori na kucheka cheka na akikaa sehemu anapenda kubana miguu
5. Ngozi yake inakuwa nyororo na yenye kuvutia sana (inawaka sana) na maziwa yake yanakuwa makubwa
6. Joto la mwili wake linakuwa juu sana na wakati mwingine utamsikia akilalamika kuwa anahisi joto hata kama watu wanaomzunguka hawasikii hali hiyo ya joto.
7. Wakati anaongea na mtu aliyevutiwa naye hushusha sauti sana, ila wale ambao hawajamvutia huwapandishia sana sauti kama anagomba hivi.

Mwanaume chukua code hizo kapambane nazo, mimi naenda zangu
Tupumzishe kwanza tumalize hili la bandari.
 
Back
Top Bottom